Tuesday, 3 March 2020

11 WAKAMATWA KWA KUWATAPELI WATU KWA KUTUMIA AKAUNTI FEKI ZA FACEBOOK ZA JOKATE MWEGELO, WEMA SEPETU, WOLPER, KAJALA MASANJA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kukabiliana na vitendo vya uhalifu na ajali za barabarani ili kuhakikisha kuwa wageni na wakazi wa Mkoa huu wanaendelea kuwa salama na mali zao. Aidha Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linaendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine wa usalama hali...
Share:

Print Specialist at Point Group Marketing Services

Print Specialist Location: Tanzania About Point  Point is the industry leader in the procurement, management and delivery of end-to-end marketing solutions across Africa and the Middle East. As a strategic marketing services partner, Point uses strategic partnerships and extensive regional and local expertise to deliver value to clients. Key deliverables include best-in-class innovation, significant...
Share:

Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe Atuhumiwa Kwa Matumizi Mabaya ya Ofisi....Apewa Siku 5 za Kujitetea

Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe amepewa siku tano kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka. Hatua hiyo imefika baada ya wajumbe 19 wa Baraza la Madiwani la manispaa hiyo, kusaini maombi wakitaka kifanyike kikao maalum cha kujadili kumng’oa madarakani. Kulingana na...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne March 3

...
Share:

Monday, 2 March 2020

TUMIA FULL POWER KUTIBU TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... ZATI 50 MAUMBILE MADOGO

Sababu za upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo ya uume: ⇒Ngiri, ⇒Henia ⇒Kisukari ⇒Tumbo kujaa gesi ⇒Kutopata choo vizuri ⇒Utumiaji madawa kwa muda mrefu ⇒Unywaji wa pombe kupita kiasi ⇒Msongo wa mawazo  ⇮⇒Haya yote hupelekea mwili kutokuzalisha homoni ya gesrtogine au kuwa chache...
Share:

Mbunge wa jimbo la Wawi Pemba Ahmed Juma Ngwali Ahamia CCM

Mbunge wa Wawi Mkoa wa Kusini Pemba (CUF), Ahmed Juma Ngwali (mwenye t-shirt nyekundu) amejivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM). Ngwali ametangaza uamuzi huo leo Jumatatu Machi 2, 2020 mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole ambaye yupo Zanzibar...
Share:

Nchi Wanachama Wa SADC Kuimarisha Sera Na Kujenga Mikakati Ya Pamoja Ya Kukuza Ajira Kwa Vijana

Na; Mwandishi Wetu Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimejizatiti kuimarisha Sera na kujenga mipango ya pamoja itakayowezesha kukuza ajira kwa vijana katika Ukanda huo. Akifungua Mkutano wa Makatibu Wakuu, Maafisa Waandamizi na Wadau wa Utatu wa Jumuiya hiyo wanaosimamia...
Share:

Waisraeli wapiga kura tena Leo ... Hatma ya Waziri Mkuu Netanyahu kujulikana Usiku wa Manane

Wananchi wa Israeli wanapiga kura leo Jumatatu katika uchaguzi usio wa kawaida na wa tatu nchini humo katika kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huu ndio utaamua kujulikana hatma ya Waziri Mkuu wa Benjamin Netanyahu ambaye anakabiliwa na kesi ya mashitaka ya ufisadi. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa...
Share:

Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC Kufanyika tarehe 16 - 17 Machi

Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unatarajiwa kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 11 hadi 17 Machi, 2020 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.   Akiongea na waandishi...
Share:

Tumia Mwika Kujitibu Busha, Nguvu za Kiume

Mwika ni dawa  ya asili ya nguvu za kiume yenye kutibu matatizo kwa wakati mmoja ; (1)Nguvu za kiume (2) Kunenepesha Maumbile (3)Kuchelewe kufika kileleni Yajuwe matatizo yanayosababisha upungufu wa nguvu za kiume (1) Ngiri ya kupanda na kushuka 2.Korondani moja kuvimba 3.Tumbo kuunguruma...
Share:

Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, Amchefua Waziri Mkuu...Aagiza Achunguzwe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bibi Judica Omari achunguze utendaji kazi wa Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, Bibi  Juan Mening. Amesema hajaridhishwa na utendaji wake kwa kuwa ameshindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na hata hicho kidogo...
Share:

Katibu Mkuu CCM: Tusifurahie Benard Membe Kufukuzwa, Milango Iko Wazi Kama Atakiri Makosa na Tutampokea

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt Bashiru Ally, amemuomba aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, aache kutapatapa na kwamba anahitaji kufanyiwa ushauri wa kisaikolojia ili aweze kuwa sawa. Dr Bashiru Ameyasema hayo wakati akizungumza  katika mahojiano yake na Gazeti la...
Share:

Wafungwa 150 kutoka katika Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Tabora Wapelekwa Gereza la Kwitanga Mkoani Kigoma Kulima Michikichi

Wafungwa 150 kutoka katika Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Tabora wamepelekwa katika Gereza la Kwitanga Mkoani Kigoma ikiwa ni mkakati maalumu wa Serikali kuliteua gereza hilo kuwa Kituo Kikuu cha Uzalishaji wa zao la  mchikichi nchini. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya...
Share:

Waziri Mkuu Majaliwa Asema hajaridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha pamoja cha huduma ya forodha kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha pamoja cha huduma ya forodha kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Horohoro, Tanga ambacho ujenzi wake umegharimu sh. bilioni 7.6. “Jengo hili kuta tayari zimeshaanza kuvimba, kwa nini majengo ya TRA...
Share:

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA) Yatoa Angalizo la Mvua Kubwa Siku Tatu

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha Machi 2 - 3, 2020, katika Mikoa ya Mara, Simiyu, Arusha,Kilimanjaro, Manyara, Singida,Dodoma, Kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, Tanga, Dar es Salaam,Pwani pamoja na Visiwa vya Mafia,Unguja na Pemba.   Kwa...
Share:

Video Mpya : MR DEVI NG'WANA OBEDI - DUNIA

Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za Asili Mr Devi Ng'wana Obedi inaitwa Dunia..Itazame hapa chini mtu wangu...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger