Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume:
⇒Ngiri,
⇒Henia
⇒Kisukari
⇒Tumbo kujaa gesi
⇒Kutopata choo vizuri
⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu
⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi
⇒Msongo wa mawazo
⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa...
Sunday, 3 January 2021
Waziri Mkuu Atoa Siku Mbili Sekondari Ya Tunduru Ipelekewe Gari

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amempa siku mbili Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoni Ruvuma, Gaspar Balyomi awe amepeleka gari katika shule ya Sekondari Tunduru kwa ajili ya kuwahudumia walimu na wanafunzi shuleni hapo.
Ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Januari 2, 2021) wakati alipokagua...
Halmashauri Za Bagamoyo Na Mkuranga Mkoa Wa Pwani Zamkuna Naibu Waziri Mabula

Na Munir Shemweta, WANMM PWANI
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amefurahishwa na kuzipongeza halmashauri za wilaya ya Mkuranga kwa kununua vifaa vya upimaji na Bagamoyo kwa kuandaa mpango Kabambe.
Akizungumza na watendaji wa sekta ya ardhi, viongozi...
Naibu Waziri Ummy Akemea Vitendo Vya Udhalilishaji Kwa Watu Wenye Ulemavu

Na: Mwandishi Wetu
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amekemea vikali vitendo vya udhalilishaji Watu wenye Ulemavu ikiwemo suala watu ambao wamekuwa wakitumia kundi hilo kujinufaisha.
Hayo yameelezwa wakati alipofanya ziara ya kushitukiza katika...
Makamu Wa Rais Mhe. Samia Awafariji Majeruhi Wa Ajali Ya Treni Dodoma

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amewatembelea majeruhi wa ajali ya treni katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma ambapo ametoa maagizo kwa mkoa kuhakikisha wanasaidiwa kufika makwao mara watakapopata nafuu.
Samia alitoa kauli hiyo baada ya kuzunguka katika wodi zote walikolazwa majeruhi...
Assistant Lecturer (Biostatistics) at UDSM
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES (CoSS) Department of Statistics Field: Biostatistics: 1 Position – Assistant Lecturer Applicants for: Lecturer must possess PhD plus a minimum GPA of 4.0 or a B+ […]
The...
Assistant Lecturer (Probability Theory and Statistics) at UDSM
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES (CoSS) Department of Statistics Field: Probability Theory and Statistics: 1 Position – Assistant Lecturer Applicants for: Lecturer must possess PhD plus a minimum GPA of...
Tutorial Assistant (Social work) at UDSM
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES (CoSS) Department of Sociology Field: Social work: 1 Position – Tutorial Assistant Applicants for: Lecturer must possess PhD plus a minimum GPA of 4.0 or […]
The post Tutorial...
Tutorial Assistant (Sociology) at UDSM
The University of Dar es Salaam invites applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for immediate employment to fill the following vacant posts: ACADEMIC POSITIONS COLLEGE OF SOCIAL SCIENCES (CoSS) Department of Sociology Field: Sociology: 1 Position – Tutorial Assistant Applicants for: Lecturer must possess PhD plus a minimum GPA of 4.0 or a […]
The post Tutorial...
TEACHERS at Helasita Secondary School
SCHOOL BACKGROUND Helasita Secondary School is a boys’ secondary school located at Mtoni Kijichi, in Temeke Municipality, Dar Es Salaam, Tanzania. The school is registered with registration Number S. 4891 and follows the Tanzania’s National Curriculum. Helasita Secondary School was established under Company’s Act, Cap.16 of 2002 with mandate to provide education services. The school […]
The post...
Patron at Helasita Secondary School
SCHOOL BACKGROUND Helasita Secondary School is a boys’ secondary school located at Mtoni Kijichi, in Temeke Municipality, Dar Es Salaam, Tanzania. The school is registered with registration Number S. 4891 and follows the Tanzania’s National Curriculum. Helasita Secondary School was established under Company’s Act, Cap.16 of 2002 with mandate to provide education services. The school […]
The post...
Store Keeper at Helasita Secondary School
SCHOOL BACKGROUND Helasita Secondary School is a boys’ secondary school located at Mtoni Kijichi, in Temeke Municipality, Dar Es Salaam, Tanzania. The school is registered with registration Number S. 4891 and follows the Tanzania’s National Curriculum. Helasita Secondary School was established under Company’s Act, Cap.16 of 2002 with mandate to provide education services. The school […]
The post...
Laboratory Technician at Helasita Secondary School
SCHOOL BACKGROUND Helasita Secondary School is a boys’ secondary school located at Mtoni Kijichi, in Temeke Municipality, Dar Es Salaam, Tanzania. The school is registered with registration Number S. 4891 and follows the Tanzania’s National Curriculum. Helasita Secondary School was established under Company’s Act, Cap.16 of 2002 with mandate to provide education services. The school […]
The post...
Finance Program Officer at Heart to Heart Foundation
Heart to Heart Foundation (HtHF) was established in 1988 to bring together a beautiful society by supporting both domestic and international children and their families, who are suffering from poverty, disease and disability. We started to work in Tanzania since 2009 dealing with Eye Health issues and launched the Tanzania branch on June 30th, 2011 […]
The post Finance Program Officer at Heart to...
Grader Operator at AUMS
African Underground Mining Services (AUMS) is an international leader in mechanised hard rock underground mining. AUMS is part of Perenti (Formerly the Ausdrill Group), an ASX 200 company and Australia’s second largest integrated mining services provider. We are a global leader in hard rock underground mining; together with Barminco we operate across Africa in Tanzania, […]
The post Grader Operator...
Ajali ya treni yaua na Kujeruhi Jijini Dodoma

Watu watatu wamefariki dunia na wengine zaidi ya thelathini wamejeruhiwa, baada ya treni waliyokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es salaam kuelekea mkoani Kigoma, kupata ajali katika eneo la Kigwa wilayani Bahi mkoani Dodoma.
...
AJALI YA TRENI YAUA WATATU DODOMA... KAZI YA KUINUA MABEHEWA YALIYOANGUKA INAENDELEA

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge amesema kazi inayofuata baada ya kuwaondoa majeruhi wote wa ajali ya treni iliyotokea hapo jana, ni kuinua mabehewa sita yaliyoanguka.
Amesema kuwa kazi hiyo inaanza asubuhi hii kwa kushirikisha Wadau mbalimbali.
Dkt. Mahenge amefafanua kuwa vifo kutokana...