Msanii
wa muziki Tunda Man amedai jana alipokea simu nyingi baada ya Mkuu wa
mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kutangaza list mpya ya majina ya watu
wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya Madawa ya kulevya ilikiwemo
jina la Tunda ambaye ni video queen.
Baadhi
...
NECTA yaachia matokeo ya wanafunzi ambaowamemaliza kidato cha nne 2016 ,Kama
kawaida yetu MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia
majina endapo unahitaji kujua matokeo yako;
ILI KUANGALIZIWA FANYA YAFUATAYO;
TAFADHALI FANYA YAFUTAYO KAMA UNATAKA KUANGALIZIWA;
1.TUMA ...
Serikali inatarajia kuajiri Fundi Sanifu wa Maabara ya Shule
Daraja la II. Ajira hii ni kwa Fundi Sanifu wa Maabara ya Shule
waliohitimu kati ya mwaka 2013 - 2015.
Hivyo, wenye sifa stahiki na wanaotaka kuajiriwa Serikalini, wanatangaziwa kuwasilisha nakala za vyeti vyao...
NECTA yaachia matokeo ya wanafunzi ambaowamemaliza kidato cha nne 2016 ,Kama
kawaida yetu MASWAYETU BLOG tunaendelea kutoa huduma ya kuangalizia
majina endapo unahitaji kujua matokeo yako;
ILI KUANGALIZIWA FANYA YAFUATAYO;
TAFADHALI FANYA YAFUTAYO KAMA UNATAKA KUANGALIZIWA;
1.TUMA ...
Baraza
la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne
mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa 2.56% kutoka 67.53%
mwaka 2015 hadi 70.09% mwaka 2016.
Katibu
Mtendaji wa barza hilo, Dkt Charles Msonde amesema kati ya wanafunzi
408,372 waliofanya...
Leo January 31 2017 Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha nne ‘CSEE 2016’.
Hapo chini kuna orodha ya shule 10 bora kitaifa na shule 10 zilizoshika mkia
...
Habari zenu,
Maswayetu blog inatafuta vijana 10 ambao watafanya kazi na blog hii kwa kupost habari mbalimbali kila zinapotokea na kushare sehemu mbalimbal...
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amesema mgogoro wa Zanzibarna anaamkni atakuwa Rais Zanzibar.
Amesema, mgogoro visiwani humo utamalizika endapo viongozi wa vyama vyote va siasa watakaa chini kufanya mazungumzo.
Akizungumza katika mahojiano katika kipindi cha Funguka kinachorushwa
na Kituo cha Televisheni cha Azam, Maalim Seif alisema jambo la muhimu...