Tuesday, 11 October 2016

NECTA:HII HAPA RATIBA YAMTIHANI KIDATO CHA PILI 2016 & RATIBA YA MTIHANI DARASA LA NNE 2016

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY -MUST 2016/2017 FIRST AND SECOND ROUND

Image result for MUST.AC.TZ
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA DIT 2016/2017

Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE OCTOBER TAREHE 11.10.2016

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALICOHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU KCMC 2016/2017

Image result for kcmc.ac.tz
Share:

Monday, 10 October 2016

MPYA:TAARIFA KUTOKA BODI YA MIKOPO HESLB KWA WAOMBAJI MWAKA WA MASOMO 2016/17,KUHUSU TAREHE UTOAJI WA MAJINA

 Image result for HESLB.GO.TZ
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imekamilisha zoezi la kurekebisha fomu za maombi ya mikopo kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017. Zoezi hilo lilianza tarehe 3 na kumalizika tarehe 7 Oktoba 2016.
Share:

First and Second Batch Students Selected to Join BOS in 2016/2017 Academic Year

Home

Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO CHA MAJI WDMI-UBUNGO SECOND ROUND 2016/2017

Share:

New AUDIO | Linah - Kosa Sina | Download


Share:

HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU OPEN UNIVERSITY-OUT 2016/2017 SECOND ROUND FORM 6 7 NACTE

    
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU CHA USAFIRISHAJI NIT-DAIR 2016/2017

Image result for NIT.AC.TZ
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU UNITED AFRICAN UNIVERSITY OF TANZANIA 2016/2017

Academi

Share:

Breaking News:TCU IMEFUNGUA APPLICATION THIRD(3RD) ROUND KWA WANAFUNZI WALIKOSA NAFASI FIRST AND SECOND ROUND 2016/2017



TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA

 Image result for TCU.AC.TZ
TANGAZO  KWA UMMA

Tume ya vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inautangazia Umma kuwa imekamilisha kuchakata maombi ya kujiunga na Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa awamu ya kwanza na ya pili. Orodha na majina ya walichaguliwa yameshapelekwa vyuoni kwa ajili ya kuiidhinishwa na Seneti za vyuo husika. Baadhi ya vyuo vimeshaanza kuyatangaza.
Share:

BREAKING NEWS:CHUO KIKUU MUM KIMETANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOTEULIWA KUPATA MKOPO MWAKA WA MASOMO 2016/2017

 Image result for MUM.AC.TZ
Hatimae chuo kikuu MUM kimetangaza majina ya wanafunzi walioomba mkopo kwa ajili ya masomo yao chuoni hapo,kwa awamu ya kwanza.
Share:

APPROVED LIST YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO KIKUU MUM FORM SIX AND DIPLOMA 2016/2017-FIRST BATCH

Image result for MUM.AC.TZ
KUONA LIST KAMILI YA WANAFUNZI WOTE FORM SIX,WALIOOMBEA DIPLOMA FIRST BATCH



Share:

Mwalimu Auawa,Anyofolewa Kiganja cha Mkono wa Kulia


Image result for kiganja cha mkono kimenyofolewa
Mwalimu Israel Mlowasa (40) wa Shule ya Sekondari Nkuhungu katika Manispaa ya Dodoma, amekutwa ameuawa nyumbani kwake na kiganja chake cha mkono wa kulia kukatwa na kuondoka na wauaji hao.

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi inasema kwamba mauaji hayo yamefanyika juzi maeneo ya Chang’ombe Extension katika Manispaa ya Dodoma.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Nkuhungu, Fidelis Kaishozi alisema mwalimu huyo alipotea tangu Oktoba 2, mwaka huu na taarifa kutolewa Polisi.

Imeelezwa kuwa maiti ya mwalimu huyo ilikutwa katika pagala la nyumba eneo la Nkuhungu.

Hakuna mtu aliyekamatwa kuhusu mauaji hayo, msako mkali unaendelea ili kubaini wahusika na mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Rufaa Dodoma kwa uchunguzi zaidi wa madaktari.
Share:

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Yatupiwa Lawama Kwa Kuchelewa Kutoa Majina ya Wanufaika wa Mikopo

Wakati vyuo vikuu vikikaribia kufunguliwa, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imelaumiwa kwa kuchelewa kutoa majina ya wanufaika huku yenyewe ikisema itahakikisha majina yanatolewa sanjali na tarehe za vyuo kufunguliwa. 
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger