Wakati zikitangazwa nchi zenye matumizi ya smartphone Africa na TANZANIA kushika nafasi ya pili africa,Pia imetolewa chati ambayo ina jumuisha vyuo vyote vikuu vilivyopo tanzania,huku Chuo cha CBE kikitajwa kuwa na matumizi makubwa ya smartphone ambapo wanafunzi wake wenye smart phone ni 89.7%
ORODHA KAMILI HII HAPA
ORODHA KAMILI HII HAPA










