Jamaa mmoja kutoka Tala, Kangundo nchini Kenya amejikuta katika wakati mgumu kwa kukabiliwa na waumini na wanakijiji baada ya kubainika kwamba aliwahadaa kwamba mtoto wake yupo mahututi hospitali nao wakamchangia pesa za matibabu.
Duru zinaarifu kwamba jamaa alidai kuwa mwanawe alikuwa amelazwa...
Mwanamume mwenye umri wa miaka 74 kutoka Maragua, Kaunti ya Murang’a, nchini Kenya ambaye alitamba mitandaoni baada ya kujichimbia kaburi sasa amenunua jeneza ambalo litatumika kumzika.
Samuel Karanja maarufu kama Kumenya aliwatembelea mmoja wa maseremala mjini Murang'a ambapo aliagiza aundiwe...
Meneja wa Benki ya CRDB kanda ya magharibi Said Pamui na mwakilishi wa mkuu wa wilaya ya Kahama Robert Kwela wakinyanyua bendera ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa msimu wa pili wa kampeni ya mtaani kwako.
Na Salvatory Ntandu - Kahama
Benki ya CRDB imezindua msimu wa pili wa kampeni ya mtaani...
Victoria Mapesa akipiga mpira wakati akizindua mashindano ya ujirani mwema Mapesa Cup aliyekuwa mgeni rasmi ambaye pia ni Diwani wa viti maalumu na Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Tarime
Na Dinna Maningo,Tarime
TIMU ya Mpira wa Miguu ya West Ham United Sirari maarufu wapiga nyundo...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limesikitika na kulaani kitendo cha msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara kumdhalilisha mwandishi wa Habari wa Redio Clouds FM, Prisca Kishamba.
Taarifa iliyotolewa na jukwaa hilo leo Ijumaa Julai 2, 2021 na mwenyekiti wake, Deodatus Balile inaeleza kuwa...