Tuesday, 3 June 2014

 <meta content='a5UwvNA1Df8kUBvAzmqidIJH9pE0ODdM_z8Z8Ioc9YQ' name='google-site-verification'/&g...
Share:

KANISA KATOLIKI LATANGAZA MWANAMKE WA KWANZA DUNIANI: KUPEWA DARAJA LA UPADRI

Mtanadao wa waharakati wanaopigania wanawake kupewa daraja la upadri, Umemtangaza mwanachama wake Lillian Lewis (75) kuwa Padre Mkatoliki. Uamuzi huo ambao unauweka mtandao huo katika hatari ya kutengwa na Makao Makuu ya Kanisa Katoliki duniani (Vatican) umefanyika mwishonu mwa wiki baada ya mwanamke...
Share:

POMBE SI CHAI,CHEKI ILIVYOMFANYA VIBAYA O -TEN

Unaweza kuona ni kiasi gani maisha ya kupanda na kushuka kwa kila mtu kwani kwa upande wa O-ten mambo hayamuendei vizuri kabisa kwa kifupi anahitaji maombi ya mama Rakwatare kwani hali yake sio na ulevi aka gambe limepitiliz...
Share:

VILIO VYATAWALA MWILI WA MTOTO NASRA UKIWASILI MKOANI MORO

Waombolezaji wakiangua kilio baada ya mwili wa marehemu Nasra Rashid (4)...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO JUMANNE

Magazeti Leo Jumanne ...
Share:

BUNGENI:TUNDU LISSU AWALIPUA MAWAZIRI TENA

Na Hudugu Ng'amilo Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge, jana walituhumiwa kutumia vibaya nafasi zao kwa kuweka fedha nyingi za miradi ya maji katika maeneo wanakotoka, huku sehemu zenye matatizo...
Share:

RAIS MPYA WA MALAWI ANA MSIMAMO MKALI NA ZIWA NYASA

Rais wa Malawi ana msimamo mkali Ziwa Nyasa Wingu jeusi limeanza kutanda kuhusu hatima ya mzozo wa Ziwa Nyasa...
Share:

‘Mtoto wa boksi’ kuzikwa leo, ndugu wa babake wajitokeza

Dar es Salaam. Ndugu wa baba wa mtoto, Nasra Mvungi (4) aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, jana walijitokeza wakitaka wapewe mwili wa marehemu kwa ajili ya maziko. Baada ya kuwasili hospitalini hapo saa 1:35...
Share:

ACHOMWA MOTO KWA KUIBA NG`OMBE

MTU mmoja anayetuhumiwa kwa wizi wa ng’ombe na ndama wake, mwishoni mwa wiki iliyopita alipata kipigo cha kufa mtu na baadaye kuchomwa moto, lakini katika hali isiyo ya kawaida, hakuweza kufariki ‘kugoma kufa’ hadi polisi walipotokea na kunusuru maisha yake. Mtuhumiwa wa wizi wa ng'ombe...
Share:

DIAMOND PLATNUMZ NI NOMAAAAAAA, KUPIGA KOLABO NA MSANII HUYU WA MAREKANII? SOMA HAPA

DIAMOND PLATNUMZ HALALI. PAMOJA NA MAFANIKIO MAKUBWA ANAYOENDELEA KUYAPATA, STAA HUYO ANAZIDI KUJITENGENEZA CONNECTION KALI ZA KIMATAIFA.  Picha ya juu: Diamond akiwa na Kevin Liles, meneja wa Trey Songz, Big Sean, Estelle na wasanii wengine Katika kile kinachoonekana...
Share:

BAADA YA KUSEMA SUMU YAUSIKA,UKWELI KIFO CHA DENTI CHUO KIKUU UDSM HUU HAPA SOMA..............

HATIMAYE familia ya denti wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya (21) kilichotokea hivi karibuni na kugubikwa na utata, imeanika ukweli kuhusiana na tukio hilo. Marehemu Sekabenga Pius Mwakimenya enzi za uhai wak...
Share:

DIAMOND AFANYA SHEREHE YA KUZINDUA JUMBA LAKE JIPYA..

...
Share:

Monday, 2 June 2014

NCHEMBA ASEMA ATAONGOZA MAPAMANO YA KUMNG'OA MSIGWA

Naibu katibu mkuu wa CCM bara Mwigulu Nchemba akiwahutubia  wananchi wa  jimbo la Iringa mjini...
Share:

Mwigulu Nchemba: "Nataka Niwe Rais ili Niwafundishe Adabu Watanzania!"

Akiwa  mjini Iringa kwenye viwanja vya Mwembetogwa, Mh Mwigulu Nchemba .......
Share:

MWILI WA MAMA YAKE ZITTO, BI. SHIDA SALUM WASAFIRISHWA KWENDA KIGOMA KWA MAZISHI

Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe. Zitto Kabwe akiwa na Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba wakati wa kuuaga mwili wa mama yake kipenzi Bi. Shida Salum aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazish...
Share:

LICHA YA VIGODORO KUKATAZWA HAPA JIJINI,, WATU WANAENDELEA KULA URODA TU WA MAUNO....

...
Share:

Mambo Ambayo Wanawake Wanafanya ili Kuleta Mvuto Lakini Hayashtukiwi na Wanaume Kivile

1. Kubadili mtindo wa kujikwatua. Mwanamke anaweza kuwa amezoea kujikwatua kwa namna fulani lakini baada ya muda akaamua kubadili muonekanao wake kwa kubadilisha aina mpya ya kujikwatua kwa kuongeza vikorombwezo fulani fulani akitegemea mwenzi wake ata notes lakini asijue kwamba...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger