Saturday, 1 May 2021

RAIS MWINYI : TUTAPANDISHA MISHAHARA KWA WATUMISHI KADRI UCHUMI UTAKAVYOIMARIKA

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itapandisha mishahara kwa watumishi wa kada ya kati kadri uchumi utakapozidi kuimarika. Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Meimosi, 2021 katika maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-Wakil...
Share:

SERIKALI YAAGIZA WENYE ELIMU YA DARASA LA SABA WALIOONDOLEWA KAZINI WALIPWE STAHIKI ZAO

Serikali imeagiza wafanyakazi wote wenye elimu ya darasa la saba walioondolewa kazini lakini hawakughushi vyeti walipwe mafao na stahiki zao zote. Agizo hilo limetolewa leo Jumamosi Meimosi, 2021 mkoani Mwanza na Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa akihutubia kilele cha maadhimisho ya sikukuu ya...
Share:

Waziri Kalemani Apiga Marufuku Uagizaji Wa Vikombe (Insulators) Kutoka Nje Ya Nchi

Na Teresia Mhagama, Dar es Salaam Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amepiga marufuku uagizaji wa vikombe (insulators) kutoka nje ya nchi baada ya uzalishaji wa vikombe hivyo sasa kufanyika nchini. Dkt.Kalemani ametoa agizo hilo tarehe 28 Aprili, 2021 baada ya kukagua shughuli za uzalishaji...
Share:

NILISEMWA SANA KUWA MIMI NI MCHAWI WA MTAA KWA MIAKA 4,ILINIUMA KUSINGIZIWA JAMBO AMBALO SIFANYI

Sisi Binadamu tunakutana na mambo mengi sana katika maisha yetu ya kila siku hapa duniani.Mimi kwa majina naitwa Mama Fatuma mkazi wa Makumbusho -Dar es salaam,umri wa miaka 50 sasa.  Nimeweza kukutana na changamoto kubwa sana katika maisha yangu kwanza mimi najishughulisha na kupika vitumbua...
Share:

RAIS KENYATTA ATANGAZA KUONDOA AMRI YA KUINGIA AU KUTOKA KAUNTI 5 HATARI KWA COVID - 19

Na  Sammy Waweru  RAIS Uhuru Kenyatta Leba Dei ametangaza kuondoa amri ya ama kuingia au kutoka kaunti tano zilizotajwa kuwa hatari katika maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19. Machi 26, 2021, serikali iliweka amri hiyo katika kaunti ya Nairobi, Machakos, Kajiado, Kiambu na Nakuru, kufuatia...
Share:

RAIS SAMIA : TUNATARAJIA KUAJIRI WATUMISHI 40,000...MISHAHARA TUTAPANDISHA MWAKANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema jumla ya wafanyakazi zaidi ya 85,000 elfu hadi 91,000  watapanda vyeo mwaka ujao na  kuajiri watumishi  40,000 katika Idara ya Elimu na Afya. Ameyasema hayo kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani...
Share:

Picha : MATUKIO MBALIMBALI KWENYE MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2021 JIJINI MWANZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiwasili katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Kitaifa leo Mei 1, 2021. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia viongozi mbalimbali mara...
Share:

WATUMISHI WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WASHIRIKI MAANDAMANO YA MEI MOSI JIJINI DODOMA

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa kwenya maandamano kuelekea uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi...
Share:

BRELA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI

Wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni BRELA wakiwa katika picha ya pamoja katika maadhimisho ya sikukuu ya Wafanyakazi leo tarehe 1 Mei, 202...
Share:

Driver/Messenger at African Union

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content VACANCY ANNOUNCEMENT: DRIVER/MESSENGER (AU ABC) The African Union, established as a unique Pan African continental body, is charged with spearheading Africa’s rapid integration and sustainable development by promoting unity, solidarity, cohesion and cooperation among the peoples of...
Share:

LIVE: Kilele Cha Maadhimisho Ya Sherehe Za Mei Mosi Kitaifa Uwanja Wa Ccm Kirumba Mwanza

  LIVE: Kilele Cha Maadhimisho Ya Sherehe Za Mei Mosi Kitaifa Uwanja Wa Ccm Kirumba Mwanz...
Share:

MUIGIZAJI MAARUFU WA FILAMU MZEE MSIRI AFARIKI DUNIA

Muigizaji mkongwe anayefahamika katika kipindi cha Pete kama Mzee Msiri amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 62. Gillie Owino kwa majina yake halisi alifariki dunia Ijumaa Aprili 30,2021 saa chache baada ya kukimbizwa hospitalini.  Kulingana na taarifa kutoka kwa familia yake, Mzee Msiri aliangamizwa...
Share:

Head, Finance and Administration Division at African Court on Human and Peoples’ Rights

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content ADVERTISEMENT OF VACANCY N° AFCHPR/2021/04 HEAD, FINANCE AND ADMINISTRATION DIVISION, P5 AFRICAN COURT ON HUMAN AND PEOPLES’ RIGHTS The African Court was established by virtue of Article 1 of the Protocol to the African Charter on Human and Peoples’ Rights on the establishment...
Share:

Program Coordinator at Pathfinder

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Pathfinder Overview Pathfinder International is driven by the conviction that all people, regardless of where they live, have the right to decide whether and when to have children, to exist free from fear and stigma, and to lead the lives they choose. Since 1957, we have partnered with...
Share:

ITF GHS Project Lab Officer at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis...
Share:

ITF GHS Project Manager at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis...
Share:

General Services Driver at MDH

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include: communicable diseases such as HIV/AIDS, Tuberculosis...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger