Sunday, 1 December 2019

Picha : MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YAFANYIKA NEGEZI KISHAPU - SHINYANGA

Watanzania wametakiwa kutambua umuhimu wa kupima afya na kuchukua hatua za mapema ikiwa ni pamoja na kujikinga dhidi ya maambukizi mapya ya Virusi Vya UKIMWI kwa kuwa waaminifu,kuzingatia matumizi sahihi ya Kondomu wakati wa tendo la ndoa.  Rai hiyo imetolewa leo Desemba 1,2019 na Mkuu wa wilaya...
Share:

ESTHER MATIKO AULA UENYEKITI CHADEMA KANDA YA SERENGETI.... KUONGOZA SHINYANGA,MARA NA SIMIYU

Na Marco Maduhu - Malunde 1 blog  Mbunge wa jimbo la Tarime mjini Esther Matiko, ameibuka kidedea kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Serengeti, mara baada ya kuwashinda wagombea wenzake watatu waliokuwa wakiwania nafasi hiyo, akiwamo John Heche Mbunge wa Tarime vijijini ambaye alikuwa akitetea...
Share:

Waziri Mwakyembe Atuma Salamu Za Pole Kwa Mkuu Wa Mkoa Wa Tanga Kufuatia Vifo Vya Mashabiki Wa Bondia Hassan Mwakinyo

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger