Mimea mingine hukua mahali ambapo haiwezi kupata virutubisho vyote vinavyohitaji kutoka kwenye mchanga. Ili kuhakikishi mimea hii inapata madini hayo bila kupungua, mimia hiyo hutega, kukamata na kisha kuwala wadudu. Mtego wa kukamata nzi wa Venus (Venus-flytrap) ni mmea ulio na majani yaliyoumbwa...
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itapandisha mishahara kwa watumishi wa kada ya kati kadri uchumi utakapozidi kuimarika.
Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Meimosi, 2021 katika maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-Wakil...
Serikali imeagiza wafanyakazi wote wenye elimu ya darasa la saba walioondolewa kazini lakini hawakughushi vyeti walipwe mafao na stahiki zao zote.
Agizo hilo limetolewa leo Jumamosi Meimosi, 2021 mkoani Mwanza na Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya...
Na Teresia Mhagama, Dar es Salaam
Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amepiga marufuku uagizaji wa vikombe (insulators) kutoka nje ya nchi baada ya uzalishaji wa vikombe hivyo sasa kufanyika nchini.
Dkt.Kalemani ametoa agizo hilo tarehe 28 Aprili, 2021 baada ya kukagua shughuli za uzalishaji...
Sisi Binadamu tunakutana na mambo mengi sana katika maisha yetu ya kila siku hapa duniani.Mimi kwa majina naitwa Mama Fatuma mkazi wa Makumbusho -Dar es salaam,umri wa miaka 50 sasa.
Nimeweza kukutana na changamoto kubwa sana katika maisha yangu kwanza mimi najishughulisha na kupika vitumbua...
Na Sammy Waweru
RAIS Uhuru Kenyatta Leba Dei ametangaza kuondoa amri ya ama kuingia au kutoka kaunti tano zilizotajwa kuwa hatari katika maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19.
Machi 26, 2021, serikali iliweka amri hiyo katika kaunti ya Nairobi, Machakos, Kajiado, Kiambu na Nakuru, kufuatia...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya wafanyakazi zaidi ya 85,000 elfu hadi 91,000 watapanda vyeo mwaka ujao na kuajiri watumishi 40,000 katika Idara ya Elimu na Afya.
Ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiwasili katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa leo Mei 1, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia viongozi mbalimbali mara...
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa kwenya maandamano kuelekea uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi...