Friday, 20 August 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA AGOSTI 20,2021









Share:

Picha & Video : WAFANYAKAZI WA TANESCO WAZUA GUMZO WAKIFYEKA SHAMBA LA MAHINDI TINDE


Leo Alhamis Agosti 19,2021 kuna video imesambaa mtandaoni ikiwaonesha wafanyakazi wa TANESCO wakikata mahindi yaliyolimwa na mwananchi aliyejulikana kwa jina la Hemed Rashid katika eneo la Tinde wilaya ya Shinyanga mkoani Shinyanga.

Inaelezwa kuwa mahindi hayo yamelimwa kwenye njia kuu ya umeme.

Wakazi wa Tinde na watumiaji wa mitandao ya kijamii wanahoji :
"Hii ni halali ? Kwanini tunarudishana nyuma namna hii? Hii Tinde pata picha huyu mkulima  amelima TANESCO wakiwa wamemtazama Ila leo wameamua kuja kukata mimea hivi mnadhani mwananchi atawaelewaje? Haya mahindi yana athiri nini kwenye nguzo ? Kuna mimea ya tikiti nayo imekatwa madhara ya hiyo mimea 362 ya tikiti ni yapi?".

"Tunaomba mamlaka kutusaidia kwani kitendo hiki ni ukatili dhidi ya binadamu maswali hayana majibu, Je shamba hili lilimwa siku moja na kupandwa kisha mazao kukua kwa kasi? Je Mamlaka ya Tanesco haikuwahi kufika hapo tangu shamba linalimwa hadi mazao yalipochanua kiasi hicho ndipo wakayaona?

 Na je kwa  kwa kuwa yalikuwa yamelimwa na kuchanua kiasi hicho kile kinachoitwa taratibu  zingine ukiacha Sheria na kanuni zilishindwa kufanyika na kuonya? au yalikuwa maksudi ya kufanywa  ukatili huo ndiyo maana mahindi yakaachwa yapendeze ndipo yafyekwe? Bado tunajiuliza tukisubiri taarifa za kimamlaka", wameendelea kuhoji watumiaji wa mitandao ya kijamii walioona video clip hiyo.


Tazama picha na video zikionesha mimea hiyo ikikatwa
Mahindi yakikatwa
Mahindi yakikatwa
Miche ya matikiti ikiondolewa
Share:

Thursday, 19 August 2021

Mabwe Tumaini Secondary School | S5816 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Mabwe Tumaini Secondary School Mabwe Tumaini Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S5816 Mabwe Tumaini Secondary School NECTA Results – Check Mabwe Tumaini Secondary School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Mabwe Tumaini Secondary School NECTA Results – ACSEE Results, […]

This post Mabwe Tumaini Secondary School | S5816 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mugeza Secondary School

About Mugeza Secondary School Mugeza Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0407 – Known as Shule ya Sekondari Mugeza Secondary School  Mugeza Secondary School Facilities The Mugeza Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Mugeza Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kashozi Secondary School

About Kashozi Secondary School Kashozi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0406 – Known as Shule ya Sekondari Kashozi Secondary School  Kashozi Secondary School Facilities The Kashozi Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Kashozi Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Efforts Secondary School | S5782 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Efforts Secondary School Efforts Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S5782 Efforts Secondary School NECTA Results – Check Efforts Secondary School ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results Access Efforts Secondary School NECTA Results – ACSEE Results, CSEE Results & FTNA Results […]

This post Efforts Secondary School | S5782 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Makunduchi Secondary School

About Makunduchi Secondary School Makunduchi Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0403 – Known as Shule ya Sekondari Makunduchi Secondary School  Makunduchi Secondary School Facilities The Makunduchi Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Makunduchi Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Maarif Secondary School | S5708 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Maarif Secondary School Maarif Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S5708 A Turkish educational foundation opened a new school in Tanzania’s northeastern province of Arusha. The Maarif Foundation opened the school, which will be attended by 260 students in its primary and […]

This post Maarif Secondary School | S5708 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Mkwajuni Secondary School

About Mkwajuni Secondary School Mkwajuni Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0402 – Known as Shule ya Sekondari Mkwajuni Secondary School  Mkwajuni Secondary School Facilities The Mkwajuni Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Mkwajuni Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Wimbo Mpya : NAY WA MITEGO - MKUU NDUGU YANGU

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Ameachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Mkuu Ndugu Yangu.
Share:

WAZIRI DK. GWAJIMA: BAAADA YA CHANJO MUME WANGU AMETESTI AKAKUTA NIKO FITI



WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, nchini Tanzania Dk. Dorothy Gwajima amewaacha na hamaki wakazi wa jiji la Mwanza mara baada ya kusema, baada ya yeye kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti ‘mitambo’ kwake na kukuta yupo ‘fiti’ kama mwanamke.

Ametoa kauli hivyo jana jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure ya Jijini Mwanza. Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndio maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanjwa chanjo hiyo na kuhimiza watu kwenda kuchanjwa, “Hakuna aliyechanjwa akageuka kuwa zombi.”

Kumekuwa na taarifa kinzani mbalimbali juu ya chanjo hiyo ya UVIKO 19, moja ni kutoka Serekalini inayohamasisha na kumtaka mwananchi kuchanjwa chanjo hiyo kwa kuwa ni salama na inaokoa maisha, lakini kauli nyingine ni iliyoibuliwa na Askofu Josephat Gwajima wa kanisa la Ufufuo na Uzima ambaye anahubiri kila kukicha kuwa chanjo hiyo Sio salama na Viongozi wengi wa Serikali nchini wanafanya maigizo kwenye kuchanjwa.

Kauli hiyo ya Askofu Gwajima ilimlazimisha Dk. Gwajima juzi kuliagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ( TAKUKURU) kumkamata na kumhoji mbunge huyo wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi wa nchi kuhusu chanjo ya Uviko 19.

Alisema Askofu Gwajima amekuwa akitoa taarifa za kupotosha kwa makusudi jambo ambalo linaloivuruga wizara yake ya Afya na Serikali ya Jamhuri katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema wakati umefika kwa jamii kuachana na visingizio vinavyosababisha kuendelea kwa vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto na badala yake kusimamia misingi ya upatikanaji wa haki.

Akizungumzia kuhusu kauli ya IGP Sirro kuhusu kumkamata Gwajima alisema; “IGP yuko sahihi, watu wasijikite hapa watengeneze ajenda ya kisiasa, ukitengeneza ajenda inayonihusu unajidanganya nitakuvua nguo mubashara, baada ya mimi kutamka hivyo yeye akasema ameyasikia kwenye mitandao lakini kawaida lazima tupeleke maandishi….” alisema Dk. Gwajima.
Share:

PADRE PAUL HAULE AFARIKI DUNIA



Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Petro ‘St Peters’ jijini Dar es Salaam, Paul Haule, amefariki dunia Agosti 18, 2021 saa 10:30 jioni wakati akitibiwa katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa iliyopo Ukonga jijini Dar es salaam.

Taarifa za awali zinasema mwili wa Padre Haule ambaye alikua amelazwa kwa siku kadhaa umehifadhiwa katika Hospitali ya Jeshi Lugalo.

Mbali na kuwa paroko msaidizi, Padre Haule alikuwa mkurugenzi wa matangazo Radio Tumaini.

Tumuombee apumzike kwa amani.



Share:

WANAUME UGANDA WAWATAMANI WAREMBO WA AFGHANISTAN


Waziri wa Jinsia, nchini Uganda Betty Amongi

Waziri wa Jinsia, nchini Uganda Betty Amongi, amesema wanaume nchini humo wamekuwa wakiombea wakimbizi kutoka nchini Afghanistan wawasili salama na kwamba wamekuwa wakisambaza picha za wanawake hao warembo na kusema anatumaini hawatotoka chama cha wanaume bahili.

Waziri Amongi ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter hapo jana, na kusema kwamba wanaume hao pia wameahidi ushirikiano mzuri kwa serikali juu ya ujio wa wakimbizi wa Afghan.

"I have seen our Ugandan men praying for safe landing of Afghanistan refugees, and sharing various photos of ladies as below, they are promising total support and cooperation with government this time on this project! hope it'snot Stingy men Association," ameandika Waziri Amongi
Share:

Jumuiya Secondary School

About Jumuiya Secondary School Jumuiya Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0375 – Known as Shule ya Sekondari Jumuiya Secondary School  Jumuiya Secondary School Facilities The Jumuiya Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Jumuiya Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kigoma Grand Secondary School | S5595 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details.

About Kigoma Grand Secondary School Kigoma Grand Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S5595 Kigoma Grand is a public secondary school, this institution is government owned. Kigoma Grand Secondary School NECTA Results – Check Kigoma Grand Secondary School ACSEE Results, CSEE Results & […]

This post Kigoma Grand Secondary School | S5595 NECTA Results ACSEE, CSEE & FTNA results, Contacts details. has been posted by Udahiliportal Editor 02

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Itope Secondary School

About Itope Secondary School Itope Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0373 – Known as Shule ya Sekondari Itope Secondary School  Itope Secondary School Facilities The Itope Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Itope Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Kirua Secondary School

About  Kirua Secondary School Kirua Secondary School is a secondary school in Tanzania with The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) registration number S0372 – Known as Shule ya Sekondari  Kirua Secondary School  Kirua Secondary School Facilities The  Kirua Secondary School, features a number of facilities designed to meet specific requirements. The School Facilities includes: […]

This post Kirua Secondary School has been posted by Udahiliportal_04

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger