Saturday, 5 November 2016

Magufuli: Vyombo Vya Habari Simamieni Kujenga Maadili Na Utamaduni Wa Mtanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.John Pombe Magufuli ametoa wito kwa vyombo vya Habari nchini kuwa mbele katika kusimamia Maadili na kuutangaza Utamaduni wa Mtanzani...
Share:

Rais Magufuli Awataka Watanzania Kutumia Fursa Zilizopo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amewataka watanzania kutumia fursa zilizopo katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa ajili ya kuliletea maendeleo ya taifa. Aliyasema hayo jana Jijini...
Share:

Friday, 4 November 2016

KAULI YA RAIS JPM KUHUSU AJIRA MBALIMBALI TANZANIA

   Amesema kwamba; "Sitambui kama usitishwaji wa ajira bado unaendelea mimi nilisitisha kwa miezi miwili tuu baada ya miezi hiyo kuisha zoezi la kuajiri liliendelea na hata juzi tumeajiri madoctor na tunatarajia kuajiri wengine 5000 keshokutwa..ni maneno ya mkuu wa Nchi alipokuwa na mahojiano...
Share:

Yaliyojiri Kutoka Ikulu: Mahojiano ya Rais John Magufuli na Wahariri wa Vyombo vya Habari

Habari wakuu, Jana ilikua siku ya 365 tangu ilipotimia November tano mwaka Jana na nchi yetu kubadilisha utawala wake kwa njia ya kura zilizopigwa mwezi October. November tano akaapishwa Daktari John Pombe Magufuli kuwa Rais wa awamu ya tano akimrithi mtangulizi wake, Rais wa awamu ya nne, Daktari...
Share:

Mgomo: Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekesha usiku wakilalamikia Mikopo november 4 2016

  Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekesha usiku wa kuamkia leo Novemba 4, 2016 ikiwa ni mgomo waliouanza wakilalamikia masuala mbalimbali yanayohusiana na mikop...
Share:

Serikali ya Mkoa wa DAR kusomesha wanafunzi wa sayansi bure mikoa mingine igeni

...
Share:

ARDHI UNIVERSITY:Candidates Selected for Undergraduate Admission 2016/17 (Third and Fourth Selection)

  <<Candidates Selected for Undergraduate Admission 2016/17 (3rd and 4th Selection)---pdf>> ...
Share:

BODI YA MIKOPO:MSAKO WA WADAIWA SUGU KUANZA KARIBUNI

 ...
Share:

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTEUZI WA AWAMU YA NNE, UHAMISHO NA KUONGEZWA KWA MUDA WA KUFANYA MAOMBI KATIKA KOZI ZA ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA) KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu Waombaji wote walioomba kudahiliwa katika kozi za Astashahada (Cheti) na Stashahada (Diploma) na Umma kwa ujumla kuwa dirisha la maombi lilifungwa mnamo tarehe 15 Oktoba 2016 ili kuruhusu...
Share:

Walimu Watatu Watiwa Mbaroni Kwa Kuwazuia Wanafunzi Kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne

POLISI mkoani Dodoma inawashikilia walimu watatu wa shule za sekondari kwa tuhuma ya kuwazuia wanafunzi wa kidato cha nne, kufanya Mtihani wa Taifa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa alisema kwamba walimu hao wa shule za sekondari za Zoissa na Mnyakongo...
Share:

Magazeti ya Leo Ijumaa ya Novemba 4 2016

...
Share:

Thursday, 3 November 2016

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza chuo tajwa abakwa adi kufariki dunia na habari kutoka kwa wanafunzi...
Share:

Serikali yavipa siku mbili vyuo vikuu ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi Bodi ya Mikopo (HESLB )

Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Maimuna Tarish imevitaka vyuo vikuu 14 ambavyo havijatuma matokeo ya wanafunzi wao ya mwaka uliopita kwa Bodi ya Mikopo kutuma mara moja ili kuwapatia mikopo kwa walio katika utaratibu wa kupata mkopo wa serikali. Taarifa ambayo imetolewa na Tarish imevipa vyuo hivyo...
Share:

Shirikisho la vyuo Vikuu lataja Hujuma bodi ya Mikopo- (HESLB)

Shirikisho la Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini limemuomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kufanya ukaguzi wa hesabu za Sh bilioni 1.74 za ada ya uombaji mikopo kwa mwaka huu katika Bodi...
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI NOV 3 2016

...
Share:

Wednesday, 2 November 2016

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI AWAMU YA 5 WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU ST.JOHN-DODOMA 2016/2017

  KUONA MAJINA  >>BONYEZA HAPA<&l...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA MAPYA YA WANAFUNZI WALIOPATA MKOPO SUA-CONTINUING 2016/2017

KUONA MAJI...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger