Sunday, 5 September 2021

Mwabuma Secondary School

About Mwabuma Secondary School Mwabuma Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2272 – Known as Shule ya Sekondari Mwabuma Secondary School Mwabuma Secondary School is located at Simiyu. Mwabuma Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Mwabuma Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mwamalole Secondary School

About Mwamalole Secondary School Mwamalole Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2271 – Known as Shule ya Sekondari Mwamalole Secondary School Mwamalole Secondary School is located at Simiyu. Mwamalole Secondary School is boys and girls school and it is doing well in English […]

This post Mwamalole Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mukituntu Secondary School

About Mukituntu Secondary School Mukituntu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2270 – Known as Shule ya Sekondari Mukituntu Secondary School Mukituntu Secondary School is located at Mwanza. Mukituntu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Mukituntu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Busangumugu Secondary School

About Busangumugu Secondary School Busangumugu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2269 – Known as Shule ya Sekondari Busangumugu Secondary School Busangumugu Secondary School is located at Mwanza. Busangumugu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Busangumugu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Lugongo Secondary School

About Lugongo Secondary School Lugongo Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2268 – Known as Shule ya Sekondari Lugongo Secondary School Lugongo Secondary School is located at Mwanza. Lugongo Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Lugongo Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mji Mpya Secondary School

About Mji Mpya Secondary School Mji Mpya Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2257 – Known as Shule ya Sekondari Mji Mpya Secondary School Mji Mpya Secondary School is located at Kilimanjaro. Mji Mpya Secondary School is boys and girls school and it […]

This post Mji Mpya Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Manza Day Secondary School

About Manza Day Secondary School Manza Day Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2256 – Known as Shule ya Sekondari Manza Day Secondary School Manza Day Secondary School is located at Tanga. Manza Day Secondary School is boys and girls school and it […]

This post Manza Day Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Potwe Day Secondary School

About Potwe Day Secondary School Potwe Day Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2255 – Known as Shule ya Sekondari Potwe Day Secondary School Potwe Day Secondary School is located at Tanga. Potwe Day Secondary School is boys and girls school and it […]

This post Potwe Day Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kihere Secondary School

About Kihere Secondary School Kihere Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2254 – Known as Shule ya Sekondari Kihere Secondary School Kihere Secondary School is located at Tanga. Kihere Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Kihere Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Pongwe Secondary School

About Pongwe Secondary School Pongwe Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2253 – Known as Shule ya Sekondari Pongwe Secondary School Pongwe Secondary School is located at Tanga. Pongwe Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Pongwe Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Saturday, 4 September 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 4,2021






Share:

TCRA YAWATAKA WATANGAZAJI KUWA WABUNIFU ZAIDI KWENYE VIPINDI VYE REDIO NA TV...AIPA TANO GOLD FM

 Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo  akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga. 

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Watangazaji wa Vipindi vya Redio na Televisheni wametakiwa kuwa wabunifu zaidi na kujituma kuhakikisha kwamba leseni ya utangazaji iliyotolewa na TCRA wanaitendea haki kwa nia ya kuwawezesha watanzania kuhabarishwa kwa ubunifu zaidi.

Rai hiyo imetolewa Septemba 3,2021 na Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo Mjini Kahama wakati wa uzinduzi Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz chenye kauli mbiu ya 'Sauti ya dhahabu' ambapo Mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa.

Mhandisi Mihayo aliwataka watangazaji na waandishi wa habari kuwa wabunifu zaidi ili kuitendea haki leseni ya utangazaji inayotolewa na mamlaka hiyo kwa nia ya kuwawezesha Watanzania kuhabarishwa kwa ubunifu zaidi.

“Gold Fm walianza vizuri sana na wameanza kufanya kazi vizuri sana. “Kwa kweli wameanza vizuri ndiyo naomba mjiandae kufungua Kituo cha Televisheni itakayotangaza kutoka Kahama. TCRA tuna utaratibu wetu wa kuhakikisha Leseni yetu inafuatwa. Naomba niseme tu, tulipowapa leseni tulileta wataalamu kwa ajili kufuatilia mwenendo wa matangazo ya Gold Fm bila wao wenyewe kujua, kuna mahali waliteleza niliwapigia simu na wakaniahidi kuwa hawatarudia”,alisema Mhandisi Mihayo.

“Gold Fm tumewapa leseni, ile leseni kule nyuma kuna maelekezo, sasa maelekezo hayo nawaomba kama hamuelewi, ofisi yangu ya Kanda ipo wazi masaa 24 kwa ajili ya kukusaidia na kukuelekeza, usije ukafanya kosa ukifikiri kuwa hatutafuata sharia,sisi tutaendelea kufuata sheria na taratibu zilizopo”,aliongeza.

“Kwa hiyo nategemea jinsi mlivyoanza namna hii,muongeze usikivu kama tulivyotoa kibali sasa hivi,lakini siyo kuongeza usikivu tu lakini muende kwa mwendo wa kisasa. Nawapongeza mpo kwenye mtandao,popote duniani mnasikika. Lakini muongeze ubunifu,muongeze kujituma kuhakikisha kwamba ile leseni iliyotolewa na TCRA mnaitendea haki”,alisema Mhandisi Mihayo.

Aidha Mkuu huyo wa TCRA Kanda ya Ziwa alisema amekubali ombi la Mkurugenzi wa Gold FM, Bi. Neema Mghen kuhusu Gold Fm kuongezewa maeneo ya usikivu akipenda Redio hiyo isikike katika mkoa wote wa Shinyanga.

“Mkurugenzi wa Gold Fm ametoka hapa akisema anaomba kibali cha kusikika mkoa mzima wa Shinyanga. Mhe. Mgeni Rasmi naomba niseme kibali kimetolewa kuanzia sasa. Gold Fm njooni tuzungumze, nitawaelekeza jinsi ya kufanya ili muweze kusikika mkoa mzima wa Shinyanga”,alisema Mhandisi Mihayo.

“Mhe. Mgeni rasmi tunahitaji sana katika Kanda ya Ziwa tuwe na usikivu wa Redio kila wilaya kwa sababu kwa sasa tupo chini ya asilimia 50. Ninapozungumza leo mimi nina furaha kuanza kwa Gold Fm kwa sababu tunaenda kufikisha Redio 39 Kanda ya Ziwa na kwa upande wa Shinyanga sasa Gold Fm inakuwa Redio ya tano”,alieleza Mhandisi Mihayo.

Naye Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa amepongeza uwekezaji mkubwa wa Gold Fm na wa kisasa uliofanyika ambao utaenda sanjari na upatikanaji wa ajira.

“Ninafurahi kuona uwekezaji wa namna hii unaenda sehemu husika (Kahama), na endapo mtahitaji kuanzisha television nawashauri mkiweza anzeni mapema na mkihitaji msaada tuambieni hiyo ndiyo kazi yetu”,alisema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa kituo cha Gold FM Bi. Neema Mghen ameiomba Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo kupitia Baraza la Sanaa Tanzania BASATA kwa kushirikiana na Wizara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kuvijengea mazingira wezeshi vituo vichanga vya redio ili viendelee kuwa daraja la kuwasaidia wasanii wachanga kutimiza ndoto zao.
 Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo  akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza wakati akizindua Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga.
Mkurugenzi wa kituo cha Gold FM Bi. Neema Mghen akizungumza wakati wa uzinduzi wa  Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga. 
Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akizindua Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm, Bi Neema Mghen. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akifuatiwa na Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga na wafanyakazi wa Gold Fm. 
Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akizindua Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga.
Zoezi la Uzinduzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm likiendelea
Zoezi la Uzinduzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm likiendelea
Muonekano wa sehemu ya Jengo la Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kinachosikika kupitia masafa ya 88.7Mhz 'Sauti ya Dhahabu' kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akisaini Kitabu cha Wageni wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga. Wa kwanza kulia ni Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika Kahama (KACU), Emmanuel Cherehani.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akiingia katika chumba cha habari wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (wa pili kushoto) akipiga picha ya kumbukumbu na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga, Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo ( wa kwanza kulia akifuatiwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm, Bi Neema Mghen (wa pili kulia) wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm kilichopo Mjini Kahama Mkoani Shinyanga.
Meneja wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm, Faraji Mfinanga (kulia) akimkaribisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ndani ya chumba cha kutengenezea vipindi (Production Room)
Mtangazaji wa Vipindi vya Redio, Juma Athuman (kushoto) akimkaribisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (aliyekaa kulia) ndani ya chumba cha Kurushia Matangazo ' Studio On Air'
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (katikati) akizungumza Mubashara ndani ya chumba cha Kurushia Matangazo ' Studio On Air'. Wa Kulia ni Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo, Kushoto aliyekaa ni Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Festo Kiswaga, aliyesimama mwenye suti ya bluu ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mabala Mlolwa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo cha Gold Fm, Bi Neema Mghen.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (kushoto) akizungumza Mubashara ndani ya chumba cha Kurushia Matangazo ' Studio On Air'
Mtangazaji wa Vipindi vya Redio, Juma Diwani (kulia) akimuuliza swali Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (kushoto) wakati akizungumza Mubashara ndani ya chumba cha Kurushia Matangazo ' Studio On Air'
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa (kushoto) akizungumza Mubashara ndani ya chumba cha Kurushia Matangazo ' Studio On Air'

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Soma pia :
Share:

DC MBONEKO AFANYA ZIARA KITUO CHA AFYA BUGISI, AONYA WAGANGA WA KIENYEJI KUTIBU WATOTO WENYE UTAPIAMLO



Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa kituo hicho cha Afya Bugisi Dk, Kathleen Costigani namna wanavyo boresha kununua vifaa Tiba.

Na Marco Maduhu, Shinyanga

MKUU wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko, amewaonya wazazi wilayani Shinyanga, kuacha tabia ya kuwapeleka watoto wenye utapiamlo kwenda kutibiwa kwa waganga wa kienyeji kwani hawana uwezo wa kutoa tiba hiyo, na wanapozidiwa ndipo hukimbilia hospitali huku watoto wakiwa tayari katika hali mbaya.

Mboneko amebainisha hayo leo, alipofanya ziara ya kutembelea kituo cha Afya cha Bugisi kilichopo Didia wilayani Shinyanga, na kuhamasisha akina mama wenye watoto walio na utapiamlo, ambao wanapatiwa matibabu kwenye kituo hicho, kuzingatia lishe bora kwa watoto, pamoja na kuwanyonyesha maziwa ya kutosha.

Alisema baadhi ya wananchi wilayani humo, wakiwemo akina mama wenye watoto walio na utapiamlo, wamekuwa na tabia ya kukimbilia kwa waganga wa kienyeji kwenda kupatiwa matibabu, badala ya kwenda Hospitali kwenye huduma sahihi, na wanapozidiwa ndipo hukimbilia hospitali.

“Nimefanya ziara kwenye kituo hiki cha Afya Bugisi, nimepewa taarifa kuwa watoto wengi wenye utapiamlo ambao hufika hapa kupatiwa matibabu, wazazi wao huanzia kwanza kwa waganga wa kienyeji kutibiwa, na inaposhindikana ndipo wanawaleta hapa wakiwa tayari na hali mbaya,”alisema Mboneko.

“Natoa wito kwa wananchi wote, acheni tabia ya kukimbilia kwa waganga wa kienyeji kupatiwa matibabu, na msiwapeleke huko watoto wenu wenye utapiamlo, bali njooni kwenye huduma za afya mpate tiba sahihi na kuokoa afya zenu na watoto,”aliongeza.

Aidha aliwataka pia akina mama kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto wao, na kuwanyonyesha maziwa ya mama ya kutosha, pamoja na wenyewe kula vyakula bora ili wapate maziwa mengi, hali ambayo itawaepusha watoto kupata utapiamlo.

Naye, Dkt. wa kituo hicho cha Afya Bugisi Zacharia Msumari, ambaye anahusika na masuala ya Lishe kwenye kituo hicho, alisema ndani ya miezi sita kuanzia Februari hadi Agosti mwaka huu, walipokea watoto wenye utapiamlo 73, ambapo wengi walianzia kwa waganga wa kienyeji kupatiwa matibabu.

Alisema watoto hao wengine walifika hawana fahamu kabisa, pamoja na kuvimba mwili mzima, na wakawapatia matibabu, ambapo mpaka sasa wameshabaki na watoto wanne ambao ndiyo wanaendelea kutibiwa, huku wengine wakiruhusiwa kwenda nyumbani.

Nao baadhi ya akina mama wenye watoto walio na Utapiamlo akiwamo Yunis Joseph kutoka Lyabukande wilayani Shinyanga, alisema mtoto wake alimfikisha hospitalini hapo kutoka kwa waganga wa kienyeji akiwa hali mbaya, lakini kwa sasa ana afya njema.


Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia akiwa katika kituo cha Afya Bugisi ambacho kipo chini ya Kanisa la Katoliki Dayosisi ya Shinyanga, kushoto ni Mkurugenzi wa kituo hicho Dkt. Kathleen Costigan.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia ,akiwa kwenye Wodi ya watoto wenye Utapiamlo katika kituo cha Afya Bugisi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko ,akiwa kwenye Wodi ya watoto wenye Utapiamlo katika kituo cha Afya Bugisi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiwa kwenye Wodi ya watoto wenye Utapiamlo katika kituo cha Afya Bugisi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia ,akiwa kwenye Wodi ya watoto wenye Utapiamlo katika kituo cha Afya Bugisi, kushoto ni Daktari wa kituo hicho Zacharia Msumari akimweleza Mkuu wa wilaya kuwa watoto wengi wenye Utapiamlo ambao wanafika kupatiwa matibabu Hospitalini hapo huanzia kwanza kwa Waganga wa Kienyeji.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia ,akiwa kwenye Wodi ya watoto wenye Utapiamlo katika kituo cha Afya Bugisi, kushoto ni Daktari wa kituo hicho Zacharia Msumari akimweleza Mkuu wa wilaya namna wanavyowapatia matibabu watoto wenye Utapiamlo.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia, akiwa kwenye Wodi ya Wazazi na kuwataka akina mama kunyonyesha watoto maziwa ya kutosha, pamoja na wao kuzingatia lishe bora.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia, akiwa kwenye Wodi ya Wazazi na kuwataka akina mama kunyonyesha watoto maziwa ya kutosha, pamoja na wao kuzingatia lishe bora.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia, akiwa kwenye Wodi ya Wazazi na kuwataka akina mama kunyonyesha watoto maziwa ya kutosha, pamoja na wao kuzingatia lishe bora.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akisalimia Wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akisalimia Wagonjwa.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiangalia vifaa Tiba, katika kituo cha Afya Bugisi.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiangalia vifaa Tiba, katika kituo cha Afya Bugisi.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiangalia vifaa Tiba, katika kituo cha Afya Bugisi.

Muonekano wa vifaa Tiba.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, kulia, akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa kituo hicho cha Afya Bugisi Dk, Kathleen Costigani namna wanavyo boresha kununua vifaa Tiba.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiwa kwenye chumba cha Maabara, kushoto ni Mtaalam wa Maabara katika kituo cha Afya Bugisi Elia Daudi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akiwa katika Bohari ya Dawa katika kituo cha Afya Bugisi.

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, akipima Presha katika kituo cha Afya Bugisi, mara baada ya kuwasili kwenye kituo hicho.

Na Marco Maduhu- Shinyanga

Share:

DC MBONEKO ATAKA WADAU KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Share:

NASHUKURU KIWANGA SASA HIVI NIMEANZA KUZAA WATOTO WA KIUME

Mimi ni mama Faridah Mohamed wa kule Mombasa na nimekuwa kwa maisha ya ndoa sasa kwa muda wa miaka kumi na pamoja na bwanaangu tumefanikiwa na watoto watatu ambao ni wasichana wote. 

Sitaki kuficha hili manaake limekuwa likitusumbua kwa ndoa yetu mno hata bwanaangu akaanza kutembea nje kwa mipango zake za kando. 

Ni uchungu! Tumelumbana mno na ilikuwa miezi tatu iliyopita aliponifurusha kwake akidai mimi ni malenge na anataka kuoa mke mwingine ambaye angeweza kumpatia watoto wa kiume manaake mimi nimezaa tu wa kike wote. 

Ilinishtua mno. Mara nyingi ninapojaribu kumuambia kuwa sio kupenda kangu ndipo anapoinuka na kunifokea na hata wakati mwingine kunizaba makofi na makonde. 

Maisha yangu yamekuwa na mikosi mno. Hali hii imenifanya nimechukia maisha ya ndoa.

Tumeishi kwa msukosuko huo hadi hivi majuzi nilipopata wasia kutoka kwa mama Jack ambaye ni jirani ambaye aliniambia siri ya kupata watoto wa kiume.

 Alinipatia nambari ya simu ya Daktari Kiwanga niliopiga kisha nikaenda siku iliyofuata kukutana naye. Nilimuelezea kila jambo ninalopitia ndipo aliniuliza niseme nataka watoto wangapi wa kiume nikamuambia wawili. 

Alifanya Spells zake pale kisha akaniambia niende nianze kufanya mapenzi na bwanaangu. Alisema nisikose kulala na yeye usiku huo.

 Nilienda nikafanya hivyo. La kushangaza, baada ya miezi mnne nilienda hospitali kupata vipimo ndipo nilipoambiwa kuwa ninatarajia kupata mtoto wa kiume. 

Madakatari wakanionyasha scanning yenyewe na sikuamini. Daktari Kiwanga ni madakatari walio na uwezo mkubwa wa kutatua matatizo ya ndoa, watoto, kazi na hata magonjwa mbalimbali kwa kutumia dawa za kiasili.

 Kuna wengi wanaopitia matatizo ya kifamilia kama haya yangu tafadhali msikate tamaa, kuna suluhu ya kudumu na amani itapatikana. 

Natoa wito kwa wenye shida za magonjwa, mapenzi, ndoa, biashara, kikazi na afya kuharakisha kuwatembelea madaktari wa Kiwanga. Tuvuti au Website yao ni: www.kiwangadoctors.com; Simu: +254 769404965 au wasiliana kwa barua pepe yaani Email: kiwangadoctors@gmail.com.

Sii lazima usafiri hadi ofisi zao. Ongea nao kwa njia ya simu na utasaidika kwa haraka kama vile watu wengine wanavyopata usaidizi.
Share:

Nkwenda Secondary School

About Nkwenda Secondary School Nkwenda Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2235 – Known as Shule ya Sekondari Nkwenda Secondary School Nkwenda Secondary School is located at Kagera. Nkwenda Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Nkwenda Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Ruhinda Secondary School

About Ruhinda Secondary School Ruhinda Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S2234 – Known as Shule ya Sekondari Ruhinda Secondary School Ruhinda Secondary School is located at Kagera. Ruhinda Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Literature […]

This post Ruhinda Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger