Monday, 2 March 2020

Video Mpya : BEXY - BORA IWE

Ninao wimbo mpya wa Msanii Bexy unaitwa Bora Iwe..  Tazama video hapa chini...
Share:

WAANDISHI WA HABARI WASHAURIWA KUWA WAZALENDO, KUTUMIA VYEMA KALAMU NA MIDOMO YAO KATIKA USTAWI WA TAIFA

Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania Tawi la Arusha, Bw. Charles Yamo, akisoma hotuba ya ufunguzi wa semina kwa waandishi wa habari za uchumi na fedha kwenye ukumbi wa BoT jijini Arusha Machi 2, 2020. **** WAANDISHI wa habari nchini wameshauriwa kuwa wazalendo kwa taifa kwa kutumia vyema kalamu zao,...
Share:

TMA YATOA TAHADHARI YA MVUA KUBWA KUNYESHA LEO HADI JUMATANO TANZANIA ...."MJIANDAE MAJI"

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha Machi 2 - 3, 2020, katika Mikoa ya Mara, Simiyu, Arusha,Kilimanjaro, Manyara, Singida,Dodoma, Kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, Tanga, Dar es Salaam,Pwani pamoja na Visiwa vya Mafia,Unguja na Pemba. Kwa mujibu...
Share:

TAASISI ZA KIFEDHA NCHINI ZATAKIWA KUACHA URASIMU KATIKA MIKOPO

Na Salvatory Ntandu - Kahama Serikali imezitaka Taasisi za kifedha nchini kuacha urasimu katika utoaji wa mikopo kwa wawekezaji wa viwanda wa ndani ili kuwasaidia kukuza mitaji yao hali ambayo itachangia kuongeza ajira. Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya...
Share:

Raia wanne wa kigeni walioingia na mafua Uganda watengwa Kwa Hofu Ya Virusi Vya Corona

Raia wanne wa kigeni waliowasili nchini Uganda na dalili za virusi vya corona wametengwa katika hospitali ya Entebbe, Waziri wa afya amethibitisha. Bila ya kutaja uraia wao, afisa mahusiano wa waziri wa afya bwana Emmanuel Ainebyoona alisema kuwa raia hao wamechukuliwa katika uwanja wa ndege wa...
Share:

Korea Kaskazini Yafyatua Makombora Mengine Mawili

Korea Kaskazini  leo imefyatua makombora mengine mawili kuelekea baharini Vyombo vya habari kutoka Korea Kusini vimeinukuu wizara ya ulinzi ya nchi hiyo ikitangaza kuwa, makombora hayo mawili yamefyatuliwa mapema leo katika mji wa Korea Kaskazini wa Wonsan kuelekea baharini. Tarehe mosi Januari,...
Share:

Uturuki yawauwa wanajeshi 19 wa serikali ya Syria

Mashambulizi ya angani ya ndege za Uturuki zisizoruka na rubani yamewauwa wanajeshi 19 wa serikali ya Syria katika mkoa wa kaskazini magharibi wa Idlib, wakati mvutano ukiendelea kati ya Syria na Uturuki.  Shirika linalofuatilia haki za binaadamu nchini Syria limesema wanajeshi hao waliuawa...
Share:

Watanzania Watakiwa Kuchangamkia Fursa Kili Marathon.

Na. Aron Msigwa - WMU, Moshi. Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.Hamisi Kigwangalla ametoa wito kwa Watanzania hususani vijana wajitokeze kushirikimashindano mbalimbali  yanayofanyika nchini Tanzania yakiwemo ya Kilimanjaro Premium Lager  Marathon ili wanufaike wanufaike kiuchumi. Dkt....
Share:

Taasisi Za Kifedha Nchini zatakiwa Kuacha Urasimu Katika Mikopo

NA SALVATORY NTANDU Serikali imezitaka Taasisi za kifedha nchini kuacha urasimu katika utoaji wa mikopo kwa wawekezaji wa viwanda wa ndani ili kuwasaidia kukuza mitaji yao hali ambayo itachangia kuongeza ajira. Kauli hiyo imetolewa Machi mosi na Makamu wa Rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ...
Share:

Waziri Mkuu Majaliwa Afungua Kitengo Cha Kuchuja Damu Katika Hospitali Ya Bombo-Tanga

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefungua mradi wa huduma ya kuchuja damu  katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tanga ya Bombo na kupunguza gharama ya kuwasafirisha wagonjwa wenye matatizo ya figo kwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili  kufuata hiduma hiyo. Pia, Waziri Mkuu amefungua mradi...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne March 2

...
Share:

Sunday, 1 March 2020

Mechi Imeisha.....Manchester City watwaa Ubingwa wa Carabao Cup Kwa kuichapa Aston Villa 2-1

Dakika 90 za Mchezo  Kati ya Manchester City  na Aston Villa kwenye Uwanja wa Wembley  zimemalizika ....Manchester City Wamebeba Ubingwa wa Carabao Cup kwa msimu wa tatu mfululizo baada ya kuichapa Aston Villa 2-1 Hata hivyo, Mtanzania Mbwana Samatta amekuwa mchezaji wa kwanza wa...
Share:

Mbwana Samatta Avunja Rekodi Kwa Kufunga Goli Moja Matata...Mechi ni Mapumzo, Manchester City Inaongoza

Mbwana Samatta amefunga bao lake la kwanza kwenye Uwanja wa Wembley  kunako Dakika ya 41 wakati Aston Villa ikivaana na Manchester City katika fainali ya Kombe la Carabao.. Nahodha huyo  wa Tanzania ameanza katika kikosi cha kwanza cha Aston Villa na kazi yao ni moja tu.... kuhakikisha...
Share:

Nafasi za Kazi 21 Benjamin William Mkapa Foundation (BMF)

Overview The Benjamin William Mkapa Foundation (BMF) is a non- profit Trust, established in 2006 with the vision towards healthy lives and well-being for all, in Tanzania and the rest of Africa. Its strategic focused results areas include to combat HIV and AIDS, TB, Malaria and Reproductive, Maternal...
Share:

Majeshi Ya Uturuki Yadungua Ndege Mbili za Kivita za Syria

Vikosi vya Uturuki vimedungua ndege mbili za kivita za serikali ya Syria katika mkoa wa kaskazini-maghribi wa Idlib siku ya Jumapili, baada ya Ankara kutangaza operesheni ya kijeshi ndani ya mipaka ya Syria. Shirika la uangalizi wa haki za binadamu la Syria lenye makao yake nchini Uingereza, lilisema...
Share:

Tanzania Yatajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya nne Afrika kwa kuweka mazingira wezeshi ya ufanyaji biashara ndogondogo.

Na Mwandishi Wetu Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya nne Afrika kwa kuweka mazingira wezeshi ya ufanyaji biashara ndogondogo. Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali  na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo...
Share:

Ujenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957Zatumika hadi Sasa

Na Frank Mvungi- MAELEZO Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali  na Katibu Mkuu wa Wizara...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger