Thursday 29 February 2024

NJIA RAHISI SANA NILIYOTUMIA KUPATA KAZI YA HOTEL!

Jina langu ni Flowrance kutokea Mpwapwa, Dodoma nchini Tanzania, katika maisha yangu nakumbuka nilichoka kutafuta kazi na nilichoka kukaa nyumbani pia, ilikuwa kila nachofanya kinagoma.

Ilifika hatua nilikuwa tayari kwa lolote lile, nikaamua kutafuta kazi ila sikufanikiwa, siku moja nikiwa nasoma gazeti moja nikakutana na tangazo la Kiwanga Doctors kuwa anasaidia watu kupata kazi na zenye maslai mazuri.

Basi nilichukua namba zake katika gazeti lile ambazo ni +254 769 404965 na mara moja nikapiga, tuliongea kwa muda na kumueleza shida yangu, alichukua muda mfupi kunihudumia kisha akaniambia nijiandae na kazi kwani nitapata muda wowote ule.

Sasa siku kadhaa mbele niliona tangazo la kazi la hotel fulani linahitaji muhudumu, nilikaa nikajiwazia moyoni, nikasema hii ndio nafasi yangu.

Kesho yake mapema nikiwa smart na nimependeza nilikuwa nishafika pale ofisini, bahati nzuri nilikuwa napafahamu hivyo sikuhangaika kupatafuta.

Niliomba kuonana na HR, maana tangazo lilitoka kwake, muda ule alikuwa bado hajafika.

Alivyofika alijulishwa kuwa kuna mgeni wake, alitoka kuja kuonana na mimi, baada ya salamu aliniuliza ni nini kimenileta pale. Kwa kujiamini nilijibu kuwa nimeenda kuanza kazi maana nimeona wanahitaji muhudumu.

Alicheka ila bado niliendelea kusisitiza kuwa ni kazi imenileta pale, alitoka na kumuita mtu aliyemtambulisha kama meneja wa hotel, kisha alimueleza kwanini nipo pale.

Alishangaa kwa ujasiri wangu, alianza kuniuliza maswali ya hapa na pale, baadaye walitoka na kuniacha, alirudi HR na kuniambia itabidi wanifanyie interview.

Nilikuwa mchangamfu sana kwahiyo kuna namna tayari nilikuwa nimeshawazoea nao, interview haikuwa ngumu sana. Muda mwingi waliniuliza maswali ya kutaka kunijua tu.

Mwisho meneja aliniambia "imani yako imekuponya, kesho njoo uanze kazi:. Hivyo ndio nilivyopata kazi.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 


Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI FEBRUARI 29, 2024


Share:

Wednesday 28 February 2024

POLISI SHINYANGA WAKAMATA SUKARI, NGOZI YA CHATU, NYAYA ZA UMEME





Share:

WAFANYAKAZI WA BARRICK BULYANHULU NA NORTH MARA WALIVYOSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2024

Wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakitimua mbio wakati wa mashindano hayo.

***
Wafanyakazi wa Migodi ya Barrick ya Bulyanhulu na North Mara ambao wamekuwa mahiri kushiriki katika mashindano ya aina mbalimbali kupitia klabu zao za michezo zijulikanazo kama wameshiriki mbio za Kimataifa za Kilimanjaro 2024 zilizofanyika mkoani Kilimanjaro ambapo baadhi yao wamemudu kukimbia mbio za masafa marefu.

Kampuni ya Barrick inayo sera madhubuti katika kusaidia wafanyakazi kwenye upande wa michezo kwa kuwa na miundo mbinu ya mazoezi kama gym, swimming pool, viwanja vya mpira wa miguu , viwanja wa mpira wa kikapu pamoja na viwanja vya mpira wa pete. Vilevile kampuni imekuwa inatoa vifaa na nyenzo mbalimbali za kufanyia mazoezi, na kugharamia wafanyakazi wake kushiriki mashindano yanayofanyika nje ya migodi yake ikiwemo nje ya nchi.

Kampuni pia kupitia kitengo cha Afya na Usalama huwa inaandaa mashindano ya ndani kwa kushindanisha idara mbali mbali hii ni kama njia moja wapo ya kuweza kuweka vizuri afya za mwili na akili za wafanyakazi wawapo kazini. Mgodi wa Bulyanhulu pia umekuwa ukiandaa mashindano ya riadha yajulikanayo kama Bulyanhulu Healthy Lifestyle Marathon ambayo yamekuwa yakishirikisha wafanyakazi na wanariadha kutoka nje ya Mgodi.
Wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakitimua mbio wakati wa mashindano hayo.
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Baadhi ya wakimbiaji kutoka kampuni ya Barrick wakifurahi na baada ya kumaliza mbio za Marathon za Kilimanjaro
Share:

WADAU SEKTA YA AFYA WAKABIDHI VITENDEA KAZI VYA THAMANI YA MILIONI 800 KWA SERIKALI



`
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepokea vitendea kazi vyenye thamani ya Milioni 800 kutoka kwa wadau wa CDC kupitia THPS kwa ajili ya mapambano dhidi ya UKIMWI na Kifua Kikuu katika Mkoa wa Tanga.


Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amepokea vitendea kazi hivyo leo Februari 23, 2024 Mkoani Tanga ambavyo ni pikipiki 50, friji 72, Centrifuges 56, Compyuta 50, UPS 50 na printa 50 ambavyo vitendea kazi hivyo vitaimarisha huduma za Afya katika Mkoa huo.


Aidha, wakati akipokea vitendea kazi hivyo Waziri Ummy amewataka wote watakaokabidhiwa vifaa hivyo kuvitumia Kama ilivyo elekezwa ikiwa ni pamoja na kuwafikia wateja wanaoishi katika mazingira magumu na mbali na vituo vya kutolea huduma za Afya ili kuwafikishia huduma.


“Lakini pia tunaamini kwamba mtaongeza idadi ya huduma mkoba ‘outreach services’, kuwafikia wateja walio katika mazingira hatarishi ya kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI na kuwapatia huduma za kinga zikiwemo kinga dawa na kusafirisha sampuli kwa ajili ya kupima wingi wa Virusi vya UKIMWI.” Amesema Waziri Ummy


Pia, amewataka kutunza vifaa hivyo na kunifanyia matengenezo ya mara kwa mara ili viweze kudumu kwa muda mrefu na kutimiza lengo la kudhiiti UKIMWI na VVU ambapo ametoa onyo kwa yeyote atakae fanya kinyume na maelekezo hayo kuchukuliwa hatua za kinidhamu.


Pia, Waziri Ummy ameyataka mashirika yote ya kiraiya yanayofanya kazi katika Sekta ya Afya kuzingatia ya ( katika fedha zote wanazozipata angalau watenge kiasi kisichopungua asilimia 10 kwa ajili ya ya kuajiri watumishi wa Afya katika vituo vya kutoa huduma za Afya ngazi ya msingi


“Tunaposema kupambana na masualaya ya UKIMWI lakini kuna upungufu wa wauguzi, hakuna madaktari, hakuna watu wa maabara, hakuna wafamasia, angalau ajiri wauguzi wawili na watumishi wengine wa mikataba.” Amesema Waziri Ummy

Share:

AIBU! MAMA MKWE HADI ANASHAURI NITUMIE NJIA GANI YA UZAZI WA MPANGO!

Jina langu ni Happy kutokea Tabora nchini Tanzania, ni mama wa watoto wawili kwa sasa, mwaka 2018 niliolewa na kijana ambaye kila jambo ilikuwa ni lazima amshirikishe mama yake.

Sikua na shida na hilo jambo, ingawa ukaribu wao ulikua kidogo umezidi kusema kweli, hata kabla ya kuanza naye mahusiano kumbe mama yake alinitathmini kwanza ndio akampa ruhusa ya kuanzisha hayo mahusiano.

Nilikuja kuambiwa baadae kuwa ndio kawaida yake, nilishangaa sana kwa sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kuona jambo hilo ingawa niliwahi kusikia kuwa kuna mambo kama hayo.

Yaani ilikua hata tukikubaliana jambo, ikitokea tu mama yake akatoa mawazo ya tofauti basi makubaliano yetu yote yalikuwa yanatupiliwa mbali.

Kilichonishtua sana ni pale alipokataa nitumie kipandikizi kwa sababu mama yake amemuambia sio njia sahihi. Hili halikuniingia akilini kabisa kwa sababu sisi kama wanandoa, haya ni maamuzi ya faragha inakuwaje anamshirikisha mama yake?.

Mwisho wa siku nilichoka, nikamueleza jirani yangu Mama Mage kuhusu tabia hiyo, akaniambia dawa ya huyo mama mkwe wangu ni ndogo tu, akanipatia namba za Kiwanga Doctors (+254 769 404965) na kuniambia atanisaidia.

Niliwasiliana na Kiwanga Doctors na kumueleza changamoto hiyo ya kifamilia, basi alinifanyizia dawa yake na tangu wakati huo ukawa ndio mwisho wa mama mkwe kuingilia ndoa yetu.

Kuna siku nilipata habari za chini chini kuwa mama mkwe anasema kwa sasa nimemshika vibaya mtoto wake kiasi kwamba hamshirikishi tena mambo yetu kama ilivyokuwa mwanzo, hapo nikajua kuwa dawa ya Kiwanga Doctors imefanya kazi yake.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 


Share:

Tuesday 27 February 2024

DK. NCHIMBI AMJULIA HALI MWENYEKITI ALAT TAIFA


Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, Mhe. Murshid Ngeze, katika Hospitali ya CCBRT, jijini Dar Es Salaam, ambako Diwani huyo wa Kata ya Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Bukoba, mkoani Kagera, amelazwa kwa ajili ya matibabu.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger