Monday, 23 August 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE AGOSTI 24,2021





Share:

MAMA MARIAM MWINYI AIPONGEZA BENKI YA CRDB KWA TAMASHA LA KIHISTORIA LA KIZIMKAZI

 

Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa wananchi wa Mji wa Kizimkazi pamoja na Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2021, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 23, 2021, kwa udhamini wa Benki ya CRDB.
 
==========    =========
 
Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi ameipongeza Benki ya CRDB kwa kufanikisha uandaaji wa Tamasha la Kizimkazi 2021. Mama Mariam Mwinyi ameyasema hayo katika uzinduzi wa tamasha hilo uliofanyika katika Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi ambapo alikua mgeni rasmi katika uzinduzi huo ulioanza kwa semina ya wajasiriamali 300 iliyoratibiwa na Benki ya CRDB.
 
Akizungumzia katika uzinduzi huo Mh. Mariam Mwinyi ameishukuru Benki ya CRDB kwa kuwaongezea maarifa wajasiriamali jambo ambalo litakwenda kuongeza tija katika uendeshaji wa biashara zao.  Aliongeza kuwa malengo ya semina hiyo kwa wajasiriamali yanaendeana na malengo ya Serikali ya Awamu ya 8 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika masuala ya uwezeshaji wa wajasiriamali.
“Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imedhamiria kuwawezesha wajasiriamali ambapo pamoja na mambo mengine Serikali imeanzisha mfuko wa uwezeshaji kwa wajasiriamali, imefanya uteuzi wa Katibu Mkuu maalum anaeshughulikia masuala ya uwezeshaji lakini pia imeendelea na juhudi za kuhamasisha taasisi za fedha ikiwemo Benki ya CRDB kusaidia uwezeshaji kwa wajasiriamali” alisisititiza Mh. Mariam.
 
Pamoja na kupongeza shughuli za kitamaduni, sanaa na michezo zitakazofanyika katika tamasha hilo, Mh. Mariam Mwinyi ameiomba Benki ya CRDB kuendelea kusaidia wakazi wa Kizimkazi katika eneo la elimu hasa kwa kusaidia upatikanaji wa vifaa ya maabara mashuleni. Sambamba na wito huo kwa Benki ya CRDB, Mh. Mariam alitoa wito kwa wazazi kuhakikisha wanasimamia vyema malezi ya watoto na kuwahimiza katika elimu ambayo itawasadia  katika maisha yao huku akitoa mfano wa Rais wa Jamuhuri ya Muugano wa Tanzania,       Mhe. Samia Suluhu Hassan ambae ni mzaliwa wa Kizimkazi.
Nae Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya CRDB, TullyEsther Mwambapa alisema Benki ya CRDB imedhamiria kubadirisha maisha ya wana Kizimkazi kupitia sera yake ya kurudisha kwenye jamii ambapo kila mwaka Benki hutenga asilimia moja ya faida yake kuwekeza katika jamii. Sambamba na ufadhili wa tamasha la Kizimkazi, Benki ya CRDB  imekamilisha ujenzi wa miradi miwili ya maendeleo ambayo itakabidhiwa kwa Mgeni Rasmi  wa Tamasha la Kizimkazi 2021 ambae ni Rais Samia Suluhu Hassan  siku ya kilele cha tamasha Agosti 28.
 
“Imani yetu ni kuwa fursa zitakazopatikana kupitia Tamasha la Kizimkazi zitaleta hamasa kubwa na kuchochea shughuli za kiuchumi hapa Kizimkazi na hivo kuongeza mchango wa wana Kizimkazi katika kutekeleza dhana ya Uchumi wa Bluu ambayo inaongoza Serikali ya Awamu ya 8 ya Mapinduzi ya Zanzibar” aliongeza Tully.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Mh. Rashid Hadid Rashid alisema tamasha la mwaka huu litakua la kihistoria kutokana na kupewa nguvu kubwa na Benki ya CRDB ambayo imekua mdau mkubwa wa Kizimkazi tangu tamasha hilo lilipoanza kama Samia Day mnamo mwaka 2016.
 
“Nawashukuru sana Benki ya CRDB kwa kutoa ufadhili mkubwa kwenye tamasha la Kizimazi kwa mwaka huu ambalo pamoja na mambo mengine ya kimaendeleo pia litajumuisha usafi wa mazingira, mashindano ya michezo mbali mbali ikiwemo  mpira wa miguu na pete, kufua na kukuna nazi, nage, karata , bao, kuvuta kamba, resi za baskeli, resi za ngalawa, shomooo , na mashindano ya kuhifadhi Qurani”alisema Mh. Rashid.
 
Pamoja na shughuli hizo za kimaendeleo, utamaduni, sanaa na michezo, wananchi ambao watahudhuria Tamasha la Kizimkazi watapata fursa ya kupata chanjo ya UVIKO 19 ambapo itatolewa katika viwaja vya Kizimkazi Dimbani Mji Mpya. Zoezi hilo litaongozwa na Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee Jinsia na Watoto kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mh. Ahmed Nassor Mazrui.
Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi akiwapungia wananchi wa Mji wa Kizimkazi, wakati alipowasili kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 23, 2021 kwa lengo la ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali Tamasha la Kizimkazi 2021. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, ambao ndio wadhamini wakuu wa Tamasha hilo.
Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar wakimsikiliza Mgeni Rasmi Mke wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mama Mariam Mwinyi wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya Ujasiriamali kwa wananchi wa Mji wa Kizimkazi pamoja na Uzinduzi wa Tamasha la Kizimkazi 2021, uliofanyika leo kwenye Ukumbi wa Skuli wa Sekondari ya Kizimkazi, Zanziba.


Share:

Mnyawa Secondary School

About Mnyawa Secondary School Mnyawa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1542 – Known as Shule ya Sekondari Mnyawa Secondary School Mnyawa Secondary School is located at Mtwara. Mnyawa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in History, […]

This post Mnyawa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Namikupa Secondary School

About Namikupa Secondary School Namikupa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1541 – Known as Shule ya Sekondari Namikupa Secondary School Namikupa Secondary School is located at Mtwara. Namikupa Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Namikupa Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kabila Secondary School

About Kabila Secondary School Kabila Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1444 – Known as Shule ya Sekondari Kabila Secondary School. O Level History  A total of 119 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kabila Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Nanyumbu Secondary School

About Nanyumbu Secondary School Nanyumbu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1540 – Known as Shule ya Sekondari Nanyumbu Secondary School Nanyumbu Secondary School is located at Mtwara. Nanyumbu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Nanyumbu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kagoma Secondary School

About Kagoma Secondary School Kagoma Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1438 – Known as Shule ya Sekondari Kagoma Secondary School. O Level History  A total of 131 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kagoma Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Tirav Secondary School

About Tirav Secondary School Tirav Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1440 – Known as Shule ya Sekondari Tirav Secondary School. Tirav is a independent secondary school, this institution is non government owned. Tirav Secondary School Facilities The Tirav Secondary School, features a number of […]

This post Tirav Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Nyalikungu Secondary School

About Nyalikungu Secondary School Nyalikungu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1539 – Known as Shule ya Sekondari Nyalikungu Secondary School Nyalikungu Secondary School is located at Simiyu. Nyalikungu Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Chemistry, […]

This post Nyalikungu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kidodi Secondary School

About Kidodi Secondary School Kidodi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1439 – Known as Shule ya Sekondari Kidodi Secondary School. O Level History  A total of 262 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kidodi Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Filbert Bayi Secondary School

About Filbert Bayi Secondary School Filbert Bayi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1437 – Known as Shule ya Sekondari Filbert Bayi Secondary School. The Filbert Bayi Secondary School (FBSS) is a beautiful new school that was opened in January 2004. It is […]

This post Filbert Bayi Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sunga Secondary School

About Sunga Secondary School Sunga Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1538 – Known as Shule ya Sekondari Sunga Secondary School Sunga Secondary School is located at Tanga. Sunga Secondary School is boys and girls school and it is doing well in Kiswahili, […]

This post Sunga Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Malibwi Secondary School

About Malibwi Secondary School Malibwi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1381 – Known as Shule ya Sekondari Malibwi Secondary School. O Level History  A total of 66 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Malibwi Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Ulyankulu Secondary School

About Ulyankulu Secondary School Ulyankulu Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1182 – Known as Shule ya Sekondari Ulyankulu Secondary School Ulyankulu Secondary School Facilities The Ulyankulu Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Ulyankulu Secondary School has been posted by Udahiliportal Editor 03

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kamena Secondary School

About Kamena Secondary School Kamena Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1356 – Known as Shule ya Sekondari Kamena Secondary School. O Level History  A total of 111 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Kamena Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Busangi Secondary School

About Busangi Secondary School Busangi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1354 – Known as Shule ya Sekondari Busangi Secondary School. O Level History  A total of 59 candidates from this school sat in the form four national exams held in 2020. By […]

This post Busangi Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Sufa Secondary School

About Sufa Secondary School Sufa Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S1352 – Known as Shule ya Sekondari Sufa Secondary School. SUFA Schools started in 1997 by the proprietor Madam Fatma Salum Abdalla and it comprises of Nursery, Primary and Secondary Schools (SNPS). […]

This post Sufa Secondary School has been posted by Udahiliportal_01

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger