Wednesday, 25 August 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 26,2021

Magazetini leo Alhamis August 26 2021....Mauaji Dar








Share:

NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. MOLLEL AWATAKA WATANZANIA KUIPA UMUHIMU CHANJO YA UVIKO 19 NI SALAMA


 
Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Dkt. Godwin Mollel

Na Dotto Kwilasa, Dodoma

Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na watoto Dkt. Godwin Mollel amewataka wananchi kuipa umuhimu chanjo ya UVIKO-19 na kusema kuwa ni salama kwa afya zao.


Dkt. Mollel amesema hayo leo  Jijini Dodoma kwenye Mkutano Mkuu wa wadau wa huduma za elimu ya afya kwa umma uliofanyika jijini Dodoma ambapo amesema  wananchi hawapaswi kuogopa maneno yanayoendelea mitandaoni kuhusu chanjo hiyo kwani Serikali inawajali na kamwe haiwezi kuwaangamiza.

Mbali na hayo amesema Tanzania ni taifa la Mungu hivyo hatma yake iko mikononi kwa Mungu na kuwataka watanzania kuelekeza imani yao kwa Mwenyezi Mungu kumaliza wimbi la tatu la Ugonjwa huo.

Dk. Mollel ametumia nafasi hiyo  kuwataka  wadau hao wa huduma za elimu ya afya nchini,kuchapa kazi na kuwasihi waandishi kuzingatia maudhui yanayofaa kurusha kwenye vyombo vya habari.

"Msiogope yanayoendelea mitandaoni na kwenye vyombo vya habari ni kawaida tu, mambo yatakaa vizuri,,, Mkachape kazi hayo mengine mtuachie sisi Maronaldo wenu wao watakuja na wataondoka wakiwa wamefunga goli 0,,hali ya chanjo inaenda vizuri", amesema.

Katika kutoa elimu kwa umma aliwataka wadau hao kuwashirikisha watu maarufu, wasanii na viongozi wa dini ili kufikisha elimu kwa umma kuhusu umuhimu a chanjo ya Uviko 19 hasa katika sehemu za vijijini.

Aidha aliwataka wadau kutokujielekeza katika kufanya semina na makongamano na badala yake bajeti iliyowekwa itumike kuwawezesha wadau kuwafikia wananchi ili kutoa elimu ya afya kwa umma na chanjo ya Uviko 19.

Akitoa salamu kwa niaba ya Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na teknolojioa msemaji wa wizara hiyo Prisca Ulomi amesema wizara hiyo itashirikiana vizuri na wadau na makampuni ya simu kutoa elimu ya afya kwa umma kwa njia ya Tehama.

Share:

WAZIRI MKUU : SERIKALI IMETUMIA SH. BILIONI 172.644 KULIPA MADENI YA WATUMISHI WA UMMA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Kassim Majaliwa

Na Dotto Kwilasa,Dodoma

SERIKALI imesema,katika kipindi cha Mei 2021 hadi sasa imetumia jumla ya Sh. bilioni 172.614 kulipa madeni mbalimbali  ya watumishi wa umma na inaendelea kulifanyia kazi suala hilo ili lisiendelee kuwa kero kwa wastaafu katika kumudu maisha baada ya kustaafu.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema hayo leo (Jumatano, Agosti 25, 2021) Jijini hapa Wakati akifungua Mkutano Mkuu wa nane wa Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa(TALGWU). 

Pia, Waziri Mkuu ameuagiza uongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) uhakikishe unatumia fedha na rasilimali za chama hicho kwa kuwahudumia wanachama wao wote bila ubadhirifu.

Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa wanaTALGWU na kuwasihi waendelee kushirikiana, kushikamana na kuwajibika kwa kuzingatia uadilifu kwani kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi ni silaha kuu katika kufikia malengo ili kupunguza mzigo kwa Serikali.

Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa rai kwa viongozi watakao fanikiwa kuibuka kidedea katika uchaguzi watakaoufanya leo wahakikishe wanaenda kutekeleza majukumu yao ya kikatiba kwa weledi mkubwa na kwa kuweka maslahi ya wanachama wao mbele. 

Amesema hadi sasa zipo halmashauri 18 ambazo hazijaunda mabaraza ya wafanyakazi, hivyo amemuelekeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama kuwaagiza Makatibu Wakuu wa Wizara husika wahakikishe mabaraza hayo yanaundwa ifikapo ama kabla ya tarehe 30 Septemba 2021.

Akizungumzia kuhusu ugonjwa wa UVIKO 19, Waziri Mkuu amewataka wananchi wafuate maelekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya katika kujinga na ugonjwa huo na pale wanapoona dalili ambazo hawazielewi wawahi katika vituo vya kutolea huduma za afya kwa uchunguzi na matibabu.

 “Kama mnavyofahamu, kuwa dunia nzima ipo kwenye wimbi la tatu la UVIKO 19. Janga hili lipo nchini na limesababisha baadhi ya ndugu zetu kupoteza maisha na wengine kuendelea kuugua. Kwa msingi huo ni muhimu kwetu kuendelea kuchukua tahadhari kwa kujikinga na maambukizi ya UVIKO 19.”

Amesema kuwa chanjo ya UVIKO 19 inapatikana na inasambazwa nchini kote ikiwemo hapa Dodoma ambapo huduma hiyo inatolewa katika vituo 89 ndani ya mkoa. “Sambamba na vituo hivi, pia ipo huduma ya mkoba (mobile) ambapo watumishi wa afya wanakwenda katika maeneo yenye watu wengi ikiwemo makampuni ya ujenzi na kutoa huduma”

“Niwatoe hofu wananchi wote kuwa chanjo hii ni salama, haina madhara yoyote na ni hiyari na hakuna atakayechanjwa pasipo ridhaa yake. Hivyo, niwaombe wananchi kujiepusha na watu wanaopotosha ukweli kuhusu suala la chanjo.”

Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama amesema kuwa TALGWU  ni chama imara miongoni mwa vyama vya wafanyakazi nchini na kwamba uongozi wa chama hicho  ni imara na unazingatia katiba,  kanuni na miongozo katika kuwatumikia wanachama wake.

Ametumia nafasi hiyo pia kuvikumbusha vyama vya wafanyakazi ambavyo bado havijakamilisha taratibu za uchaguzi kwa mwaka huu kufanya hivyo maramoja ili kuendana na muda uliopangwa kabla ya mwezi wa 11  haujaisha.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa TALGWU, Rashidi Mtima amempongeza Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuchukua hatua madhubuti zenye lengo la kuondoa kero na kuimarisha maslahi ya wafanyakazi nchini.
Share:

ALIYELETA TAHARUKI DAR ATHIBITIWA


Mwanaume aliyeleta taharuki Jijini Dar es Salaam leo

Jeshi la Polisi mkoani Dar es Salaam, limefanikiwa kumdhibiti kwa risasi mtu mmoja aliyekuwa na silaha mbili za kivita karibu na eneo zilipo Ofisi za Ubalozi wa Ufaransa wilayani Kinondoni ambapo alikuwa akifyatua risasi na kutishia usalama wa eneo hilo.

Taharuki hiyo imezuka mchana wa leo Agosti 25, 2021, ambapo Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro, amesema kwamba katika tukio hilo mtu huyo aliwaua Askari wawili na kisha na baadaye yeye aliuawa katika majibizano ya risasi.

CHANZO - EATV
Share:

Makojo Secondary School

About Makojo Secondary School Makojo Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1907 – Known as Shule ya Sekondari Makojo Secondary School Makojo Secondary School is located at Mara. Makojo Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Biology, […]

This post Makojo Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Etaro Secondary School

About Etaro Secondary School Etaro Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1906 – Known as Shule ya Sekondari Etaro Secondary School Etaro Secondary School is located at Mara. Etaro Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Chemistry, […]

This post Etaro Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mmazami Secondary School

About Mmazami Secondary School Mmazami Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1905 – Known as Shule ya Sekondari Mmazami Secondary School Mmazami Secondary School is located at Mara. Mmazami Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Mmazami Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kilagano Secondary School

About Kilagano Secondary School Kilagano Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1690 – Known as Shule ya Sekondari Kilagano Secondary School Kilagano Secondary School Facilities The Kilagano Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Kilagano Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Peace Secondary School

About Peace Secondary School Peace Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1689 – Known as Shule ya Sekondari Peace Secondary School Peace Secondary School Facilities The Peace Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Peace Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mirwa Secondary School

About Mirwa Secondary School Mirwa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1904 – Known as Shule ya Sekondari Mirwa Secondary School Mirwa Secondary School is located at Mara. Mirwa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in History, […]

This post Mirwa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Bahari Beach Secondary School

About Bahari Beach Secondary School Bahari Beach Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1688 – Known as Shule ya Sekondari Bahari Beach Secondary School Bahari Beach Secondary School Facilities The Bahari Beach Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific […]

This post Bahari Beach Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tegeruka Secondary School

About Tegeruka Secondary School Tegeruka Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1903 – Known as Shule ya Sekondari Tegeruka Secondary School Tegeruka Secondary School is located at Mara. Tegeruka Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Tegeruka Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Msaranga Secondary School

About Msaranga Secondary School Msaranga Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1687 – Known as Shule ya Sekondari Msaranga Secondary School Msaranga Secondary School Facilities The Msaranga Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Msaranga Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Suguti Secondary School

About Suguti Secondary School Suguti Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1902 – Known as Shule ya Sekondari Suguti Secondary School Suguti Secondary School is located at Mara. Suguti Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Suguti Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Merya Secondary School

About Merya Secondary School Merya Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1861 – Known as Shule ya Sekondari Merya Secondary School Merya Secondary School is located at Singida. Merya Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Merya Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mwisenge Secondary School

About Mwisenge Secondary School Mwisenge Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1860 – Known as Shule ya Sekondari Mwisenge Secondary School Mwisenge Secondary School is located at Mara. Mwisenge Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Chemistry, […]

This post Mwisenge Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mshikamano Secondary School

About Mshikamano Secondary School Mshikamano Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1859 – Known as Shule ya Sekondari Mshikamano Secondary School Mshikamano Secondary School is located at Mbeya. Mshikamano Secondary School is boys and girls school and it is doing well in History, […]

This post Mshikamano Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger