
Serikali imefunga mtambo wa kisasa wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6 wa uchunguzi na matibabu ya moyo (Catheterization Laboratory – Cathlab) uliounganishwa na mtambo wa Carto 3 System 3D & mapping electrophysiology System ambao unauwezo wa kufanya uchunguzi na kutibu...