Saturday, 15 October 2016

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI OCTOBER 15 2016

Share:

Friday, 14 October 2016

JINSI YA KUHAMA CHUO ULICHOCHAGULIWA KWENDA CHUO KINGINE 2016/2017

 Image result for tcu.go.tz
Habari zenu,
Kumekuwa na sintofahamu kuhusu utaratibu wa kuhama chuo kwa wanafunzi waliochaguliwa vyuo vikuu mwaka wa masomo 2016/2017.
Share:

TCRA yapiga ‘Stop’ Simu za Samsung


MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri.
Share:

UPDATED:MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE-SUA SECOND BATCH 2016/2017

Image
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA OCTOBER 14 2016

20161014_043132
Share:

Thursday, 13 October 2016

MPYA:TCU IMEACHIA SELECTION ZOTE ZA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA VYUO VIKUU MBALIMBALI TANZANIA 2016/2017

 Image result for TCU.GO.TZ
Kupitia ukurasa wake wa CAS.TCU.GO.TZ tume ya vyuo vikuu Tanzania,imeamua kuachia link ambayo inaonyesha kila mtu chuo alichochaguliwa mwaka wa masomo 2016/2017.
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA DIPLOMA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU UDOM 2016/17 BATCH 1

Logo
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU UDOM BATCH 2 2016/2017

Image result for UDOM.ac.tz
Share:

WALIMU WALIOPIGA MWANAFUNZI MBEYA ADHABU YAO KUBADILIKA MDA WOWOTE,BADLA YA KUFUKUZWA CHUO

BAADA ya uamuzi wa kuwafukuza vyuo walimu wanne waliokuwa kwenye mafunzo ya vitendo katika Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mbeya (Mbeya Day), serikali imesema vyuo husika vinaweza kushauri adhabu mbadala iwapo vitajiridhisha kuwepo kwa mazingira tofauti na yaliyozingatiwa kwenye uamuzi wa kuwafukuza vyuo.
Share:

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI OCTOBER TAREHE 13.10.2016

Share:

Wednesday, 12 October 2016

BREAKING NEWS:TCU IMETANGAZA TRANSFER KWA WANAFUNZI FORM SIX WANAOHITAJI KUHAMA VYUO,KUTOKANA NA KUTOKUPENDA KOZI AU ADA YA CHUO IPO JUU 2016/2017

Image result for tcu.go.tz 

KUSOMA TANGAZO HILO
Share:

Video: Diamond Anaswa Na Vidosho Watatu Garini Usiku, Atimua Spidi 120



DAR ES SALAAM: Msanii nyota wa Muziki wa Bongo Fleva mwenye mafanikio makubwa, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ juzikati alinaswa usiku mnene maeneo ya Sinza Afrikasana jijini Dar akiwa na vidosho (wasichana) watatu ndani ya gari lake, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili.
Share:

UPDATED:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VIKUU MBALIMBALI 2016/2017



Image result for TCU.GO
Habari yako,

Maswayetu blog,tumedhamiria kuwapa vitu roho inapenda hapa
mjini,Tumeamua kukuwekea list ya vyuo vikuu ambavyo vimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa na joining instructions za  kujiunga na vyuo vikuu 2016/2017-FIRST BATCH

KUONA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU 2016/2017,

Share:

New AUDIO | Mfalme Ninja - Jibu Langu[SINGELI] | Download

Share:

TANZIA: Aliyewahi kuwa Meya wa Dar, Dr. Didas Massaburi afariki dunia

image.jpeg
Share:

TAARIFA KWA UMMA - TUZO KWA WANAFUNZI BORA WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2014 KATIKA MASOMO YA SAYANSI

 Ministry of Education, Science and Technology


Katika sherehe za maadhimisho ya Wiki ya Elimu yaliyofanyika mkoani Dodoma mwaka 2015 , Mhe. Balozi wa Jamhuri ya watu wa china aliahidi kutoa zawadi kwa wanafunzi waliofanya vizuri zaidi katika masomo ya Sayansi katika Mtihani wa kumaliza Kidato cha Nne mwaka

2014. Wanafunzi sita (6) walipatiwa zawadi hizo kwa niaba ya wenzao.
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU ARDHI UNIVERSITY-ARU SECOND ROUND 2016/2017


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger