Friday, 3 September 2021

Askofu Gwajima, Polepole na Jerry Slaa Wahojiwa na Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM

 Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM leo imewaita Dodoma kuwahoji Wabunge Jerry Silaa na Askofu Gwajima ambao Bunge lilipitisha azimio la kuwasimamisha mikutano miwili, ameonekana pia Mbunge Polepole akitoka kwenye mahojiano.

Askofu  Gwajima na Silaa wameitwa na kamati kwa agizo la Bunge, wakidaiwa kusema uongo na kushusha hadhi ya Bunge,   haikufahamika Polepole ameitwa kwa agizo la nani.

Baada ya kuhojiwa, Polepole aliongea kwa ufupi na waandishi wa habari akiwa ndani ya gari lake.... "Kikao cha maadili ni kikao cha ndani, kwa hiyo taarifa zote zitatoka kwa utaratibu wa chama, nawashukuru sana"



Share:

Kilichojiri Mahakamani Katika Kesi Ya Freeman Mbowe na Wenzake

Kesi ya uhujumu uchumi inayowakabili mwenyekiti wa Chadema,  Freeman Mbowe  na wenzake watatu wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya ugaidi leo  imeanza kusikilizwa mahakama kuu divisheni ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.

Leo kesi hiyo inaendelea katika hatua ya usikilizwaji wa pingamizi la awali lililowekwa na washtakiwa kupitia kwa jopo la mawakili wao 14 wakiongozwa na Peter Kibatala.

Katika pingamizi hilo washtakiwa hao wanadai kuwa hati ya mashtaka ina kasoro za kisheria pamoja na mambo mengine wakidai kuwa sheria ya ugaidi ambayo wanashtakiwa nayo haijafafanua viambato vya kosa la ugaidi




Share:

National Individual Consultant -Human Centered Design (HCD) at UNICEF

UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children. To save their lives. To defend their rights. To help them fulfill their potential.   Across 190 countries and territories, we work for every child, everywhere, every day, to build a better world for everyone. And we never give […]

This post National Individual Consultant -Human Centered Design (HCD) at UNICEF has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Boiler Mechanical Superitendant at Mtibwa Sugar

Boiler Mechanical Superitendant   Location: Morogoro, Tanzania Job Title: Boiler Mechanical Superitendant Duties and Responsibilities   Perform prevent maintenance per defined interval or schedule Recognizes and collect potential equipment failure or unsafe condition and communicate this to POWER PLANT ENGINEER. Identify, troubleshoot and repair mechanical hydraulic and other related problems on plant facilities and equipments […]

This post Boiler Mechanical Superitendant at Mtibwa Sugar has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mental Health & Psychosocial Support Officer at International Rescue Committee

Requisition ID: req19833 Job Title: Mental Health & Psychosocial Support Officer Sector: Health Employment Category: Fixed Term Employment Type: Full-Time Open to Expatriates: No Location: Kigoma, Tanzania Job Description BACKGROUND SUMMARY: The International Rescue Committee, one of the world’s largest humanitarian agencies, provides relief, rehabilitation, and post-conflict reconstruction support to victims of natural disaster, oppression, and violent conflict […]

This post Mental Health & Psychosocial Support Officer at International Rescue Committee has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Serikali Yatoa Bilioni 15/- Kununua Mahindi


WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeshatoa sh. bilioni 15 kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ili kununua mahindi kutoka kwa wakulima.

“Uzalishaji wa mahindi ni mkubwa lakini na sisi pia tumeimarisha hifadhi yetu ya Taifa ya chakula. NFRA tumeipa fedha za kwenda kununua mahindi kwa bei ya kumwezesha mkulima ili ajikimu hadi msimu ujao. Uwezo si mkubwa sana, lakini tumeipa shilingi bilioni 15,” amesema.

Ametoa kauli hiyo jana (Alhamisi, Septemba 2, 2021) Bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la Mbunge wa Kwela, Mheshimiwa Deus Clement Sangu kwenye kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu amesema siku nne zilizopita alikuwa ziarani mkoani Katavi na aliona hali halisi ya mlundikano wa mahindi na akakutana na watu wa NFRA ili aone kasi yao ya ununuzi ikoje.

“Nilibaini kuwa uwezo wao ni mdogo na nikapokea malalamiko ya wananchi kwamba kituo cha kupokelea mahindi kiko mbali, kwa hiyo tumeamua kuanzia sasa kila Halmashauri itapaswa iwe na kituo japo kimoja cha kupokelea mahindi ili kuharakisha ununuzi wa zao hilo.”

“Tunawahakikishia wakulima wetu kwamba tunanunua mahindi kupitia NFRA na Bodi ya Mazao Mchanganyiko na pia tumefungua milango kwa yeyote anayetaka kuuza mahindi nje. Mtu akitaka kuuza mahindi Zambia, Congo, Msumbiji au Malawi yuko huru kufanya hivyo ili mradi atoe taarifa ili nasi tujue tumeuza kiasi gani,” amesema wakati akimjibu Mhe. Sangu ambaye alitaka kujua Serikali imejipanga vipi kuziwezesha taasisi za Serikali kama NFRA ili ziweze kununua mahindi ya wakulima.

Wakati huohuo, Waziri Mkuu amesema Serikali haiwezi kuunganisha taasisi za NIDA na RITA kutokana na tofauti za majukumu yake. Alikuwa akijibu swali la Mhe. Abubakari Damian Asenga, mbunge wa Kilombero ambaye alishauri taasisi hizo ziunganishwe ili kurahisisha upatikanaji wa vitambulisho vya Taifa ambavyo alisema kwa sasa vinacheleweshwa sana.

“NIDA inatoa kitambulisho cha Taifa ambacho kinamtambulisha Mtanzania na hakitolewi kwa mtu ambaye si raia wakati RITA inatoa cheti cha kuzaliwa kikionesha kuwa umezaliwa wapi, tarehe yako ya kuzaliwa na pia wanatoa cheti cha kifo.”

Amesema RITA inaweza kutoa cheti cha kuzaliwa kwa mtu yeyote aliyezaliwa Tanzania kwa sababu pale hospitalini akishazaliwa mtoto, taarifa zitaonesha hivyo na inaweza kutoa cheti kwa huyo mtoto huyo hata kama siyo Mtanzania.

“Mtu anaweza kuzaliwa Tanzania na kupewa cheti cha kuzaliwa kwa kuwa amezaliwa ndani ya nchi yetu, lakini mtu huyo anaweza asiwe Mtanzania kwa mujibu wa sheria zetu.”

Amesema taasisi hizo zinaweza kupeana taarifa pale inapobidi lakini vyote vina majukumu tofauti. “Urasimu unaosemwa hapa nimeusikia wakati nilipofanya ziara kwenye mikoa ya pembezoni. Na huko nimekuwa nikisisitiza umakini katika kuchunguza taarifa za waombaji.”

“Kuchelewa kwetu kwenye mikoa ya pembezoni ambako pia kunaitwa urasimu, kunafanywa kwa nia nzuri ili kujiridhisha kama kweli anayeomba kitambulisho ni raia wa Tanzania,” amesisitiza.

“Nataka niwahakikishie Watanzania kwamba mtu yeyote Mtanzania ambaye Baba na Mama ni Watanzania, ni lazima atapata kitambulisho cha Taifa, kikubwa wawe na subira. Nasi kwa upande wetu tumejitahidi kuongeza vifaa na watumishi ili kuongeza kasi ya upatikanaji wa vitambulisho hivyo hasa kwa wale ambao wamehakikiwa na wanastahili.”


Share:

MEL Specialist at SoCha

Background:   SoCha, LLC is preparing a response to provide Monitoring, Evaluation and Learning (MEL) services to USAID/Tanzania. The proposed MEL Support Platform activity objectives are to assist the mission with strategy- and activity-level performance monitoring, evaluation, and learning, including conducting data gathering and verification, data visualization (including Geographic Information Systems), data quality assessments, impact […]

This post MEL Specialist at SoCha has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Chief of Party (COP) at SoCha

Background:   SoCha, LLC is preparing a response to provide Monitoring, Evaluation and Learning (MEL) services to USAID/Tanzania. The proposed MEL Support Platform activity objectives are to assist the mission with strategy- and activity-level performance monitoring, evaluation, and learning, including conducting data gathering and verification, data visualization (including Geographic Information Systems), data quality assessments, impact […]

This post Chief of Party (COP) at SoCha has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG TUKUTUMIE HABARI ZOTE BURE MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO

Share:

Senior Accountant at One Nature Hotels

Position: Senior Accountant   Company Name & Location One Nature Hotels – Arusha Office, Tanzania Experience   Minimum 5+ year’s experience and able to handle accounts independently, well experienced in tally and MS office packages such as: excel, word etc., good control over accounts receivable/ payable , prepaid and provisions,  preparation and submission of Payroll, VAT, […]

This post Senior Accountant at One Nature Hotels has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Crime Prevention and Criminal Justice Officer, P3 at United Nations

Org. Setting and Reporting   These positions are located in the Regional Programme on Crime Prevention and Criminal Justice operating under the Regional Office for Eastern Africa (ROEA), Division for Operations (DO) of the United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC), with varied duty stations in the region. The incumbent will work under the […]

This post Crime Prevention and Criminal Justice Officer, P3 at United Nations has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts) at IRMCT

Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts)   DEADLINE FOR APPLICATIONS : 08 September 2021 DATE OF ISSUANCE : 01 September 2021 OFFICE : Registry/Security & Safety Section LOCATION : Arusha JOB OPENING NUMBER : 2021/TJO/IRMCT//REG/SSS/217-FS United Nations Core Values:  Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Organizational setting and Reporting: The post is located in the Registry, Security & Safety Section of the […]

This post Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts) at IRMCT has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Senior Database Adminstrator at CVPeople Tanzania

Senior Database Adminstrator   Dar es salaam , Tanzania | Posted on 09/01/2021 Job Description Responsible for recommending, implementing, and monitoring system database, best practice and procedures to manage company’s data and Information. Administer & provide database support for all application throughout the entire software life cycle processes. Provide DBA support for production, development, and […]

This post Senior Database Adminstrator at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Capacity Development and Grants Officer at CVPeople Tanzania

Capacity Development and Grants Officer CVPeople Tanzania | Full time Dar es salam , Tanzania | Posted on 08/30/2021 Job Description About Pact At the heart of Pact is the promise of a better tomorrow. The promise of a healthy life. Of a decent livelihood. Of sustainable natural resources that benefit communities. Now more than […]

This post Capacity Development and Grants Officer at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Curriculum Development and Training Advisor at CVPeople Tanzania

Curriculum Development and Training Advisor CVPeople Tanzania | Full time Job Description About Pact At the heart of Pact is the promise of a better tomorrow. The promise of a healthy life. Of a decent livelihood. Of sustainable natural resources that benefit communities. Now more than ever in its 42-year history, Pact is helping millions […]

This post Curriculum Development and Training Advisor at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Data Systems Technical Team Lead at Palladium

Data Systems Technical Team Lead   Company Overview: About Palladium – Palladium is a global leader in the design, development and delivery of Positive Impact – the intentional creation of enduring social and economic value.  We work with governments, businesses, and investors to solve the world’s most pressing challenges. With a team of more than […]

This post Data Systems Technical Team Lead at Palladium has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

TIBA ASILI INA MCHANGO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA TIFA

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger