Saturday, 2 April 2016

New AUDIO | Baghdad Ft. Profesa J Don Koli & Nikki Mbishi - Mtazamo (Remix) | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DOWNLOAD via HULKSHARE DOWNLOAD via KIKISTARMUSIC...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WATANZANIA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA JESHI LA MAGEREZA 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI (Jeshi la Magereza) TANGAZO LA KUITWA CHUONI Kamishna Jenerali wa Magereza Tanzania Bara anawatangazia wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Jeshi la Magereza baada ya Usaili kufanyika katika kambi...
Share:

Official VIDEO | Mh Temba x Jokate Mwegelo​ - Fundi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

NAFASI ZA KUJIUNGA NA NGAZI YA CHETI NA DIPLOMA CHUO CHA MARIAN(MARUCO) 2016/17

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY MARUCO JOINING INSTRUCTION FOR MARCH 2016 INTAKE MARUCO FEE STRUCTURE FOR MARCH 2016 INTAKE ANNOUCEMENT FOR CERTIFICATE AND DIPLOMA COURSES...
Share:

SERIKALI KUPITIA WIZARA YA AFYA KUAJIRI WATUMISHI WA AFYA (AJIRA ZA AFYA 2015/16) 10000

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Serikali kuajiri watumishi wa afya 10,000 Serikali inatarajia kuajiri watumishi 10,000 wa sekta ya afya katika mwaka ujao wa fedha ili kukabiliana na upungufu wa wataalamu wa fani hiyo nchini. Hayo yalisema jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
Share:

Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa Naye Afikishwa Mahakamani Leo Kwa Tuhuma Za Rushwa

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mbunge wa Sumve, Richard Ndassa amepandishwa kizimbani mahakama ya Kisutu leo akituhumiwa kuomba rushwa ya Shilingi  milioni 30  akiwa kwenye Kamati za Bunge. Ndasaa  anakuwa  mbunge  wa  nne  wa  CCM kupandishwa  mahakamani ...
Share:

Bosi wa Zamani wa TRA na Wafanyakazi wa StanBic Benki Wafikishwa Mahakamani

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Aliyekuwa Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Harry Kitilya na wenzake Shose Sinare na Sioi Solomoni wamefikishwa mahakamani (Kisutu DSM) leo kwa mashitaka 8 ikiwemo tuhuma za kujipatia fedha kiasi cha Dola za Marekani milioni 6, mwezi Machi mwaka 2013, ili kufanikisha mkopo kutoka...
Share:

TAKUKURU Kuwafikisha Mahakamani Kamishna Mkuu wa Zamani wa TRA na Wafanyakazi Wawili wa Stanibic Benki

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) leo tarehe 1/4/2016 imewafikisha Mahakamani aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania na Mwenyekiti wa ‘Enterprise Growth Market Advisors Ltd’ (EGMA), Bw. Harry Msamire Kitilya; aliyekuwa Mkuu wa Idara...
Share:

Bakwata Wakabidhi Msaada wa Madawati 500 kwa Serikali

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY BARAZA Kuu la Waislaam nchini (Bakwata) kwa kushirikiana na Shia wamekabidhi msaada wa madawati 500 kwa serikali ili kusaidia upungufu wa madawati katika shule za msingi na sekondari. Akizungumza katika hafla ya kukabidhi madawati, Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania,...
Share:

Rais Magufuli Amteua Hilda Nkanda Kuwa Kamishna Wa Kazi

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bi. Hilda Nkanda Kabisa kuwa Kamishna wa kazi. Kabla ya Uteuzi huo, Bi. Hilda Nkanda Kabisa alikuwa Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi...
Share:

MSHAHARA WA RAIS MAGUFULI NI MILION 9,500,000/=

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. John Pombe Magufuli jana alimpigia simu mtangazaji wa kipindi cha ‪Clouds360‬ cha ‪‎CloudsTv‬, Hudson Kamoga baada ya kusikia watu wanazungumzia kuhusu mshahara wa Rais. Rais alisema mshahara alioukuta na ambao analipwa ...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL 02 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY  MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL TAREHE 02/04/2016 ...
Share:

Friday, 1 April 2016

EWURA-TANESCO YASHUSHA BEI YA UMEME 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushusha bei za umeme kuanzia leo kwa watumiaji wote wa viwango tofauti. Kushuka huko kwa bei ya umeme ni kutokana na ombi la Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kutaka bei za umeme zipunguzwe sambamba na...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA NYONGEZA YA WANAFUNZI WA ST.JOSEPH WALIOHAMISHIWA SUA APRIL 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Additional list of Transferred Students from SJUIT to SUA...
Share:

TAARIFA MUHIMU KWA WANAFUNZI WALIOHAMISHIWA UDOM KUTOKA ST.JOSEPH 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Transferred Students from St. Joseph University to The University of Dodoma IMPORTANT ANNOUNCEMENT TRANSFERRED STUDENTS FROM ST. JOSEPH UNIVERSITY TO THE UNIVERSITY OF DODOMA This is to inform all students transferred from St. Joseph University in Tanzania...
Share:

Mkazi wa Mwananyamala Apandishwa Mahakamani Kwa Kutishia Kumuua Rais Magufuli Kwa Kujitoa Mhanga

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kondakta wa daladala, Hamim Seif (42) mkazi wa Mwananyamala Ujiji, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka la kutishia kumuua Rais John Magufuli kwa maneno. Seif alipandishwa kizimbani mahakamani hapo jana mchana na kusomewa...
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRIL TAREHE 1/4/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Magazeti ya Leo April 1, 2016 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger