Friday, 3 September 2021

MEL Specialist at SoCha

Background:   SoCha, LLC is preparing a response to provide Monitoring, Evaluation and Learning (MEL) services to USAID/Tanzania. The proposed MEL Support Platform activity objectives are to assist the mission with strategy- and activity-level performance monitoring, evaluation, and learning, including conducting data gathering and verification, data visualization (including Geographic Information Systems), data quality assessments, impact […]

This post MEL Specialist at SoCha has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Chief of Party (COP) at SoCha

Background:   SoCha, LLC is preparing a response to provide Monitoring, Evaluation and Learning (MEL) services to USAID/Tanzania. The proposed MEL Support Platform activity objectives are to assist the mission with strategy- and activity-level performance monitoring, evaluation, and learning, including conducting data gathering and verification, data visualization (including Geographic Information Systems), data quality assessments, impact […]

This post Chief of Party (COP) at SoCha has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG TUKUTUMIE HABARI ZOTE BURE MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO

Share:

Senior Accountant at One Nature Hotels

Position: Senior Accountant   Company Name & Location One Nature Hotels – Arusha Office, Tanzania Experience   Minimum 5+ year’s experience and able to handle accounts independently, well experienced in tally and MS office packages such as: excel, word etc., good control over accounts receivable/ payable , prepaid and provisions,  preparation and submission of Payroll, VAT, […]

This post Senior Accountant at One Nature Hotels has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Crime Prevention and Criminal Justice Officer, P3 at United Nations

Org. Setting and Reporting   These positions are located in the Regional Programme on Crime Prevention and Criminal Justice operating under the Regional Office for Eastern Africa (ROEA), Division for Operations (DO) of the United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC), with varied duty stations in the region. The incumbent will work under the […]

This post Crime Prevention and Criminal Justice Officer, P3 at United Nations has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts) at IRMCT

Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts)   DEADLINE FOR APPLICATIONS : 08 September 2021 DATE OF ISSUANCE : 01 September 2021 OFFICE : Registry/Security & Safety Section LOCATION : Arusha JOB OPENING NUMBER : 2021/TJO/IRMCT//REG/SSS/217-FS United Nations Core Values:  Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Organizational setting and Reporting: The post is located in the Registry, Security & Safety Section of the […]

This post Security Lieutenant, FS-4 (Multiple Posts) at IRMCT has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Senior Database Adminstrator at CVPeople Tanzania

Senior Database Adminstrator   Dar es salaam , Tanzania | Posted on 09/01/2021 Job Description Responsible for recommending, implementing, and monitoring system database, best practice and procedures to manage company’s data and Information. Administer & provide database support for all application throughout the entire software life cycle processes. Provide DBA support for production, development, and […]

This post Senior Database Adminstrator at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Capacity Development and Grants Officer at CVPeople Tanzania

Capacity Development and Grants Officer CVPeople Tanzania | Full time Dar es salam , Tanzania | Posted on 08/30/2021 Job Description About Pact At the heart of Pact is the promise of a better tomorrow. The promise of a healthy life. Of a decent livelihood. Of sustainable natural resources that benefit communities. Now more than […]

This post Capacity Development and Grants Officer at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Curriculum Development and Training Advisor at CVPeople Tanzania

Curriculum Development and Training Advisor CVPeople Tanzania | Full time Job Description About Pact At the heart of Pact is the promise of a better tomorrow. The promise of a healthy life. Of a decent livelihood. Of sustainable natural resources that benefit communities. Now more than ever in its 42-year history, Pact is helping millions […]

This post Curriculum Development and Training Advisor at CVPeople Tanzania has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Data Systems Technical Team Lead at Palladium

Data Systems Technical Team Lead   Company Overview: About Palladium – Palladium is a global leader in the design, development and delivery of Positive Impact – the intentional creation of enduring social and economic value.  We work with governments, businesses, and investors to solve the world’s most pressing challenges. With a team of more than […]

This post Data Systems Technical Team Lead at Palladium has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

TIBA ASILI INA MCHANGO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA TIFA

Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 3,2021




Share:

Thursday, 2 September 2021

WAZIRI CHAMURIHO AFUNGUA MAADHIMISHO YA 18 YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI DODOMA


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho,akizungumza wakati akifungua maadhimisho ya 18 ya siku ya wahandisi nchini yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Malongo, akisisitiza jambo kwa wahandisi (hawap pichani), wakati wa maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi, yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Prof. Ninatubu Lema, akizungumza na wahandisi (hawapo pichani), katika maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi, yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Msajili wa Bodi ya Wahandisi Patric Barozi,akizungumza katika maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi, yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka ,akizungumza katika maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi, yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Sehemu ya wahandisi wakifatilia hotuba ya Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho,(hayupo pichani) wakati akifungua maadhimisho ya 18 ya siku ya wahandisi nchini yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Wahandisi 632 wakila kiapo cha utii katika maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi,yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho, akimkabidhi leseni ya uhandisi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Robert Gabriel, mara baada ya kula kiapo cha utii katika maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi, yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.


Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Dkt. Leonard Chamuriho, akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB) mara baada ya kufungua maadhimisho ya 18 ya Siku ya Wahandisi,yaliyofanyika leo September 2,2021 jijini Dodoma.

........................................................................................

Na.Alex Sonna,Dodoma

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi,Mhandisi Dk.Leonard Chamuriho amewataka wahandisi nchini kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kuweza kukamilisha miradi yote nchini kwa muda uliopangwa.

Hayo ameyasema leo September 2,2021 jijini Dodoma wakati akifungua maadhimisho ya 18 ya siku ya wahandisi nchini ambapo jumla ya Wahandisi 3500 wamehudhiria huku Wahandisi 630 wakila kiapo.

Dkt.Chimuriho amesema katika mwaka huu wa fedha serikali imetenga kiasi cha Sh. Trilioni 13.3 kwa ajili ya kukamilisha miradi mikubwa mbalimbali ya Ujenzi inayoendelea na ambayo haijaanza hapa nchini.

''Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais, Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zitengwa ili kuwezesha miradi mikubwa yote iliyoanza kutekelezwa kukamilika na ambayo ilikuwa haijanza ikamilike''amesema Dkt.Chimuriho

Hata hivyo amesema kuwa kipengele chenye takwa la kisheria la kuwajengea uwezo wahandisi wazawa hususani vijana kiwekwe katika mikataba yote ya ujenzi itakayoingiwa na Serikali kuanzia sasa.

"Ujuzi wakiupata utabaki nchini na utawawezesha wahandisi wetu kuwa na uwezo wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo hapa nchini, hivyo nawaagiza mhakikishe zabuni zote mpya mtakazo ingia na kuzitoa kwa wakandarasi kigezo cha Kujenga uwezo kiwe cha kisheria''ameongeza

Katika utekelezaji wa miradi kwa 'Force Account' ambao umekuwa ukisababisha wakandarasi binafsi kukosa kazi, amesema kuwa serikali imeiona na tayari imeanza kulifanyia kazi changamoto hiyo kama alivyoelekeza na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa kuanzia mradi wa Ujenzi wa mji wa serikali utajengwa kwa ubia na sekta binafsi.

Kwa upande wake Msajili wa Bodi ya Wahandisi Patric Barozi, amesema kuwa mpaka sasa bodi hiyo imesajili jumla ya Wahandisi 31,729 wanawake wakiwa ni 544 sawa na asilimia 32, na kuendeleza Wahandisi 9,441 kati yao wanawake 756, kupitia mpango wao wa kuendeleza wahandisi nchini ambao wamesajiliwa kwenye bodi hiyo kwa mwaka 2020.

Awali Mwenyekiti wa Bodi ya wahandisi, Prof. Ninatubu Lema, aliwataka Wahandisi kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia na kujiandaa kukabiliana nayo katika utendaji kazi zao.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka ameeleza kuwa bado kuna shida katika utekelezaji wa miradi mbalimbali inayofanywa na wakandarasi wazawa akiwataka wakandarasi wazawa wanaoshinda zabuni kujenga uaminifu ili waweze kuaminika zaidi na kupewa kazi.

Naye, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Mhandisi Joseph Malongo, ameitaka ERB kufanya tathimini ya maazimio yaliyofikiwa mwaka jana kuona kama yametekelezwa na hivyo kujipima katika yale matarajio yaliyofikiwa.

''Umuhimu wa kufuatilia wahandisi wahitimu wanaofanya vizuri katika masomo yao ili kuona kama wanafanya vizuri katika utendaji wa kazi zao kama ambavyo maadili ya taaluma yao yanavyowataka''amesema Mhandisi Malongo
Share:

NHIF YAKUTANISHA WADAU KUFANYA TATHIMINI YA MIAKA 20



Mwenyekiti wa bodi wa NHIF Juma Muhimba akizungumza kuhusiana na na ushauri wa bodi unavyofanya kuweza kufanya vizuri katika utendaji ili kutoa huduma bora kwa wanachama, jijini Dar es Salaam.


Mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za afya Binafsi (AFTA) Dkt. Egina Makwabe akizungumza kuhusiana na mchango wao katika mfuko wa NHIF

Katibu Tawala wa mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rwaga akizungumza katika mkutano wa wadau wa watoa huduma za afya na NHIF kwa ajili ya kufanya tathimini ya miaka 20 uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Bernad Konga akizungumza kuhusiana na mfuko huo tangu ulipoanzishwa na hatimaye kufika miaka 20 katika mkutano wa wadau wa Afya na NHIF uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Picha mbalimbali za washiriki wa mkutano kati NHIF na wadau wa watoa huduma za afya

*************************

*Katibu tawala Mkoa Dar es Salaam aipongeza NHIF kwa kuimarisha huduma



SERIKALI ya Mkoa wa Dar es Salaam imesema kuwa itaendelea kutoa ushuirikiano kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika kuimarisha mfuko huo uendelee kufanya vizuri kwa kuongeza idadi wanachama la kufikia asilimia 50 ya dhamira Rais Samia Hassan Suluhu.

Hayo ameyasema Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rwagwa wakati akifungua mkutano wa Watoa Huduma za afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)uliofanyika jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kutathimini mfuko huo kwa mafanikio miaka 20 tangu kuanzishwa kwa mfuko na kuangalia masuala mengine ya kufanya kufanya vizuri zaidi.

Rugwa amesema kuwa licha ya kufanya vizuri kwa mfuko watoa huduma wa afya wa serikali wanatakiwa kuwa tofauti katika utoaji wa huduma ili kufanya wananchi kuwa na imani na huduma za afya na kuachana mambo yasiyo mpendeza mteja.

''Miaka 20 ya NHIF kielelezo kuwa mmepita kwenye changamoto ambazo mliweza kuhmili na kusimamia mfuko katika kuweza kuwahudumia watanzania ambapo sasa bado mnaendelea katika maboresho mbalimbali ya kuujenga mfuko''amesema Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Sslaam Rugwa.

Nae Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)Bernad Konga amesema kuwa lengo la mkutanoni kuwashukuru Watoa Huduma za matibau kwa wanachama wa Mfuko huu kwa mchango mkubwa kwa taasisi hii kwa miaka hii 20 ya uhai wake.

''Hatuwezi kuhesabu mafanikio ya Mfuko huu bila kuhusisha kundi hili muhimu kwa Mfuko maana sisi ni kiungo tu kati ya Wanachama na Watoa huduma hawa na kuadhimisha miaka 20 ya NHIF kwa pamoja na Watoa Huduma za Afya kwa kuangalia kwa pamoja tulipotoka, tulipo na tunapoelekea huku tukiimarisha mahusiano baina yetu na kujenga dhana ya uwazi katika utendaji kazi wetu sisi kama Mfuko na Watoa Huduma'' amesema Konga.

Amesema mwendelezo wa kushirikisha kundi hili mara kwa mara umesaidia katika kuharakisha mafanikio ya kihuduma kwa wanachama na Mfuko umekuwa ukikitania na Watoa Huduma mara kwa mara kwa umoja wao, kupitia umoja wao na hata kimikoa kupitia ofisi zetu mikoani na kuendelea kupeana mrejesho ya yaliyofanyika katika kipindi chote hiki na kujadili kwa pamoja mambo mbalimbali yanayotuhusu katika kuhudumia wanachama wa Mfuko.

Amesema tumekuwa na mikutano ya mara kwa mara na hata mawasilsiano ya maandishi hasa panapotokea maboresho, changamoto na miongozo mbalimbali. Mathalani tunapofanya maboresho ya kitita cha mafao, huwa unawashirikisha Watoa huduma kama wadau muhimu katika hili.

Lengo kubwa la kuwashirikisha wadau wetu ni kuhakikisha wote kwa pamoja tunatembea tukizungumza lugha moja kwa nia ya kuwahudumia vizuri wanachama ambao wamechangia kabla ya kuugua.

Aidha amesema NHIF umewezesha vituo mbalimbali kuimarisha huduma za matibabu na miundombinu kupitia mikopo nafuu inayotulewa na NHIF. Vituo kama MNH, MOI, KCMS, BMH na vingine ni wanufaika.

Malipo kwa Watoa huduma kwa sasa yanalipwa ndani ya muda mfupi zaidi wa kati ya siku 30 hadi 45 ikilinganishwa na awali ambapo ilikuwa ni siku 60 na wakati mwingine kuzidi na kufikia 100. Aidha malipo hayo yamewezesha vituo kuwa na mapato ya uhakika ambayo yanawezesha vituo kuimarisha huduma.

Amesema NHIF imeboresha kitita cha mafao kwa wanachama wetu ambapo kwa sasa wanapata huduma nyingi zaidi zikiwemo za kitalaam na ambazo awali hazikupatikana hapa nchini ikiwemo huduma za figo.

Konga amesema wameimarisha utendaji kupitia TEHAMA, na kwa sasa ipo mifumo ya uchakataji na ulipaji madai, usajili wa wanachama, mifumo ya mawasiliano pamoja na kutanua uwigo wa upatikanaji wa huduma kwa wanachama kwa kusaijili zaidi ya vituo 8000 katika mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar na vituo hivi ni pamoja na vya serikali, binafsi, madhehebu ya dini na maduka ya dawa.

Hata hivyo amesema katika safari ya NHIF na Watoa huduma kwa miaka hii 20 zipo changamoto nzuri zinazoleta mafanikio ambapo kati ya hayo ni malalamiko ya watoa huduma kucheleweshewa malipo ya madai ao hali iliyofanya kuanzisha mfumo wa uwasilishaji, uchakataji na ulipaji wa madai kwa njia ya mtandao.

changamoto ya udanganyifu kwenye huduma na madai ya malipo kwa kuimarisha mifumo ya huduma kupitia TEHEMA mfano sasa hivi mwanachama anapata taarifa ya huduma alizopata kupitia simu zao mara baada ya huduma, pia tumeanzisha kitengo cha kushughulikia udanganyifu na tumeendelea kufanya support supervision.

Amesema Kuwepo kwa malalamiko kwa baadhi ya wanachama kukosa huduma katika vituo ambazo zinalipiwa na Mfuko – Tumeendelea kutoa elimu kwa watoa huduma lakini pia kuchukua hatua kwa wanaofanya kinyume na makubaliano pia kuendelea kuimarisha mawasilisno na wanachama ili kupata taarifa kwa wakati.

Mfuko huo sasa umetimiza miaka 20 tarehe 1 Julai 2021. Tukiangalia tulipotoka ni mbali na tunayo mikakati ya tunapoelekea kama taasisi kwa kufikia wananchi wote na mpango wa bima ya afya (Bima ya Afya kwa Wote)kuendelea kuboresha huduma za matibabu kwakushirikiana na wadau ikiwemo Watoa huduma kuendelea kushiriki uimarishaji wa huduma za matibabu kwa kuwezesha vituo kupitia mikopo ya vifaa tiba na miundombinu.

kwa upande wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Juma Muhimbi amesema kazi ya bodi ilitembelea na kuzungumza na watoa huduma wenu wa nchi nzima huku mkoa wa Dera es Salaam ukiwa na wa vituo vingi vya huduma kuliko mikoa yote, unawapa nafasi ya kufahamu na pia kuona hali halisi ya matibabu katika vituo vyetu vya kutolea huduma, hatua inayowapa mwanga zaidi katika utoaji wa maamuzi hususan mnapojadili namna ya uboreshaji wa huduma katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu.

Muhimbi amesema uwepo wa vituo hivi ni ishara nzuri ya upatikanaji wa huduma kwa wanachama kiurahisi, lakini pamoja na uwepo wa vituo hivi bado naamini kuwa zipo changamoto za hapa na pale hivyo kupitia kikao hiki changamoto hizi zitajadiliwa na kufikia maamuzi ya pamoja ya namna ya kukabiliana nazo.

Amesema kwa upande wa Serikali ya Mkoa wa Dar es Salaam tutaendelea kuwapa ushirikiano mkubwa ili kuhakikisha ndoto ya Serikali yetu ya upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wote inafikiwa. Tunaamini kwamba unapokuwa na wananchi wenye afya njema na uhakika wa matibabu unakuwa na uhakika wa kuzalisha zaidi na kufikia malengo ya Taifa huku azma ya serikali hii kufikia watanzania wote na huduma bora za matibabu kupitia bima ya afya kwa wote.
Share:

MCHUNGAJI ACHOMA MOTO MAWIGI YA MUUMINI


Picha ya Mchungaji Cyril Utomi

Mchungaji Cyril Utomi kutoka Nigeria ameyachoma mawigi na vipodozi vya muumini wa kike kwa madai asingeweza kukutana na Yesu akiwa na nywele na vitu vingine vya bandia ikiwa ni pamoja na viatu virefu.

Utomi alichoma vitu hivyo katika mkutano wa mahubiri ulioandaliwa na Holiness Revival Movement Worldwide mwishoni mwa mwezi Agosti na baada ya tukio hilo aliamua ku-post picha zinazoonesha vitu hivyo vikiteketea kwa moto katika mtandao wa facebook.
Share:

CHARAHANI ATOBOA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM JIMBO LA USHETU, AWABWAGA WENZAKE 18

Emmanuel Charahani

Na Salvatory Ntandu - Kahama
Emmanuel Charahani ameibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha kura za maoni katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano mkuu wa jimbo la Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa kupata kura 442 na kuwashinda wenzake 18.

Akitangaza matokeo ya kura za maoni za jimbo hilo, msimamizi mkuu wa uchaguzi huo, James Kusekwa amesema kuwa uchaguzi huo ulikuwa huru na haki ambapo wagombea wote waliridhika na kusaini matokeo ya jimbo hilo lenye wajumbe 880.

Kusekwa aliwataja watia nia wengine walioshiriki uchaguzi huo kuwa ni pamoja na Makoye Mayenga aliyepata kura 143,Alhad Mlyansi kura 125,J ames Lembeli kura 56, Dk. Lamek Makoye kura 16 na Samson Lutonja kura 11.

Wengine ni pamoja na Ernest Nila kura 8 ,Bundala Shija kura 11 Dk Mathew Masele kura tano, Merry Lema kura tano Bether Juma kura tatu,Ahmed Haroun kura tatu,Michael Paschal kura mbili, Balindo Jordani kura moja, na Martine Mwakatundu kura 0.

Wakizungumza baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo baadhi ya watia nia wa jimbo hilo akiwemo Betha Juma amewataka wagombea wenzake kuvunja makundi yaliyokuwepo wakati wa kura za maoni na badala yake wamuunge mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa na tume.

“Tuvunje makundi kuanzia leo,sisi ni wamoja na wajumbe wametupanga kwa uwezo wetu, jina lolote litakalorudishwa na chama sisi tutakuwa mstari wa mbele kumtafutia kura ili chama chetu kiweze kushinda katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika Oktoba tisa mwaka huu”, amesema Juma.

Dk Yohana Masonda amesema wataendelea kuheshimu maamuzi ya wajumbe wa mkutano huo mkuu wa jimbo kwa kumchagua Charahani kuongoza katika kura za maoni na kuwataka wagombea wenzake kuwa na ummoja na mshikamano na kuachana na makundi yasiyokuwa na tija.

Awali akiwashukuru wajumbe wa mkutano huo, Emmanuel Charahani amesema kuwa atahakikisha anashirikiana na wagombea wengine katika kutafuta kura za CCM kwa atakayepitishwa na chama kupeperusha bendera katika uchaguzi mdogo ujao.

“Niwahakikishie mimi nitaendelea kushirikiana nanyi katika kutafuta maendeleo ya wakazi wa jimbo la Ushetu,bado tunachangomoto nyingi tunapaswa kuzitatua ili wananchi wetu waweze kupata maendeleo hususani katika sekta za afya,maji,umeme na miundombinu ya barabara,”amesema Charahani.
Share:

DED SHINYANGA NICE MUNISSY ATAKA WAENDESHA BODABODA KUPEWA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice Munissy 
Mkurugenzi wa Shirika la TVMC Bw. Musa Ngangala

Na Josephine Charles - Shinyanga
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice Munissy amezitaka Asasi za Kiraia kuwashirikisha Vijana wanaendesha Pikipiki za biashara maarufu kama Bodaboda kwa kuhusishwa zaidi kwenye maeneo yao kupewa elimu za kupinga Ukatili wa Kijinsia dhidi ya watoto na Wanawake kwa kuwa moja kati ya vyanzo vya ukatili kwa watoto ni waendesha bodaboda. 
Munissy ametoa rai hiyo leo Mjini Shinyanga katika Kikao kazi kwa ajili ya Mradi wa Kupinga Ukatili wa Kijinsia unaotekelezwa na Shirika la The Voice of Marginalized Community(TVMC) chini ya Ufadhili wa Shirika la Foundation for Civil Society (FCS) kwenye kata Saba ambazo Samuye,Usanda,Didia,Masengwa,Tinde,Nsalala na Ilola za Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Kikao hichho kimehusisha Watendaji kata,Maafisa elimu, Maafisa Maendeleo ya Jamii,Wakuu wa Vituo vya Polisi,Bodaboda,Mahakimu,Maafisa Ustawi wa Jamii kutoka kata husika na Maafisa kutoka Dawati la jinsia Polisi Wilaya ya Shinyanga. 

Akizungumza katika Kikao hicho Mkurugenzi wa Shirika la TVMC Bw. Musa Ngangala amesema lengo la kukutana na Wawakilishi kutoka katika kata hizo ni kuangalia namna gani zinafanya kazi hizo Sheria ndogondogo ambazo ziliundwa 2017 na mpaka kufikia sasa na kuangalia namna gani watazimbaza kwa Jamii iweze kujua kwamba kuna Sheria hizo pamoja na kutengeneza Mpango kazi wa pamoja katika maeneo hayo ili kupinga Ukatili kwa wanawake na watoto kwa kutumia Kamati za Ulinzi na Usalama wa Mtoto.

Kwa Upande wao Washiriki wa Kikao hicho wamesema vitendo vya Ukatili wa Kijinsia kuisha ni ngumu kutokana na changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii ikiwemo elimu ndogo kwa Wazazi,Malezi hafifu yasiyo na msingi mzuri kwa watoto hususani mila potofu na kandamizi.

Aidha Mkutano huo umefunguliwa leo Septemba 2, 2021 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Nice Munissy na unatarajiwa kufungwa hapo kesho Septemba 3, 2021 na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Bi. Jasinta Mboneko.


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger