
Mkuu wa MKoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi akifunga mafunzo maalum ya siku sita kwa wadau zaidi ya 300 kutoka katika mikoa mbalimbali nchini yaliyokuwa yameandaliwa na Baraza la Taifa la watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (NACOPHA) kupitia “Mradi wa Hebu Tuyajenge”...