Thursday, 29 May 2014

MCHUMBA WA MTU AZIMIKA BARABARANI, POMBE YATAJWA

Msichana mmoja aliyetajwa kwa jina la Halima aliyedaiwa kuwa ni mchumba wa mtu, hivi karibuni alipata aibu ya aina yake baada ya kukutwa amezimika barabaran...
Share:

HOFU YATANDA WASAMARIA WEMA WAINGIA MITINI DHAMANA YA WAZAZI WA MTOTO WA BOKSI

HATIMAYE wale watuhumiwa wa mtoto anayedaiwa kufichwa kwenye boksi kwa miaka 4 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro kujibu mashitaka ya kula njama na kufanya ukatili dhidi ya mtoto Nasra huku watu waliotakiwa kuwawekea dhamana watuhumiwa hao wakiingia mitin...
Share:

THEY HAVE GONE TOO SOON! WAMEKWENDA MAPEMA MNO!

RECHO: Hapa ndipo atakapo anza siku yake ya kwanza leo kwenye makazi yake mapya mbinguni. Shimo dogo ni kaburi ya mtoto wake aliyefariki muda mfupi baada ya kumzaa! RECHO: KUZALIWA 1988  KUFARIKI: 2014. UMRI: 26YR...
Share:

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWASILI WILAYANI BABATI LEO, AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MANYARA

Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana ukivuka katika mto Magara mapema leo asubuhi kuelekea wilayani Babati mkoani Manyara.Kinana ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi,siasa na Uenezi Nape Nnauye,wakiwa kwenye ziara ya siku saba ya kukagua kuhimiza na kusukuma miradi ya maendeleo inayotekelezwa...
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI

                                         ...
Share:

TAZAMA MTO RUVU

Bagamoyo. ...
Share:

BAADHI YA MUVI ALIZOCHEZA MAREHEMU RECHEL HAULE

Marehemu Racheal Haule enzi za uhai wak...
Share:

AIBU MUME WA FLORA MBASHA AMEMBAKA SHEMEJI YAKE MWENYE UMRI WA MIAKA 17

Dar es Salaam.Mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili,...
Share:

TAZAMA PICHA ZA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU AKIONYESHA VITU VYAKE NI BALAAA KWELI.....

 Ni aibu kwa msomi kuweka picha za nusu uchi mtandaoni cheki huyu mmoja wa wanachuo wa chuo kimojawapo hapa dodoma ameweka picha hizi mtandaoni BOFYA HAPO CHINI KUANGALIA PIC...
Share:

Mchumba wa Vicky Kamata kumbe ni Tapeli Alishawatapeli Wadada Wengine Wawili

Haya ndo manejo ya Le Mutuz mara baada ya kukutana na Mhe. Vicky Kamata, nanuku...
Share:

MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI

JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala jijini Dar es Salaam linamsaka kwa udi na uvumba Emmanuel Mbasha (pichani) ambaye ni mume wa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kwa madai ya kumbaka shemeji yake mwenye miaka 17 (jina tunalo) ambaye ni yatima. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel...
Share:

BOTI YAZAMA NA KUUA WATU ZIWA VICTORIA CHEKI PICHA HAPA

Watu watano wamekufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama ndani ya Ziwa Victoria...
Share:

Kwanini Mabinti wa Kitanga Wanagombaniwa?

Jamani hivi Tanga Kunani? Toka Nimekua na Kubalaa nasikia tu kuwa ukipata...
Share:

PIGO KWA MANCHESTER UNITED MMILIKI WA TIMU AFARIKI

Malcolm Glazer aliyefariki akiwa na miaka 85. MMILIKI wa timu ya Manchester United, Malcolm Glazer, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Amefariki akiwa nyumbani kwake Marekan...
Share:

Muonekano Mpya wa Mwigizaji Lulu Michael Baada ya Kuachana na Mawigi

Huyu si mwingine bali ni mdogo wetu aliekulia kwenye TV (kwasisi wa miaka ya ...
Share:

Wednesday, 28 May 2014

SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na. EA.7/96/01/G/23 27 Mei, 2014 KUITWA KAZINI

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapendakuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usailikuanzia tarehe 09 Aprili, 2014 hadi tarehe 09 Mei, 2014 kuwawalioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwakuripoti kwa Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika tangazo...
Share:

BREAKING NEWS:"WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA SOKOINE-MOROGORO WAGOMA TENA"

                                          HABARI ZILIZOTUFIKIA MDA SI MREFU NI KWAMBA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA SOKOINE WAMEGOMA KUINGIA MADARASANI KUTOKANA...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger