MKURUGENZI Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Fortunatus Magambo ameandika historia mpya katika Kata ya Nyamatare baada ya kujitolea kujenga vyumba vitano vya madarasa katika Shule ya Msingi Ring’wani, hatua inayotajwa kuwa mkombozi kwa wanafunzi wa shule hiyo.




























.jpg)

.jpg)

.jpg)














