
SALVATORY NTANDU
Chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa shinyanga kimeziagiza kamati za siasa ngazi za vijiji,mitaa, kata na wilaya zote mkoani humo kuhakikisha wanajenga ofisi za matawi, vijiji, mitaa na kata ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wanachama wake.
Agizo hilo limetolewa...