Tuesday, 24 August 2021

MWANAMKE AANZA KUTOKWA MAZIWA KWENYE KWAPA BAADA YA KUJIFUNGUA


Kujifungua mtoto kunakuja na mabadiliko mengi katika mwili, mabadiliko ambayo megine ni ya kawaida na yasiyo ya kawaida.

Mwanamke mmoja huko Ureno baada ya kujifungua akakutana na mabadiliko ya mwili ambayo yameibua maswali mengi na udadisi wa kisayansi: Alianza kutokwa na maziwa katika kwapa lake , kwa mujibu wa taarifa.

Mwanamke huyu mwenye miaka 26 amewaambia madaktari kwamba, alianza kusikia maumivu kwenye kwapa lake la kulia, siku mbili baada ya kujifungua, kwa mujibu wa jarida la utabibu la The New England, lililochapishwa Julai 29 mwaka huu.

Madaktari walipofanya uchunguzi wa eneo hilo la kwapa, wakagundua kama uvimbe wa duara mkubwa kwa ndani. 

Cha ajabu, eneo hilo "likiminywa ama kukamuliwa linatoa majimaji meupe," aliandika mwandishi aliyeandika ripoti ya mama huyo kutoka Hospitali ya Santa Maria iliyoko Lisbon, Ureno.


Akaanza kupatiwa matibabu kwenye eneo hilo yanayotambulika kitaalam kama polymastia, ama uwepo wa tishu za ziada za matiti kwenye mwili. Kwa mujibu wa jarida la Mayo Clinic, lililochapishwa mwaka 1999 asilimia 6% ya wanawake wanazaliwa na tatizo hili la kuwa na tishu aa mkusanyiko wa seli za ziada za maziwa matiti mwilini.

Wakati mwingine tishu hizi za ziada husababisha mpaka kutokea kwa chuchu kabisa ama weusi wa duara unaofanana kabisa na ule unaozunguka chuchu, lakini kuna wakati zinazoonekana ni tissue tu za matiti, bila kuwa na chuchu ama weusi unazozunguka chuchu.

Wataalam wanasemaje?

Kwa mujibu bwa wataalamu, hali hii hutokea wakati wa ukuaji wa mimba, ambapo seli za mama kwenda kwa mtoto hutengeneza kitu kama mstari wa maziwa ambao hutoka kuanzia kwapani hadi kwenye kinena, hiyo ni kwa mujibu wa jarida la Marekani la Roentgenology.

Kawaida mistari hii hupotea na kubaki ya kwenye matiti tu. Lakini isipotokea hivyo, na kusalia katika baadhi ya maeneo ya mwili, maana yake mwili huo husalia na tishu za matiti. Na sehemu ambayo mara nyingi husalia ni kwenye makwapa, hasa kwapa la kulia.


Kama tishu hizo za matiti za kuhifadhi maziwa hazitakuwa na chuchu, ni ngumu kuigundua kawaida kama ni tishu za ziada za matiti mpaka mtu alizonazo apate ujauzito au atakapoanza kunyonyesha.


Mpaka kufika wakati hu, maziwa huteremka, kupitia tishu hizo kama ilivyo kwa matiti ya kawaida ya mzazi yanayotoa maziwa. Na wenye tatizo hili, huwa na kama uvimbe na hupata maumivu makali katika eneo la kwapa.

Baadhi ya wanawake wanaweza hata kukamua maziwa ya kutosha tu kutoka kwenye tishu hizi za ziada za kwapani.

Jarida la Mayo Clinic lilichapisha taarifa ya mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 18 aliweza kukamua maziwa kwenye kwapa lake kwa wiki nane mfululizo ili kupunguza maumivu na kuendelea kunyonyesha mtoto wake.

Kwa kisa hiki cha mwanamke wa Ureno, amehakikishiwa kwamba tatizo hilo sio kubwa na la kutisha na tishu hizo haziweza kusambaa kwenda kwenye maeneo mengine ya mwili. Madaktari wamemfahamisha kuwa anapofanya uchunguzi wa kansa ya matiti anapaswa pia kufanya uchuguzi na kwapa lake, lenye tishu zinazofananana na matiti na kutoa maziwa.


Hata hivyo haijafahamika wazi kama mwanamke huyo aliweza kutumia kwapa hilo kumnyonyesha mtoto ama kukamua maziwa yake na kumpatia mtoto.

CHANZO - BBC SWAHILI
Share:

Kisaka Secondary School

About Kisaka Secondary School Kisaka Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1461 – Known as Shule ya Sekondari Kisaka Secondary School. O Level History  A total of 87 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kisaka Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kiwira Coal Mine Secondary School

About Kiwira Coal Mine Secondary School Kiwira Coal Mine Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1462 – Known as Shule ya Sekondari Kiwira Coal Mine Secondary School. O Level History  A total of 110 candidates from this school sat in the form four […]

This post Kiwira Coal Mine Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kipololo Secondary School

About Kipololo Secondary School Kipololo Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1464 – Known as Shule ya Sekondari Kipololo Secondary School. O Level History  A total of 31 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kipololo Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Malati Secondary School

About Malati Secondary School Malati Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1465 – Known as Shule ya Sekondari Malati Secondary School. O Level History  A total of 33 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Malati Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Isuto Secondary School

About Isuto Secondary School Isuto Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1467 – Known as Shule ya Sekondari Isuto Secondary School. O Level History  A total of 104 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Isuto Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Chaume Secondary School

About Chaume Secondary School Chaume Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1468 – Known as Shule ya Sekondari Chaume Secondary School. Chaume is a public secondary school, this institution is government owned. Chaume Secondary School Facilities The Chaume Secondary School, features a number of facilities […]

This post Chaume Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mbonea Secondary School

About Mbonea Secondary School Mbonea Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1469 – Known as Shule ya Sekondari Mbonea Secondary School. O Level History  A total of 84 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Mbonea Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kiara Secondary School

About Kiara Secondary School Kiara Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1470 – Known as Shule ya Sekondari Kiara Secondary School. O Level History  A total of 193 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kiara Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sungu Secondary School

About Sungu Secondary School Sungu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1471 – Known as Shule ya Sekondari Sungu Secondary School. O Level History  A total of 87 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Sungu Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Lukumbule Secondary School

About Lukumbule Secondary School Lukumbule Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1448 – Known as Shule ya Sekondari Lukumbule Secondary School. O Level History  A total of 72 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Lukumbule Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Monday, 23 August 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI 24,2021





Share:

MAMA MARIAM MWINYI AIPONGEZA BENKI YA CRDB KWA TAMASHA LA KIHISTORIA LA KIZIMKAZI

 

Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa wananchi wa Mji wa Kizimkazi pamoja na Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2021, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 23, 2021, kwa udhamini wa Benki ya CRDB.
 
==========    =========
 
Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa kufanikisha uandaaji wa Tamasha la Kizimkazi 2021. Mama Mariam Mwinyi ameyasema hayo katika uzinduzi wa tamasha hilo uliofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi ambapo alikua mgeni rasmi katika uzinduzi huo ulioanza kwa semina ya wajasiriamali 300 iliyoratibiwa na Benki ya CRDB.
 
Akizungumzia katika uzinduzi huo Mh. Mariam Mwinyi ameishukuru Benki ya CRDB kwa kuwaongezea maarifa wajasiriamali jambo ambalo litakwenda kuongeza tija katika uendeshaji wa biashara zao.  Aliongeza kuwa malengo ya semina hiyo kwa wajasiriamali yanaendeana na malengo ya Serikali ya Awamu ya 8 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika masuala ya uwezeshaji wa wajasiriamali.
“Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuwawezesha wajasiriamali ambapo pamoja na mambo mengine Serikali imeanzisha mfuko wa uwezeshaji kwa wajasiriamali, imefanya uteuzi wa Katibu Mkuu maalum anaeshughulikia masuala ya uwezeshaji lakini pia imeendelea na juhudi za kuhamasisha taasisi za fedha ikiwemo Benki ya CRDB kusaidia uwezeshaji kwa wajasiriamali” alisisititiza Mh. Mariam.
 
Pamoja na kupongeza shughuli za kitamaduni, sanaa na michezo zitakazofanyika katika tamasha hilo, Mh. Mariam Mwinyi ameiomba Benki ya CRDB kuendelea kusaidia wakazi wa Kizimkazi katika eneo la elimu hasa kwa kusaidia upatikanaji wa vifaa ya maabara mashuleni. Sambamba na wito huo kwa Benki ya CRDB, Mh. Mariam alitoa wito kwa wazazi kuhakikisha wanasimamia vyema malezi ya watoto na kuwahimiza katika elimu ambayo itawasadia  katika maisha yao huku akitoa mfano wa Rais wa Jamuhuri ya Muugano wa Tanzania,       Mhe. Samia Suluhu Hassan ambae ni mzaliwa wa Kizimkazi.
Nae Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya CRDB, TullyEsther Mwambapa alisema Benki ya CRDB imedhamiria kubadirisha maisha ya wana Kizimkazi kupitia sera yake ya kurudisha kwenye jamii ambapo kila mwaka Benki hutenga asilimia moja ya faida yake kuwekeza katika jamii. Sambamba na ufadhili wa tamasha la Kizimkazi, Benki ya CRDB  imekamilisha ujenzi wa miradi miwili ya maendeleo ambayo itakabidhiwa kwa Mgeni Rasmi  wa Tamasha la Kizimkazi 2021 ambae ni Rais Samia Suluhu Hassan  siku ya kilele cha tamasha Agosti 28.
 
“Imani yetu ni kuwa fursa zitakazopatikana kupitia Tamasha la Kizimkazi zitaleta hamasa kubwa na kuchochea shughuli za kiuchumi hapa Kizimkazi na hivo kuongeza mchango wa wana Kizimkazi katika kutekeleza dhana ya Uchumi wa Bluu ambayo inaongoza Serikali ya Awamu ya 8 ya Mapinduzi ya Zanzibar” aliongeza Tully.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mh. Rashid Hadid Rashid alisema tamasha la mwaka huu litakua la kihistoria kutokana na kupewa nguvu kubwa na Benki ya CRDB ambayo imekua mdau mkubwa wa Kizimkazi tangu tamasha hilo lilipoanza kama Samia Day mnamo mwaka 2016.
 
“Nawashukuru sana Benki ya CRDB kwa kutoa ufadhili mkubwa kwenye tamasha la Kizimazi kwa mwaka huu ambalo pamoja na mambo mengine ya kimaendeleo pia litajumuisha usafi wa mazingira, mashindano ya michezo mbali mbali ikiwemo  mpira wa miguu na pete, kufua na kukuna nazi, nage, karata , bao, kuvuta kamba, resi za baskeli, resi za ngalawa, shomooo , na mashindano ya kuhifadhi Qurani”alisema Mh. Rashid.
 
Pamoja na shughuli hizo za kimaendeleo, utamaduni, sanaa na michezo, wananchi ambao watahudhuria Tamasha la Kizimkazi watapata fursa ya kupata chanjo ya UVIKO 19 ambapo itatolewa katika viwaja vya Kizimkazi Dimbani Mji Mpya. Zoezi hilo litaongozwa na Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee Jinsia na Watoto kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mh. Ahmed Nassor Mazrui.
Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi akiwapungia wananchi wa Mji wa Kizimkazi, wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 23, 2021 kwa lengo la ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali Tamasha la Kizimkazi 2021. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, ambao ndio wadhamini wakuu wa Tamasha hilo.
Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar wakimsikiliza Mgeni Rasmi Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa wananchi wa Mji wa Kizimkazi pamoja na Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2021, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanziba.


Share:

Mnyawa Secondary School

About Mnyawa Secondary School Mnyawa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1542 – Known as Shule ya Sekondari Mnyawa Secondary School Mnyawa Secondary School is located at Mtwara. Mnyawa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in History, […]

This post Mnyawa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Namikupa Secondary School

About Namikupa Secondary School Namikupa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1541 – Known as Shule ya Sekondari Namikupa Secondary School Namikupa Secondary School is located at Mtwara. Namikupa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Namikupa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kabila Secondary School

About Kabila Secondary School Kabila Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1444 – Known as Shule ya Sekondari Kabila Secondary School. O Level History  A total of 119 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kabila Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Nanyumbu Secondary School

About Nanyumbu Secondary School Nanyumbu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1540 – Known as Shule ya Sekondari Nanyumbu Secondary School Nanyumbu Secondary School is located at Mtwara. Nanyumbu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Nanyumbu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger