Monday, 16 June 2014
UDOM WASITISHA MITIHANI YA UE,KISA WALIMU WAMEGOMA
Wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma leo wameshindwa kufanya mtihani yao ya mwisho wa muhula ijulikanayo kama UE kutokana na walimu kutokulipwa pesa zao wanazoidai chuo hicho.

WANAWAKE TU:HATUA ZA KUFATA KUSAFISHA UKE

Awali nilikuwa nikidhani kuwa kila mwanamke anapaswa na anafahamu jinsi ya kujisafisha ndani ya uke
mara tu baada ya kuondolea bikira (kuanza mahusiano ya kimapenzi na hatimae ngono), lakini nimekuja kugundua ukweli kwamba wanawake wengi hawajui uke unasafishwa vipi?
HII BALAA:FUNDI SIMU AVUJISHA PICHA ZA UCHI ZA MTEJA WAKE,SOMA HAPA
Fundi simu azua balaa baada ya kusambaza picha hizi maana hii sasa imekuwa official kwamba wasichana wengi sasa wa generation hii wamepotea in the name of love.
MAHUSIANO:UKIONA UMETENDWA NA UMPENDAE FANYA HAYA

HII NDIO AINA YA WANAWAKE WANAOFAA KUWEKA NDANI 'WIFE MATERIAL'
Stacey
Tantleff-Dunn mtalamu wa afya ya ulaji na mwonekano anasema kwamba,
vipimo vya uzuri kwa wanawake vimegawanyika. Kwa kawaida wanaume hupima
uzuri wa mwanamke kwa sura au mwili, lakini linapokuja suala la kupata
mtu ambaye wanataka kuishi naye kama mke, suala la haiba, yaani tabia na
mwenendo, linachukua nafasi kubwa.
KAHABA AKAMATWA AKIJUZA NJE YA OFISI ZA SERIKALI
Njaa mbaya! Kama ulikuwa unadhani ile
Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers imenywea, basi
umenoa! Safari hii imenasa tukio la mrembo akijihusisha na biashara
haramu ya ngono nje ya ofisi za serikali, Ijumaa Wikienda lina kitu
laivu.
Mrembo aliyekuwa akijihusisha na biashara haramu ya ngono nje ya ofisi za serikaliakikurupuka mara baada ya kunaswa mtegoni.Sunday, 15 June 2014
MAKAHABA WAONGEZEKA BRAZIL,HUKU WACHEZAJI WA UIENGEREZA WAJIPAPATIKIWA
BIASHARA ya ukahaba imeanza kunoga Brazil kutokana na kufanyika kwa fainali za Kombe la Dunia ambazo zilianza jana usiku nchini humo ambapo wenyeji Brazil walifungua na Croatia.
SOMA HISTORIA YA MH.JAKAYA MRISHO KIKWETE,RAIS WA TANZANIA
Jakaya Mrisho Kikwete tangu tarehe 21 Desemba 2005 ni rais wa nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
HATIMAE MAREHEMU :GEORGE TYSON AZIKWA LEO KIJIJINI KWAO SIAYA,NCHINI KENYA
Hapa
ndipo mwili wa Marehemu George Tyson ulipozikwa mapema leo mchana
katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya.George Tyson ambaye alikuwa ni
mmoja wa Waongozaji filamu MHESHIMIWA KOMBA:BAADA YA PICHA ZAKE AKILA URODA NA BINTI KUSAMBAA MTANDAONI AIBUKA NA HAYA SOMA HAPA
“Sijawahi
kuona mwanamke mzuri na mwenye imani kama mama Komba ( Salome )
jamani, unajua kulea watoto ambao mama zao wapo duniani ni
kazi sana,”alisema Komba katika kipindi cha mkasi kinachorushwa na East African Television

Mheshimiwa Komba alisema ana watoto
tisa wakiwemo wa ndani ya ndoa na nje ya ndoa na wote
wamelelewa na mke wake Salome na ndio maana anampenda na
kumjali kila siku za maisha yake kwani anastahili kuitwa
mwanamke haswa…..
John Komba aliyasema hayo siku
chache baada ya kuonekana picha zake mbaya za kimahaba
alizopiga akiwa na msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake…..

Saturday, 14 June 2014
CHUO CHA CBE CHAONGOZA MATUMIZI YA "SMART PHONE", IFM YA PILI KITAIFA
Wakati zikitangazwa nchi zenye matumizi ya smartphone Africa na TANZANIA kushika nafasi ya pili africa,Pia imetolewa chati ambayo ina jumuisha vyuo vyote vikuu vilivyopo tanzania,huku Chuo cha CBE kikitajwa kuwa na matumizi makubwa ya smartphone ambapo wanafunzi wake wenye smart phone ni 89.7%
ORODHA KAMILI HII HAPA
ORODHA KAMILI HII HAPA






