Tuesday, 28 April 2026

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO APRILI 29,2026

Magazeti



 



Share:

KUTANA NA MTABIBU WA NY0TA ZA BINADAMU, BINGWA WA TIBA ZA ASILI AFRIKA

 


Kutana na Mtabibu Shariff Majini
Mwenye uwezo mkubwa kutoka kwa Allah  Mtabibu wa nyota za binadamu na dawa za asili za Afrika ✦ Ana uwezo wa kubaini tatizo lako mara tu unapowasiliana naye kupitia njia husika.

Je, unasumbuliwa na matatizo yafuatayo?

Mapenzi
Umeachwa na umpendaye, awe mume, mke au mpenzi, na bado unampenda? Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Wasiliana na Shariff Majini ujionee muujiza wa papo kwa papo ✦ Ana uwezo wa kurudisha mahusiano na kuimarisha ndoa yako ndani ya saa 12 tu.

Mahusiano yaliyovunjika
Umekimbiwa na mumeo, mkeo au mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akusaidie kutatua tatizo hilo.

Ahadi kutimizwa
Atamfanya mhusika atimize ahadi zote kwa muda mfupi.

Matatizo kwa kutumia jina au picha
Shariff Majini hutumia jina la mhusika au picha kusaidia kumaliza tatizo lako.

Huduma nyingine

✦ Kutibu kwa kutumia vitabu vya Qur'an
✦ Dawa za asili za Afrika
✦ Dawa za Kiarabu
✦ Kutafsiri ndoto
✦ Kushinda bahati nasibu
✦ Kusafisha nyota
✦ Kuvutia biashara na mvuto wa mwili
✦ Kinga ya mwili
✦ Zindiko za nyumba
✦ Miguu kufa ganzi
✦ Kufungua kizazi kwa waliofungwa kishirikina
✦ Kupata jini la mali kwa wanaohitaji utajiri bila masharti
✦ Nguvu za kiume
✦ Kumaliza kesi zilizoshindikana ndani ya siku 14 tu

Mawasiliano

+255 756 465 818
📱 WhatsApp: +255 756 465 818

NB: Tiba kwa dini zote na imani zote 

Share:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili 28 hadi 30, 2026, kufuatia mwaliko wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo.

Mheshimiwa Ryzhenkov amewasili kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, ambapo alipokewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe, pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Belarus nchini Mhe.Dzmitry Krasouski.

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Ryzhenkov anatarajiwa kufanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Aprili 28, 2026, jijini Dar es Salaam. Aidha, atakutana na viongozi wengine wa Serikali kwa lengo la kuendeleza na kupanua ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Belarus pamoja na kukuza ushirikiano wa kiuchumi katika maeneo yenye maslahi ya pamoja.









Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRILI 28,2026

Magazeti

 






















Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger