
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack akikagua Jengo la kituo cha Polisi Nandagala Mkoani Lindi
Na Regina Ndumbaro- Lindi
Mkoa wa Lindi uko tayari kuupokea Mwenge wa Uhuru mwaka 2025, ambapo maandalizi mbalimbali yamekamilika ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa miradi itakayopitiwa na mbio hizo muhimu...