Monday, 2 September 2019

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEPTEMBA 2,2019

...
Share:

Sunday, 1 September 2019

WAANDISHI WA HABARI WATAMBULISHA KUNDI LA 'STRONG DADAZ JOURNALIST' ...DC MAHUNDI ATIA NENO

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya,Mhandisi MaryPrisa Mahundi akiwa katika picha ya pamoja na kikundi cha Strong Dadaz Journalist Na Esther Macha,Chunya Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya,Mhandisi MaryPrisa Mahundi amewataka wanawake kuendelea kujituma kufanya kazi ili kuongeza thamani...
Share:

BASI LA MWENDOKASI LATEKETEA NA MOTO KIMARA JIJINI DAR ES SALAAM

Basi la usafiri wa haraka (Mwendokasi) la kampuni ya UDART la limeshika moto na kuteketea eneo la Kimara, jijini Dar es Salaam usiku huu. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika na pia hakuna taarifa kuhusu majeruhi ama vifo kwenye moto huo...
Share:

JISAJILI KUSHIRIKI MKUTANO WA KIBIASHA NA MAONESHO KATI YA TANZANIA NA UGANDA SEPT 6-7, 2019 JIJINI DAR ES SALAAM

• Sisi ni Zaidi ya Ujirani • Sisi ni ndugu wa Damu Tanzania na Uganda katika meza moja ili kukuza na kujenga Uchumi imara na madhubuti! #TZUGBusinessForum19 #SisiNiTanzaniaMpyA+ ya Wazalendo, Waadilifu, Waaminifu, Wachapa Kazi...
Share:

PAPA FRANCIS AKWAMA KWENYE LIFTI DAKIKA 25 BAADA YA UMEME KUKATIKA AKIWAHI KANISANI

Papa Francis ameomba radhi kwa kuchelewa misa katika kanisa la Mt. Petro na kusema kuwa alikwama kwenye lifti akiwa anaelekea kanisani. Kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 82 alikwama kwenye lifti kwa dakia 25 mara baada ya umeme kukatika na kuweza kutoka kabla ya kikosi cha wazima moto hakijawasili. "Ninapaswa...
Share:

FAIZA ALLY AFUNGUKA BAADA YA SUGU KUOA MWANAMKE MWINGINE

Mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini Sugu, Faiza Ally amesema amependezwa na tukio la kufunga ndoa kwa Joseph Mbilinyi, na anaamini sasa Mbunge huyo anaenda kuwa na maisha ya furaha zaidi. Faiza ametoa kauli hiyo ikiwa saa chache baada ya Mbunge Sugu kufunga ndoa na mkewe Happines Msonga, ambapo...
Share:

ALIYENASWA AKIFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI NDANI YA CHUMBA CHA MAMA YAKE ATUPWA JELA MIAKA 30

Mkazi wa Kata ya Mikumbi, Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Abdull Mohamedi (30) amehukumiwa kifungo cha miaka (30) Gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na hatia ya kujihusisha kimapenzi na mwanafunzi wa Shule ya Sekondari. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu wa Mahakama ya Mkoa huo, James...
Share:

TAZAMA PICHA ZA BARABARA YA KYAKA-BUGENE

Picha zikionesha Sehemu mbalimbali za Barabara ya Kyaka-Bugene mkoani Kagera. Barabara hiyo yenye Urefu wa Kilometa 59.1 ni kichocheo kikubwa cha Uchumi katika Mikoa ya Kanda ya ziwa pia huunganisha nchi ya Tanzania na nchi jirani za Rwanda na Burundi. PICHA NA IKULU Sehemu ya Barabara...
Share:

WAZIRI LUGOLA AAGIZA BODABODA ZOTE ZISAJILIWE..., AWATAKA TRAFIKI KUACHA VISINGIZIO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), akimsikiliza Katibu wa Chama cha Wamiliki na Waendesha Bajaj na Bodaboda Mkoa wa Kilimanjaro (CWBK), Rashid Omary, alipokuwa anatoa pongezi kwa Waziri huyo, kuwasaidia kupata eneo la maegesho ya Bajaj na Bodaboda Shairifu, Mjini Moshi, leo....
Share:

OPARESHENI YA KIJANI YATUA KIGOMA..... WAZEE WATAKIWA KUPISHA VIJANA NAFASI ZA UONGOZI

Na Rhoda Ezekiel - Malunde1 blog Kigoma Wazee wametakiwa kutoa nafasi kwa vijana waweze kugombea katika nafasi za uongozi na kuacha tabia ya kuwatisha na kuwazuia vijana ili kuwajengea msingi mzuri na kuwapima katika nafasi mbalimbali ili kujenga viongozi watakaoongoza kwa hekima na busara. Rai...
Share:

RAIS MAGUFULI NA MKEWE WAMESHIRIKI MISA TAKATIFU DOMINIKA YA 22 MWAKA 'C' KATIKA KANISA KATOLIKI LA MTAKATIFU PETRO PAROKIA YA OYSTERBAY DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth Magufuli, Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la...
Share:

TAASISI NUNUZI ZASISITIZWA KUJIUNGA NA MFUMO WA MANUNUZI YA UMMA KWA NJIA YA MTANDAO (TANePS)

Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard Kapongo akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo kwa mmoja wa washiriki. Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard Kapongo akiwahutubia washiriki wa mafunzo kuhusu matumizi ya mfumo wa TANePS yaliyofanyika jijini Arusha. Baadhi ya washiriki wakiwa...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI SEPTEMBA 1,2019

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger