Wednesday, 1 June 2016

NAFASI ZA KAZI CHUO KIKUU UDOM JUNE 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY           <<<<<<Academic Staff Positions>>>>>>>>>>>>>>> <<<<EMPLOYMENT REFEREE’S FORM>>>>> ...
Share:

Magufuli: Serikali Itakomesha Watumishi na Wanafunzi Hewa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY RAIS John Magufuli (pichani) amesema Serikali ya Awamu ya Tano imejipanga kumaliza makosa yote yaliyojitokeza huko nyuma ikiwemo tatizo la watumishi na wanafunzi hewa lililoibuka hivi karibuni. Amewataka Watanzania kuacha kuingiza siasa kwenye...
Share:

Mauaji ya Kutisha: Watu 8 Wakamatwa Kwa Mwenyekiti wa Kitongoji na Kuchinjwa Kinyama

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MAUAJI ya Watanzania kwa njia ya kuchinjwa yanaendelea kushika kasi baada ya usiku wa kuamkia jana wakazi wanane wa kitongoji cha Kibatini, kata ya Mzizima jijini Tanga kukusanywa kwa mwenyekiti wa kitongoji na kisha kuuawa kwa kuchinjwa shingo na watu...
Share:

Shein: Hakuna Mtu Wala Nchi Yakuweza Kuniondoa Madarakani

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema hakuna nchi au jumuiya za kimataifa zitakazomwondoa madarakani yeye kwa sababu amechaguliwa kihalali na wananchi kwa kura nyingi kwa mujibu wa Katiba. Dk Shein alisema hayo wakati akizungumza na wanachama...
Share:

Waziri Mkuu: Serikali Itahakikisha Inaendelea Kulinda Rasilimali Za Nchi Ikiwemo Urithi Wa Dunia

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY SERIKALI ya awamu ya tano  imesema kuwa itaendeleza jitihada za kutunza na kulinda urithi wa dunia ikiwemo kutoa elimu kwa wananchi wanaoishi maeneo ya uhifadhi ili watanzania wote waweze kunufaikana rasilimali za nchi . Hayo yalisemwa na ...
Share:

Wahadhiri UDOM Wataja Kiini cha Mgomo Kilichosababisha Wanafunzi 7802 Warudishwe Nyumbani

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY JUMUIYA ya Wanataaluma ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA) imesema kilichotokea si walimu kugoma kufundisha programu ya Stashahada Maalumu ya Elimu, Sayansi, Hisabati na Tehama, bali tatizo ni kutoelewana na Menejimenti ya chuo kutokana na mazingira mabovu...
Share:

Waziri Mkuu: Wataalamu Wa Malikale na uhifadhi wa urithi Kuweni Wabunifu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wataalamu wa mambo ya malikale na uhifadhi wa urithi asilia (natural heritage) watafute mbinu zitakazoimarisha utunzaji wa rasilmali hizo bila kuathiri mifumo ya uchumi ya nchi zinazoendelea. Ametoa wito huo...
Share:

Serikali Yaitaka RITA Kutoa Elimu Kwa Wananchi Kuhusu Umuhimu Kuandika Wosia Wa Mirathi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY SERIKALI imeitaka wakala wa usajili,Ufilisi na Udhamini, RITA, kuhakikisha inatoa elimu ya kutosha kwa wananchi kuelewa umuhimu wa kuandika wosia na mirathi ,ili kuondoa migogoro kwa familia wakati wa kugawa mirathi ya marehemu. Rai hiyo imetolewa...
Share:

Taarifa toka Ikulu kuhusu uteuzi Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TANESCO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY TAARIFA KWA UMMA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Dkt. Alex L. Kyaruzi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kufuatia uteuzi huo, Waziri wa Nishati na Madini...
Share:

Rais Magufuli Awatangazia Vita Wafanyabiashara ‘Wajanja’

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais John Magufuli amesema Serikali yake itaendelea kupambana na wanaoingiza bidhaa zilizochini ya kiwango na wale wanaokwepa kodi. Amesema kwa kufanya hivyo, wanachangia kuviua viwanda vya ndani ya nchi. Rais Magufuli ameyasema hayo jana kwenye hafla ya utaoji...
Share:

magazeti ya leo jumatano june 1 2016,kubwa zaidi watu wa 8 wachinjwa tanga

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger