INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Dully Sykes.
Juma Nature
STAA
wa Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Chura’ juzikati akiwa kwenye
shoo iliyofanyika Masasi, Mtwara alijikuta katika wakati mgumu baada ya
kutaka kupigwa na mashabiki kisa kikiwa eti ni kutokuimba Wimbo wa Chura
ambao umefungiwa.
