Friday, 3 April 2020

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa April 3

...
Share:

Thursday, 2 April 2020

Wimbo Mpya : MAN NKELEBE - LUCY

Msanii Man Nkelebe ameachia wimbo mpya unaitwa Lucy..Huu hapa chini ...
Share:

Wimbo Mpya : MAN NKELEBE - UKIMWI

Huu hapa wimbo mpya wa Man Nkelebe unaitwa Ukimwi...Usikilize hapa chini mtu wangu ...
Share:

Picha : MWILI WA MTANGAZAJI WA TBC MARIN HASSAN MARIN WAZIKWA ZANZIBAR

WANANCHI wakibeba Jeneza lililokuwa na Mwili wa Marehemu Marin Hassan Marin, wakitoka nyumbani kwa marehemu na kuelekea katika Msikiti wa Kibweni KMKM kwa ajili ya kuombea dua kwa ajili ya maziko yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Jijini Zanzibar leo Aprili 2,2020.(Picha na Othman Maulid...
Share:

MFANYAKAZI WA MAHAKAMA MBARONI KWA TUHUMA YA KUBAKA MTOTO WA MIAKA 10 MAHAKAMANI SHINYANGA

Na Salvatory Ntandu - Shinyanga Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Joseph Masanja (58) mlinzi wa Mahakama ya Hakimu mkazi Wilaya ya Shinyanga kwa tuhuma ya kumbaka Mwanafunzi mwenye umri wa Miaka 10 wakati akiwa kwenye eneo lake la kazi. Tukio hilo lilitokea tarehe 21 Machi mwaka huu...
Share:

Wimbo Mpya : MAN NKELEBE - AGNESS

Msanii Man Nkelebe anakualika kusikiliza wimbo wake mpya uniatwa Agness ..Usikilize hapa chin...
Share:

Habari Mpya Kuhusu Virusi Vya Corona Tanzania Leo Alhamisi April 2, 2020

...
Share:

Wizara ya afya yatoa ufafanuzi maswali ya Wananchi kuhusu Virusi Vya Corona

Na WAMJW-Dar es Salaam Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema amekuwa akipokea maoni, maswali na ushauri kutoka kwa wananchi wakitaka kujua jitihada mbalimbali za Serikali za kukabiliana na homa kali ya mapafu na amewaagiza wataalamu wake kuanza kujibu maswali. Waziri...
Share:

KAMPUNI YA TIGO WAUNGA JUHUDI KUPAMBANA NA CORONA WATOA WITO KWA JAMII

Kampuni ya Tigo Waunga juhudi kupambana na Corona watoa wito kwa jamii, tazama video hapo chini...
Share:

Picha : DC MBONEKO AONGOZA KAMPENI YA KUHAMASISHA ULIPAJI KODI YA PANGO LA ARDHI WANAODAIWA SHINYANGA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko ameongoza Kampeni ya Kuhamasisha Ulipaji wa Kodi ya Pango la Ardhi kwa wamiliki wa viwanja vya biashara na makazi katika manispaa ya Shinyanga inayoendeshwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ili kutoa elimu ya ulipaji kodi na kufuatilia...
Share:

Wenye Virusi Vya Corona Nchini Kenya Wafika 110...Wawili Zaidi Wafariki Dunia

Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa. Akizungumza katika mkutano na wanahabari jijini Nairobi waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema kwamba watu wengine wawili wamepoteza maisha yao kutokana na maambukizi ya virusi hivyo. Amesema...
Share:

Mkuu Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji Afanya Mabadiliko Ya Makamnda

Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF) John W. Masunga, amefanya mabadiliko ya baadhi ya Makamanda wa Mikoa. Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma,...
Share:

RC Tabora Awaagiza Kusakwa Na Kukamatwa Kwa Walimu Wanaofundisha Tuisheni Kipindi Hiki Cha Mapambano Dhidi Ya Corona

Na Daudi Tiganya MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameagiza kuwasakwa kwa walimu ambao wamekuwa wakiwakusanya wanafunzi kwa ajili ya kufundisha tuisheni kwa kuwa wanapingana na kampeni  ya kudhibiti na kupambana na  ugonjwa wa Covid -19. Hatua hiyo inalenga kuzuia vitendo hatarishi...
Share:

RC Tabora Asimamisha Likizo Za Waganga Na Wauuguzi Ili Kutoa Elimu Ya Kupamabana Na Corona

MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amesimamisha kwa muda likizo za watumishi wakiwemo wa Idara za Afya ili waendelee kuunganisha nguvu katika kusaidia jamii kwenye kampeni za mapambano ya ugonjwa wa Covid -19. Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwakuwepo na wataalamu wa kutosha katika maeneo yote...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger