Friday, 30 April 2021

Tazama Picha : MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM ...WAJUMBE WAMCHAGUA RAIS SAMIA KUWA MWENYEKITI WA CCM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa ameshikilia Tuzo yake ya Heshima na Pongezi aliyopewa na Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) mara baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM...
Share:

SIMBA SC KUCHAPANA NA KAIZER CHIEFS YA AFRIKA KUSINI ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

Timu ya Simba SC ya Tanzania itakutana na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini katika Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya droo iliyopangwa leo Jijini Cairo nchini Misri. Mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri nao watamenyana na wapinzani kutoka Afrika Kusini, Mamelodi Sundowns. Mshambuliaji Mtanzania,...
Share:

MWADUI FC YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA TFF BAADA YA KUICHARAZA COASTAL UNION 2-0

TIMU ya Mwadui FC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga jioni ya leo Uwanja wa Mwadui Complex, Kishapu mkoani Shinyanga. Mabao ya Mwadui FC yamefungwa na Roshwa Rashid dakika ya 14 na Wallace Kiango...
Share:

VIGOGO YANGA WATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA TFF BAADA YA KUITWANGA TANZANIA PRISONS 1-0

Vigogo,Yanga SC wamefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons Uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga mkoani Rukwa. Pongezi kwa mfungaji wa bao hilo...
Share:

MANISPAA YA SHINYANGA KUANZISHA MASHINDANO YA USAFI WA MAZINGIRA

  Mkuu wa idara ya Usafi na Mazingira Manispaa ya Shinyanga Kuchibanda Snatus, akisoma taarifa ya mpango wa kuanzisha mashindano ya usafi wa mazingira kwenye Baraza la Madiwani kwa niaba ya Mkurugenzi. Picha zote na Marco Maduhu Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Geofrey Mwangulumbi akizungumza...
Share:

VIJANA WA JKT WALIORUDISHWA NYUMBANI WATAKIWA KUREJEA KAMBINI MEI 7 - 14 , 2021

Kaimu Mkuu wa Tawi la Utawala Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kanali Hassan Mabena akitoa taarifa ya kurejeshwa kwa vijana wa kujitolea katika mafunzo ya JKT kuanzia Mei 7 hadi 14, 2021 baada ya kuwarejesha nyumbani hapo awali. *** Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limewataka vijana waliochaguliwa kujiunga...
Share:

DANIEL CHONGOLO KATIBU MKUU WA CCM, SHAKA ACHUKUA NAFASI YA HUMPHREY POLEPOLE

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya mabadiliko ya viongozi wake wakuu kitaifa ikiwemo nafasi ya Katibu Mkuu iliyokuwa inashikiliwa na Bashiru Ally pamoja na nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi iliyokuwa inashikiliwa na Hamphrey Polepole. Katika Mabadiliko hayo, CCM imempitisha Daniel Chongolo...
Share:

Breaking : LAZARO NYALANDU AIKACHA CHADEMA NA KUREJEA CCM

Lazaro Nyalandu akitangaza kurejea CCM leo ** Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu ametangaza kurejea Chama Cha Mapinduzi akisema ameamua kurejea nyumbani. Nyalandu ametangaza kurejea CCM leo Ijumaa Aprili 30,2021...
Share:

SAMIA : SIASA SI UADUI...USHINDI WA CCM 2025 UTATEGEMEA VILE TUTAKAVYOTEKELEZA ILANI YETU

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema Ushindi wa CCM  mwaka 2025 utaletwa kwa namna wana CCM watakavyotekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM huku akisisitiza kuwa  Siasa si uadui hivyo kuviomba vyama vya siasa kutoa...
Share:

SAMIA SULUHU HASSAN ACHAGULIWA KWA KISHINDO KUWA MWENYEKITI WA CCM

Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi kumchagua kwa kishindo Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Mwenyekiti wa Sita wa CCM kwa kupata kura 1862 hakuna kura ya Hapana hivyo ameshinda kwa asilimia 100. Nafasi ya MNEC walioshinda ni Happiness Mgongo na Rehema Simba ...
Share:

PROF. KOMBA ATAKA TSC IONE FAHARI KUHUDUMIA WALIMU WENYE MAADILI

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Prof. Willy Komba, akifunga mafunzo kwa Kamati za Wilaya za Mikoa ya Kanda ya Ziwa, zinazoshughulikia masuala ya Ajira na Nidhamu kwa Walimu, Aprili 29, 2021 jijini Mwanza. Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Mwl. Paulina Nkwama, akitoa hotuba...
Share:

INSTRUCTOR II (ELECTRICAL) at Arusha Technical college

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST INSTRUCTOR II (ELECTRICAL). – 1 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION EMPLOYER Arusha Technical college ATC APPLICATION TIMELINE: 2021-04-28 2021-05-12 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach up to NTA level 6 and may assist teaching in higher NTA levels;...
Share:

LIVE: Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM, Dodoma

 LIVE: Mkutano Mkuu Maalum Wa CCM, Dodoma...
Share:

Taarifa Ya Kuongeza Kasi Ya Utekelezaji Wa Hatua Za Kujikinga Na Magonjwa Mbalimbali Nchini.

...
Share:

INSTRUCTOR II (MECHANICAL) at Arusha Technical college

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST INSTRUCTOR II (MECHANICAL) – 1 POST POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES EMPLOYER Arusha Technical college ATC APPLICATION TIMELINE: 2021-04-28 2021-05-12 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To teach up to NTA level 6 and...
Share:

ASSISTANT LECTURER – LIBRARY AND INFORMATION MANAGEMENT SYSTEM(RE-ADVERTISED) at The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA)

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POST ASSISTANT LECTURER – LIBRARY AND INFORMATION MANAGEMENT SYSTEM(RE-ADVERTISED) – 1 POST POST CATEGORY(S) HR & ADMINISTRATION EMPLOYER The Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA) APPLICATION TIMELINE: 2021-04-28 2021-05-12 JOB SUMMARY Candidate should be a person of the highest...
Share:

Resident Program Director at International Republican Institute

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job Summary Every employee of IRI is responsible for carrying out the Mission of IRI and demonstrating the Core Values in their day to day operations. The Core Values, which are IRI’s foundational building blocks include: Excellence– We believe in quality results delivered by investing...
Share:

Consultant at UN Women

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Background UN Women, grounded in the vision of equality enshrined in the Charter of the United Nations, works for the elimination of discrimination against women and girls, the empowerment of women, and the achievement of equality between women and men as partners and beneficiaries...
Share:

Jumbo Operator at North Mara Gold Mine

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content POSITION DESCRIPTION: North Mara Gold Mine Limited is seeking to recruit Jumbo Operator to join Underground Production team. The successful candidates for this position will carry out assigned tasks within the guidelines of Company Standard Operating Procedures as well as other assigned...
Share:

Retention Assistant (Specific Task) 3 Posts at ICAP

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job no: 495160 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Kagera, Tanzania – Mara, Tanzania – Mwanza, Tanzania – Dar es Salam Categories: Program Management/Implementation/Support ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia...
Share:

HIVST Assistant (Specific Task) 2 Posts at ICAP

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job no: 495149 Work type: Temporary Full-Time Location: Tanzania – Dar es Salam, Tanzania – Kigoma Categories: Program Management/Implementation/Support ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of...
Share:

Specialist Trainer – Underground Mine Equipment at Geita Gold Mining

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in four continents. The...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRILI 30,2021

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger