Meneja wa kanda ya Ziwa wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote(UCSAF) Fredy Kandonga, akizungumza kwenye semina hiyo.
Meneja wa kanda ya Ziwa wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote(UCSAF) Fredy Kandonga, akizungumza kwenye semina hiyo.
Meneja wa kanda ya Ziwa wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote(UCSAF) Fredy Kandonga, akizungumza kwenye semina hiyo.
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mwanza(MPC) Edwin Soko akizungumza kwenye semina hiyo.

Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mwanza(MPC) Edwin Soko akizungumza kwenye semina hiyo.
Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa UCSAF Celina Mwakabwale, akizungumza kwenye semina hiyo
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari vya kanda ya Ziwa wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo.

Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari vya kanda ya Ziwa wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari vya kanda ya Ziwa wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari vya kanda ya Ziwa wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo.
Baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari vya kanda ya Ziwa wakifuatilia mada mbalimbali katika semina hiyo.
Na Mwandishi wetu
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) umeongeza kasi ya huduma ya intaneti Kanda ya Ziwa baada ya kubadilisha minara 431 kutoka teknolojia ya 2G kwenda 3G/4G, hatua inayolenga kuwawezesha wananchi kupata huduma za intaneti zenye ubora zaidi na kuwaletea maendeleo.


































