Monday, 4 January 2021

Waziri Lukuvi Awataka Wamiliki Wa Ardhi Kujenga Kwa Kufuata Sheria

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kujenga kuhakikisha wanafuata sheria na  taratibu zote wakati wa kufanya ujenzi. Waziri Lukuvi alisema hayo mwishoni mwa wiki hii katika ofisi yake ya ardhi ya mkoani Dar es salaam na Pwani....
Share:

Waziri wa Ujenzi Aiagiza Tanroads Kupunguza Gharama Za Mradi

 Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Leonard Chamuriho, ameiagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mkoa wa Mara , kuhakikisha wanapunguza  gharama za miradi, hususani wanapofanya upembuzi yakinifu. Alitoa agizo hilo akiwa katika ziara wilayani Bunda, akikagua ujenzi wa barabara...
Share:

Naibu Waziri Mabula Aelezea Namna Bilioni 2.175 Za Urasimishaji Zilivyoliwa

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amebaini ubadhilifu wa zaidi ya Bilioni 2 uliofanywa na Wakufunzi wa Chuo Cha Ardhi Morogoro (ARIMO) na kumuelekeza Mkuu wa Chuo Huruma Lugala kumsimamisha  kazi mara moja Mkuu wa Utawala wa Chuo Michael Lori kwa ...
Share:

Tozo Za Masoko Ya Samaki Ya Kimataifa Kuwasilishwa Wizarani

 Na. Edward Kondela Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki amewataka wakurugenzi wa halmashauri zenye masoko ya samaki ya kimataifa kuacha kupanga tozo za mazao ya uvuvi bila kuwasiliana na wizara hiyo ili kuondoa kero za tozo zinazowakumba wananchi wanaofanya biashara katika maeneo...
Share:

Video Mpya 2021 : GUDE GUDE - MIKOSI

Msanii maarufu wa Nyimbo za asili Gude Gude 'Tajiri wa Maluho', ameachia video mpya mwaka 2021 inaitwa Mikosi. Tazama video hii hapa chini ...
Share:

Wimbo Mpya 2021 : NG'WANA ISHUDU - MANYANYASO WANAWAKE

Msanii wa Nyimbo za asili Ng'wana Ishudu kutoka Ihalo Luhumbo Shinyanga Vijijini amefungua mwaka 2021 kwa kuachia wimbo uitwao Manyanyaso kwa wanawake akitetea haki za wanawake katika jamii. Sikiliza wimbo huu hapa chini...
Share:

MAZUNGUMZO YA TRUMP YA SIRI GEORGIA, KUJARIBU KUBADILISHA MATOKEO YA UCHAGUZI YANASWA

Kanda ya sauti imepatikana ambamo Rais Donald Trump wa Marekani anasikika akimshinikiza kamishna wa uchaguzi katika jimbo la Georgia kutafuta kura za kumsaidia Trump kushinda jimbo hilo katika uchaguzi wa rais wa Novemba iliyopita.  Katika kanda hiyo Trump anasikika katika mazungumzo ya...
Share:

Ngoma Mpya 2021 : FUNGA MEZA Ft WAKOKAYA - NASEKWE

Ninayo hapa video mpya kabisa ya msanii wa nyimbo za asili Funga Meza amemshirikisha Wakokaya wimbo unaitwa Nasekwe. Tazama Video hapa chin...
Share:

ASKARI POLISI AWANUNULIA CHAKULA WATUHUMIWA WA WIZI BADALA YA KUWAKAMATA

Afisa mmoja wa polisi ambaye alikuwa ameitwa kuikamata familia moja inayoshukiwa kuiba katika duka moja badala yake aliwanunulia chakula ili waweze kusherehekea chakula cha jioni cha Krismasi. Matt Lima aliitwa katika duka moja la chakula katika eneo la Somerset , Massachussetts , mwezi uliopita...
Share:

NANCY PELOSI ACHAGULIWA TENA KUWA SPIKA WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREKANI

Bunge la Marekani limewachagua viongozi wake wapya, wiki mbili na nusu tu kabla ya rais mteule Joe Biden kuchukua madaraka rasmi.   Kwa mara nyingine Baraza la Wawakilishi limemchagua Nancy Pelosi kuwa Spika wake, japo kwa kura chache ikilinganishwa na muhula uliopita.  Kwa uchaguzi huo...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu January 4

...
Share:

Sunday, 3 January 2021

Tutorial Assistant (Wildlife Science) at UDSM

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit udahiliportal.com to access full content The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS COLLEGE OF NATURAL AND APPLIED SCIENCES (CoNAS) Department of Zoology and Wildlife Conservation...
Share:

ALIYEOMBA MTOTO KANISA LA UFUNUO AJIFUNGULIA KANISANI

Mkazi wa mtaa wa Kilimahewa kata ya Bulangwa wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita, Justina Lukilisha amejifungua mtoto nje ya kanisa la Ufunuo mjini Ushirombo baada ya kuumwa uchungu ghafla. Lukilisha amejifungua mtoto wa kike leo Jumapili Januari 3, 2021 akiwa kwenye ibada akidai kuwa hakutegemea uchungu...
Share:

WAZEE WASTAAFU WATEMBELEA MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE...WATOA NENO KWA VIJANA

Mlezi wa SAWATA, Brigedia Jenerali Mstaafu Francis Xavery Mbena na wazee wenzake wakiangalia maajabu. Na mwandishi wetu, JNHPP  WAZEE ni hazina ya Taifa na kuna msemo wa Kiswahili usemao “Uzee ni Dawa”, Januari 2, 2021 Wazee Wastaafu kutoka Chama cha Saidia Wazee Tanzania (SAWATA) walipata fursa...
Share:

KANISA LA MORAVIAN USHARIKA WA KIJICHI LAFANYA BONANZA KUSHEREHEKEA CHRISMASI NA MWAKA MPYA

  Baadhi ya vijana walioshiriki bonanza hilo lililoandaliwa na Kanisa la Moravian Usharika wa Kijichi jijini Dar es Salaam  kwa ajili ya kusherehekea Sikukuu za mwishoni mwa mwaka 2020. Kulia ni Mchungaji wa kanisa hilo Raphael Mwampagatwa. Timu hii ya vijana walioshiriki bonanza hilo lililoandaliwa...
Share:

WANANCHI WA MBOPO WAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUINGILIA MGOGORO WA ARDHI

  Baadhi ya Wananchi wakimsilikiliza Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa Mbopo jijini Dar es salaam alipokuwa akizungumza nao kwenye kikao chake alichokiitisha kwa wakazi wa maeneo hayo mwishoni mwa wiki. Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa Mbopo,Mohamed Bushir azingumza na Wananchi katika mkutano wa...
Share:

FULL POWER, ZATI 50 NI KIBOKO YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA UUME MDOGO

Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume: ⇒Ngiri, ⇒Henia ⇒Kisukari ⇒Tumbo kujaa gesi ⇒Kutopata choo vizuri ⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu ⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi ⇒Msongo wa mawazo  ⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger