Tuesday, 1 December 2020

SERIKALI YAGUSWA NA JUHUDI ZA HUAWEI KUKUZA TEHAMA NCHINI

  NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Dk.Jim Yonazi amepongeza juhudi za Huawei za kuboresha ubora wa elimu ya ICT ili kuongeza ujuzi wa kuajiriwa kwa wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini Tanzania. Dk Yonazi alitoa pongezi hizo wakati wa Sherehe za Ufunguzi wa msimu wa tano...
Share:

Fahamu Kwanini INFINIX Note 8 Ni Simu Pendwa Kwa Mwaka Huu Wa 2020.

Toleo jipya la simu ya Infinix 8 Note iliyozinduliwa hivi karibuni imebeba processor aina ya Helio G80 ikiwa ndio sifa kuu kwa simu hiyo na kupelekea kuvunja rekodi yake yenyewe kwa kuja na simu janja yenye mfumo wa kukidhi mahitaji ya wadau wenye matumizi makubwa ya simu.  Infinix NOTE 8...
Share:

Utayari Wa Wafugaji Kushirikishwa Kwenye Miradi, Hufanya Miradi Hiyo Kudumu

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugp na Uvuvi anayeshughulikia Mifugo Prof. Elisante Ole Gabriel amesema wafugaji wanaposhirikishwa katika uchangiaji wa miradi mbalimbali kwa ajili ya mifugo yao wamekuwa wakionyesha utayari na kufanya miradi hiyo kudumu kwa kuwa wanajisikia kuwa sehemu miundombinu hiyo. Akizungumza...
Share:

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Yatoa Awamu Ya Tatu Ya Mikopo Ya Tzs Bilioni 11.04 Kwa Wanafunzi Wapya 3,544

Na Mwandishi Wetu,HESLB, BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya Awamu ya tatu yenye jumla ya wanafunzi wapya 3,544 waliopangiwa mikopo kwa mara ya kwanza katika mwaka wa masomo 2020/2021 yenye thamani ya TZS 11.04 bilioni. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari...
Share:

Halima Mdee, Wenzake Kukata Rufaa Ndani ya Chadema

Aliyekuwa  Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima James Mdee amesema, yeye pamoja na wenzake 18 hawatoondoka ndani ya chama hicho na wanaendelea na utaratibu wa kukata rufaa kupinga kufukuzwa. Mdee amesema hayo leo Jumanne tarehe 1 Desemba 2020 wakati akizungumza na...
Share:

Housegirl Mbaroni Kwa Kumchoma Kisu Mgeni

Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ACP, Ramadhani Kingai amethibitisha kifo cha kijana aliyechomwa kisu na dada wa kazi. Ezekiel Nyamko mkazi wa Kimara, alichomwa kisu mara mbili kwenye kifua na mfanyakazi wa ndani nyumbani kwa rafiki yake, tukio lililopelekea kifo chake. Kamanda Kingai...
Share:

Madini Kuchangia Mabilioni Kwenye Pato La Taifa

Na Jonas Kamaleki, MAELEZO Tanzania imejaliwa kuwa na maliasili nyingi zinazoweza kuifanya nchi hii kuondokana kabisa na umasikini na utegemezi, hivyo kujiendesha bila kutegemea misaada toka nje ya nchi. Licha ya kuwa na hifadhi za taifa za wanyama, bahari, maziwa, mito na milima na mabonde, nchi...
Share:

Ahukumiwa Jela miaka 2 kwa kumkata viwembe mtoto wa kambo

Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imemtia hatiani Agnes Damian (40) mkazi wa Mji Mwema Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kosa la kumkata kwa wembe sehemu mbalimbali za mwili binti wa miaka 15 ambaye ni mtoto wa mume wake. Katika hukumu hiyo iliyodumu kwa takribani dakika 18 ikisomwa na Hakimu Eva Mushi amesema...
Share:

Raia wa Burundi wakamatwa kwa kuishi nchini kinyemela

Raia wawili wa Burundi wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa madai ya kuingia na kuishi nchini bila kuwa na vibali vinavyotambulika kisheria Akisoma hati ya mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo, Yusto Ruboroga, Wakili wa Serikali Shija Sitta amedai kuwa washitakiwa...
Share:

AFYA YA WAFANYAKAZI NCC NI THAMANI KWA KAZI ZETU-DKT MTURI

Na Mwandishi Wetu WAKATI dunia ikiadhimisha Siku ya Mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi, Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) limesema limefikia malengo yake ya kuhakikisha wafanyakazi wanaelimishwa kuhusu Ukimwi na maambukizi ya virusi visababishavyo ugonjwa huo, kwa mwaka...
Share:

Field Officer at Food For His Children Tanzania

Job Title: Field Officer Location: Karatu, Arusha, Tanzania JOB DESCRIPTION/RESPONSIBILITIES Discipleship: provide individual teaching of D4D principles and Biblical values to help individuals grow in their relationship with Jesus and to understand who they were created to be and how their role fits with the rest of their family and community. Demonstrate Christ-like behavior in all areas...
Share:

Network Engineer at Computer Centre Tanzania Limited

Network Engineer Company Name Computer Centre Tanzania Ltd Company Location Dar es Salaam, Tanzania MINIMUM REQUIREMENTS: Qualifications: · Relevant IT Degree or Advanced Diploma – Information Systems · CCNP: Cisco Certified Network Professional – Routing and Switching or equivalent · Fortinet NSE3/4 or Sophos Certified Engineer – XG Firewalls or Yeastar will be an added advantage CERTIFICATIONS...
Share:

Resident Operations Manager at SiSi Multibiz Limited

Resident Operations Manager Location: Dar es Salaam, Tanzania About the job Urgently looking for candidates on below positions for our small boutique resort property in Kigamboni, Dar es Salaam. Position: Resident Operations Manager F&B manager QUALIFICATION: Preferably Tanzanian, EA citizens may be considered… Must have at least 2yr similar position experience & 5yr hospitality...
Share:

Immigration Consultant at Migratio Group Tanzania

ob Title: Immigration Consultant Location: Dar es Salaam, Tanzania A career as an Immigration Consultant at Migratio gives you the opportunity to work with a smart, motivated, and diverse peer group. Our exclusive focus on immigration means you will practice in an exciting, ever-changing, and challenging environment with people who are passionate about immigration. Migratio is […] The post Immigration...
Share:

Restaurant Manager at Andigo Tanzania

Job Title: Restaurant Manager   Location: Dar es Salaam, Tanzania Overview We are seeking a Restaurant Manager with a background of managing Zanzibar/Indian/Asian Food Menu. The ideal candidate must be a Tanzanian national comfortable working n an Indian and Zanzibar style restaurant setting, preferably speaking Hindi. We offer a basic salary and performance-based incentives. Responsibilities...
Share:

Various Posts at Favorite HR Services Tanzania

Branch Manager Location: Dar es Salaam, Tanzania Overview Industry: Banking Location: Dar es Salaam Minimum Education: Bachelors Degree Required Experience: At least 5+ Years Job Purpose   Ensuring overall branch management; staff management, business growth and development, operational excellence Develop and implement business strategies to deliver performance and growth targets and maintain...
Share:

IT Support Officer at AccessBank Tanzania (ABT)

Job Title: IT Support Officer Overview AccessBank Tanzania (ABT) is a commercial bank with a special focus on microfinance. With very strong international shareholders such as AccessHolding, International Finance Corporation, KfW, African Development Bank and MicroVest. ABT’s vision is to be committed to the development of financial systems that support social progress by rendering services...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger