Wednesday, 1 April 2020

Marekani Yasema Huenda Watu 240,000 Wakafariki Kwa Corona Nchini Humo...Trump Atangaza Hali Ngumu Zaidi Wiki Mbili Zijazo

Rais Donald Trump wa Marekani jana amesema nchi hiyo inakumbwa na changomoto kubwa zaidi kihistoria, na wiki mbili zijazo zitakuwa kipindi kigumu zaidi kwa nchi yake, na kusisitiza kuwa kufuata pendekezo la kujikinga na virusi vya Corona kunahusiana na uhai wa watu. Mtaratibu wa Ikulu ya Marekani...
Share:

Ndege ya Urusi Yaelekea Marekani Na Vifaa vya Kukabiliana Na Virusi Vya Corona

Wizara ya afya nchini Urusi imesema leo kuwa ndege ya nchi hiyo iliyobeba vifaa vya tiba imeondoka nchini humo kuelekea Marekani, huku ikulu ya Kremlini ikitanua ushawishi wake wakati huu wa janga la virusi vya corona. Video iliyotolewa na wizara hiyo, ilionyesha ndege hiyo ya mizigo iliyobeba masanduku...
Share:

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mtangazi wa TBC, Marin Hassan

“Nimepokea kwa mshtuko na masikitiko taarifa za kifo cha ghafla cha mtangazaji maarufu na mahiri Ndg. Marin Hassan kilichotokea leo asubuhi Jijini Dar es Salaam. Marin Hassan aliipenda kazi yake ya uandishi wa habari, aliifanya kwa weledi wa hali ya juu, alikuwa mzalendo wa kweli na alidhamiria kuitumikia...
Share:

Mtoto wa Hayati Edward Moringe Sokoine Azikwa, Mamia Wamsindikiza

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo ameongoza watumishi wa Ofisi yake katika mazishi ya Alazaro Sokoine ambaye ni mtoto Mkubwa wa Hayati Edward Moringe Sokoine. Mazishi hayo yamefanyika jana Monduli Juu Mkoani Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali, ndugu,...
Share:

CORONA YASAMBAA KATIKA NCHI 50 AFRIKA

Kituo cha udhibiti na kuzuia magonjwa vya Umoja wa Afrika kimesema kuwa watu 172 wamepoteza maisha baada ya kuambukizwa virusi vya Covid-19 barani Afrika. Ugonjwa wa corona umeenea katika nchi 50 barani. Kwa ujumla, watu 5,413 wameambukizwa. Mpaka sasa hakuna taarifa zozote za maambukizi nchini...
Share:

KARIBU NNIENET LINGEIRIES STORE SHINYANGA MJINI KWA NGUO ZA NDANI 'UNDER WEAR'

...
Share:

Watoto 11 waambukizwa corona Uganda...Idadi Kamili Yafika 44

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza maambukizi mapya ya watu 11 ya ugonjwa wa Corona nchini humo, wakiwemo baadhi ya wanakwaya wa kwaya maarufu nchini humo 'Watoto Children's Choir. Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa...
Share:

Naibu Waziri wa Ardhi Dr Angelina Mabula Ataka Malipo Ya Kodi Ya Pango La Ardhi Kwa Mitandao Ya Simu Kuepuka Corona

Na Munir Shemweta, WANMM SIMIYU Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona. Dkt...
Share:

Wacheza Bao Na Karata Ndani Ya Masoko Kahamakukamatwa

SALVATORY NTANDU Serikali Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imesema itachukua hatua kali kwa baadhi ya wananchi wanaokaidi maelekezo ya Wizara ya afya Maendeleo ya jamii jinsia, wazee na watoto, wanaopenda kwenda kwenye masoko kucheza michezo ya bao, karata na madrafti ili kudhibiti mikusanyiko isiyokuwa...
Share:

Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan afariki dunia

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC),Dkt.Ayub Rioba Chacha ametangaza kifo cha mwandishi wa habari mwandamizi  wa TBC, Marin Hassan Marin kilichotokea leo asubuhi Dar es Salaam Mipango ya mazishi inaendelea kufanywa na taairfa zaidi zitaendelea kutolewa....
Share:

Benki Ya Dunia Yaipatia Tanzania Mkopo wa dola milioni 500

Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia imeidhinisha mkopo wa dola milioni 500 kwa Tanzania, uliopewa jina la mradi wa uboreshaji wa elimu kwa shule za Sekondari (SEQUIP), ambao utanufaisha wanafunzi milioni 6.5, kwa kuhakikisha wanafunzi wanasoma na kumaliza elimu yao katika mazingira bora.   Akizungumza...
Share:

Watoto 11 waambukizwa corona Uganda...Idadi Kamili Yafika 44

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza maambukizi mapya ya watu 11 ya ugonjwa wa Corona nchini humo, wakiwemo baadhi ya wanakwaya wa kwaya maarufu nchini humo 'Watoto Children's Choir. Kupitia matangazo ya televisheni, alisema kuwa wagonjwa wote wapya walikuwa karantini baada ya kurejea kutoa...
Share:

Naibu Waziri wa Ardhi Dr Angelina Mabula Ataka Malipo Ya Kodi Ya Pango La Ardhi Kwa Mitandao Ya Simu Kuepuka Corona

Na Munir Shemweta, WANMM SIMIYU Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kilipia kodi ya pango la ardhi kufanya hivyo kupitia mitandao ya simu za viganjani ili kuepuka misongamano inayoweza kuchangia maambukizi ya virusi vya Corona. Dkt...
Share:

Wacheza Bao Na Karata Ndani Ya Masoko Kahamakukamatwa

SALVATORY NTANDU Serikali Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga imesema itachukua hatua kali kwa baadhi ya wananchi wanaokaidi maelekezo ya Wizara ya afya Maendeleo ya jamii jinsia, wazee na watoto, wanaopenda kwenda kwenye masoko kucheza michezo ya bao, karata na madrafti ili kudhibiti mikusanyiko isiyokuwa...
Share:

Mtangazaji wa TBC, Marin Hassan afariki dunia

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC),Dkt.Ayub Rioba Chacha ametangaza kifo cha mwandishi wa habari mwandamizi  wa TBC, Marin Hassan Marin kilichotokea leo asubuhi Dar es Salaam Mipango ya mazishi inaendelea kufanywa na taairfa zaidi zitaendelea kutolewa....
Share:

Benki Ya Dunia Yaipatia Tanzania Mkopo wa dola milioni 500

Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia imeidhinisha mkopo wa dola milioni 500 kwa Tanzania, uliopewa jina la mradi wa uboreshaji wa elimu kwa shule za Sekondari (SEQUIP), ambao utanufaisha wanafunzi milioni 6.5, kwa kuhakikisha wanafunzi wanasoma na kumaliza elimu yao katika mazingira bora.   Akizungumza...
Share:

MTANGAZAJI WA TBC MARIN HASSAN AFARIKI DUNIA

Mtangazaji Marin Hassan Marin wa TBC amefariki dunia leo Aprili Mosi asubuhi katika Hospitali ya Jeshi Lugalo, jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania, Dk Ayub Rioba amethibitish...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger