Sunday, 3 January 2021

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili January 3

...
Share:

Saturday, 2 January 2021

KATAMBI ARIDHISHWA KASI UJENZI VYUMBA VYA MADARASA, AMWAGA MAMILIONI YA FEDHA

   Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Patrobas Katambi, (katikati) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, akishiriki kwenye ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika shule ya Msingi Mlimani Old Shinyanga. Na Marco Maduhu, Shinyanga.  Naibu Waziri...
Share:

JESHI LA POLISI SHINYANGA LAKANUSHA TAARIFA ZA DEREVA WA LORI ALIYEPIGWA NA ABIRIA WA BASI LA FRESTER KUFARIKI DUNIA

  Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba *** Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekanusha taarifa zinazoenea mtandaoni kuwa dereva wa lori aliyeshambuliwa kwa kupigwa ngumi na mateke na abiria wa Basi la Frester kwa madai ya kutaka kusababisha ajali, amefariki...
Share:

KAMATI YA FEDHA,UONGOZI NA MIPANGO YAANZA KUCHUNGUZA MAGARI YA HALMASHAURI

Waliovaa majoho,kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime Apoo Tindwa,kushoto ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Tarime ambaye pia ni Diwani wa kata ya Nyakonga. Madiwani wa halmashauri ya wilaya Tarime **** Na Dinna Maningo,TARIME KAMATI ya Fedha,Uongozi na Mipango imeanza...
Share:

JIKO LA MKAA LAUA WATU WATANO WA FAMILIA MOJA

Familia nzima ya watu watano imepatikana imeangamia ndani ya nyumba yao mtaani Githurai 45, katika kaunti ya Kiambu nchini Kenya. Kulingana na polisi, familia hiyo inashukiwa kuvuta hewa yenye sumu ya carbon monoxide kutoka kwa jiko ya mkaa.  Akithibitisha kisa hicho OCPD Phineas Lingera alisema...
Share:

MLEZI WA SKAUTI MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI AFANYA ZIARA MKOANI MBEYA

  Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti Tanzania anayeshughulikia makambi na mazingira ambaye pia ni mlezi wa mikoa ya  Nyanda za Juu Kusini ya Mbeya, Ruvuma na Iringa, Mary Anyitike. Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti Tanzania anayeshughulikia makambi na mazingira ambaye pia ni mlezi wa mikoa...
Share:

AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II at Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu

POST AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II – 1 POST POST CATEGORY(S) SOCIOLOGY, POLITICAL SCIENCE, COMMUNITY AND SOCIAL DEVELOPMENT EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu APPLICATION TIMELINE: 2020-12-31 2021-01-13 JOB SUMMARY NA   The deadline for submitting the application is 13 January, 2021 CLICK HERE TO APPLY The post AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II at Halmashauri...
Share:

AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA II at Halmashauri ya Wilaya ya Igunga

POST AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA II – 1 POST POST CATEGORY(S) SOCIOLOGY, POLITICAL SCIENCE, COMMUNITY AND SOCIAL DEVELOPMENT EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Igunga APPLICATION TIMELINE: 2020-12-31 2021-01-13 JOB SUMMARY NA   The deadline for submitting the application is 13 January, 2021 CLICK HERE TO APPLY The post AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA II at Halmashauri ya...
Share:

AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II at Halmashauri ya Manispaa ya Musoma

POST AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA LA II – 1 POST POST CATEGORY(S) SOCIOLOGY, POLITICAL SCIENCE, COMMUNITY AND SOCIAL DEVELOPMENT EMPLOYER Halmashauri ya Manispaa ya Musoma APPLICATION TIMELINE: 2020-12-31 2021-01-13 JOB SUMMARY NA        The deadline for submitting the application is 13 January, 2021 CLICK HERE TO APPLY The post AFISA MAENDELEO YA JAMII MSAIDIZI DARAJA...
Share:

PROCUREMENT & STORES MANAGER at TADB

BACKGROUND OF TADB Tanzania Agricultural Development Bank Limited (TADB) is a Government Institution established under the Companies Act, 2002 and licensed under the provisions of the Banking and Financial Institutions Act No 5 of 2006 and the Banking and Financial Institutions (Development Finance) Regulations, 2012. The bank has the following key objectives: To catalyze credit […] The post PROCUREMENT...
Share:

11 Teachers and Other Job Opportunities at Helasita Secondary School

History Helasita Secondary School was established under Company’s Act, Cap.16 of 2002 with mandate to provide education services. The school philosophy is to train students holistically by promoting such skills as; critical and independent thinking, creativity, innovation, communication, rational decision making, team work and adaptability to different environmental contexts just to mention a few....
Share:

Professional Cleaners at Blue Sapphire Hall

ABOUT US   Blue Sapphire Hall located at Jangwani Beach (opp. Ramada Resort) is a one stop events venue with modern facilities that hosts various events ranging from conference hall, wedding services, exhibitions (Local & International) and corporate events. IDEAL FOR: WEDDINGS | SEND OFF | CORPORATE EVENTS | EXHIBITION Posts available : 2 Gender  […] The post Professional Cleaners...
Share:

55 Government Job Opportunities at The University of Dar es Salaam (UDSM) – Various Posts

Overview: The University of Dar es Salaam is the oldest and biggest public university in Tanzania. It is situated on the western side of the city of Dar es Salaam, occupying 1,625 acres on the observation hill, 13 kilometers from the city centre. It was established on 1st July 1970, through parliament act no. 12 […] The post 55 Government Job Opportunities at The University of Dar es Salaam (UDSM)...
Share:

Uingereza sasa rasmi iko nje ya umoja wa Ulaya

Nchi ya Uingereza, imeanza ukurasa mpya wa kujitegemea kutoka umoja wa Ulaya, baada ya usiku wa kuamkia jana kukamilisha rasmi safari ya kujitoa kwenye umoja huo. Uingereza, iliacha kufuata sheria za umoja wa Ulaya kuanzia saa sita usiku kuamkia Ijumaa, ambapo sasa itakuwa na sheria zake za kusafiri,...
Share:

Benard Membe Atangaza Kung'atuka ACT- Wazalendo

Aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe ametangaza rasmi kujiuzulu uanachama na  nafasi ya mshauri mkuu wa chama hicho. Amesema kwa sasa, atabakia kuwa mshauri kitaifa na kimataifa wa kushughulikia na kupigia debe masuala ya demokrasia kwa taifa lake. Hatua...
Share:

Taarifa Ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ya Makusanyo Ya Kodi Mwezi Desemba 2020

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevunja rekodi kwa kukusanya mapato ya Shilingi Trilioni 2.088 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 101, katika robo ya pili ya mwaka wa fedha wa 2020/2021 ikilinganishwa na Shilingi Trilioni 1.664 iliyokusanywa katika robo ya kwanza iliyoishia mwezi Septemba...
Share:

NFRA Wajipange kununua Mahindi mengi kwa Wakulima – RC Wangabo

Wakati Utekelezaji wa lengo la Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) la kuweka mfumo wa kisasa wa kutunza mazao kufikia asilimia 80. Wakala hao wameshauriwa kujiandaa kununua mahindi mengi Zaidi ili kuwahakikishia wakulima soko la mazao yao katika kipindi cha msimu wa 2020/2021 Mkuu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger