Chanzo cha habari hii kinasema kuwa mwanadada huyo alikuwa na miadi ya kukutana na mwanaume ambaye inasemekana pia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana usiku kwenye gesti moja mashuhuri sana iliyopo Sinza, Dar es Salaam. Mwanadada huyo alimsubiri mtu wake mpaka saa 6 usiku, lakini hakutokea kabisa!! Baada ya kugundua kuwa
Sunday, 6 July 2014
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU UDSM-ATAKA KUJIUA
Chanzo cha habari hii kinasema kuwa mwanadada huyo alikuwa na miadi ya kukutana na mwanaume ambaye inasemekana pia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana usiku kwenye gesti moja mashuhuri sana iliyopo Sinza, Dar es Salaam. Mwanadada huyo alimsubiri mtu wake mpaka saa 6 usiku, lakini hakutokea kabisa!! Baada ya kugundua kuwa
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU WAZIRI WA UJENZI KUZURU MIKOA YA MWANZA NA MARA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA UJENZI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAZIRI WA UJENZI MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE
MAGUFULI (Mb) KUZURU MIKOA YA MWANZA NA MARA
Wizara
ya Ujenzi napenda kutoa taarifa ka umma kuwa Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli (Mb) anatarajia kufanya ziara ya kukagua miradi mbaimbali ya Maendeleo katika mkoa wa Mwanza na Mara.
Mheshimiwa
Waziri Magufuli ataanza ziara yake Mkoani Mwanza tarehe 06 Julai ambapo
atakagua mradi wa Ujenzi wa barabara ya Usagara – Kisesa (by pass) yenye urefu
wa km. 16.7 inayojenga kwa kiwango cha lami. Siku
inayofata tarehe 07 Julai, Mheshimiwa Waziri ataelekea mkoani Mara kukagua mradi wa barabara ya Makutano – Natta – Mugumu
(sehemu ya Makutano – Sanzate km 50).
SOMALIA:BOMU LAUA 4 NJE YA BUNGE,,,SOMA HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Wapiganaji wa Al Shabaab
Bomu lililotegwa
kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia na
wengine kujeruhiwa, maafisa wa Polisi wamesema.
Habari zanasema bomu hilo lilipiga nje
ya lango kuu la kuingia katika mPICHA ZIKIMWONESHA SHEHE ALIYELIPULIWA NA BOMU ARUSHA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOYShekhe Muhaji Hussein Kifea…
HAYA NDO MAJUBU YA DIAMOND BAADA YA TUZO ZA BET
Saturday, 5 July 2014
MH. RAIS KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA JESHI LA MAGEREZA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kamishna
wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga akimkaribisha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
alipotembelea Banda la Jeshi la Magereza lililopo katika Uwanja wa
Mwalimu Nyerere katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa, leo
Julai 5, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna Msaidizi
Mwandamizi wa Magereza, Sania Kigwe.
CHATO: MAGUFULI AVUNA WANACHAMA WAPYA 376 ,KUTOKA VYAMA VYA UPINZANI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbunge
wa Jimbo la Chato ambaye pia ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe
Magufuli akipeana mikono na Wanachama wapya wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
walioamua kujiunga na chama hicho mara baada ya Mbunge huyo kufanya
Mkutano mkubwa wa hadhara katika kijiji cha Nyabugela, kata ya Mganza
katika Wilaya ya Chato leo.
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA CHINA GENERAL CHANG WANQUAN
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika mazungumzo na Waziri wa Ulinzi wa China Jenerali Chang Wanquan Ikulu jijini Dar es salaam leoMCHEZAJI WA ZAMANI NA KOCHA MSAIDIZI WA MAN UNITED-APATA UDAKTARI WA SAYANSI,SASA KUITWA DR.GIGGS
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Heshima:
Gwiji wa Manchester United akipozi katika picha baada ya kupata digrii
yake kwenye ukumbi wa Victoria Hall mjini Bolton.
WEMA NA MAMA -LAZIMA TUSOME ALBADILI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

SIKU chache zimekatika tangu kusambazwa kwa picha feki inayodaiwa ni ya mama wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Mariam Sepetu, wawili hao wako kwenye mkakati mzito wa kuwasomea kisomo cha Albadili wale wote waliohusika kwa namna yoyote ile kuitengeneza picha hiyo na kuitupia mitandaoni, Risasi Jumamosi linakumegea.

SIKU chache zimekatika tangu kusambazwa kwa picha feki inayodaiwa ni ya mama wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Mariam Sepetu, wawili hao wako kwenye mkakati mzito wa kuwasomea kisomo cha Albadili wale wote waliohusika kwa namna yoyote ile kuitengeneza picha hiyo na kuitupia mitandaoni, Risasi Jumamosi linakumegea.
SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA UITWAO "CHEI CHEI"- WA KIJANA TOKA JKT MLALE-SONGEA BAADA YA MAFUNZO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
WIMBO HUU NI DEDICATION KWA VIJANA WOTE WALIOPITIA,BULOMBORA,MSANGE,KANEMBWA,RWAMKOMA,RUVU,KABUKU
Wimbo unahusu maisha yote baada ya matokeo ya form six kutoka jamaa akapata division II ,akawa anajiandaa kwenda chuo kikuu,dah,jamaa anasema kilichomshangaza ni kwamba kuna taarifa zikatoka ngazi juu wote waliomaliza form six mwaka huu wapitie kwanza jeshi ,chuo wataenda tu.
WIMBO HUU NI DEDICATION KWA VIJANA WOTE WALIOPITIA,BULOMBORA,MSANGE,KANEMBWA,RWAMKOMA,RUVU,KABUKU
Wimbo unahusu maisha yote baada ya matokeo ya form six kutoka jamaa akapata division II ,akawa anajiandaa kwenda chuo kikuu,dah,jamaa anasema kilichomshangaza ni kwamba kuna taarifa zikatoka ngazi juu wote waliomaliza form six mwaka huu wapitie kwanza jeshi ,chuo wataenda tu.








