Tuesday 30 May 2023
WADAU WA USAFIRI WA ANGA WAFANYA MKUTANO KWENYE UWANJA WA NDEGE SHINYANGA... UKARABATI NA UPANUZI KUKAMILIKA 2024 FURSA KIBAO
WAZIRI GWAJIMA AMUAGA ALIYEKUWA MUWAKILISHI MKAZI WA UNICEF BI.SHALINI BAHUGUNA JIJINI DODOMA
TUMIENI NJIA SAHIHI KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYAKAZI- PROF. MSHANDETE
WAZIRI NDALICHAKO ASHIRIKI KIKAO CHA MAWAZIRI KAZI NA AJIRA SADC
KLABU YA KWANZA YA MKONGE YAZINDULIWA
Monday 29 May 2023
WADAU WA USAFIRI WA MAJINI KIBITI WAPATIWA ELIMU YA USALAMA, ULINZI NA UTUNZAJI WA MAZINGIRA
Na Mwandishi Wetu,Pwani
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetoa elimu ya Usafiri Salama Majini kwa wadau mbalimbali wa wilaya ya Kibiti katika mialo ya Nyamisati Mkoani Pwani Mei 25 mwaka huu
Elimu hiyo iliyotolewa katika mialo iliyozunguka Nyamasati iliwajumuisha wavuvi, manahodha wa vyombo, wamiliki wa vyombo, wafanyabiashara na watumiaji wa vyombo vidogo vya usafiri majini.
Katika utaoji wa elimu hiyo watoa mada mbalimbali kutoka TASAC, TPA na BMU walitoa elimu ya jinsi ya kutumia vifaa vya uokoaji pindi inapotokea dharura au ajali majini; utumiaji vifaa vya uokoaji pamoja na matumizi ya kizimia moto (fire extinguisher) na umuhimu wa kuwa na kifaa hicho kwenye vyombo vidogo vya majini.
TASAC imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya usafiri majini kutoa elimu katika maeneo mbalimbali kwa lengo la kuwahamasisha wamiliki wa vyombo kuweka vifaa vya kujiokolea lakini pia manahodha na wavuvi kuvaa jaketi okozi wakati wote wawapo safarini au kuendesha shughuli za uvuvi.
WANANCHI WAHIMIZWA KUNUNUA BIDHAA ZILIZOTHIBITISHWA UBORA NA TBS
MCHENGERWA, WANANCHI WA VIJIJI VYENYE MIGOGORO YA MIPAKA HIFADHI YA SERENGETI WAYAJENGA, WAIPONGEZA SERIKALI, WATAKA USHIRIKISHWAJI.
AMUUA BABA YAKE KISHA KUMPIKA KAMA MBOGA
DAWA SAHIHI YA SHINIKIZO LA DAMU NA SUKARI
Isingekuwa shida sisi kama familia tusingemjua daktari bingwa BAKONGWA aliyemtibia baba yetu ugonjwa wa sukari ya kupanda na shinikizo la damu ambalo kwa hakika hospitali walituhakikishia kuwa baba yetu asingeweza kuishi zaidi ya miezi kumi kisha kufariki.
Familia yetu yenye kulelewa na baba aliyekuwa akifanya kazi serikalini haikuzijua shida wala njaa kama wengi walivyopitia changamoto.
Hali hii ilibadilika ghafla tulipo pata taarifa za baba kuanguka na kushindwa kufanya majukumu yake ya kila siku huko ofisini kwake Jijini Dar es salaam.Watoaji wa huduma za kwanza hapo kazini walimpeleka hospitali mara mmoja na kumpa huduma kisha vipimo vilifuata vilivyoonesha kuwa baba anashida ya sukari na shinikizo la damu la muda mrefu.
Haya yote baba aliyajua lakini aliyafanya siri akihofia kuwa tungeyajua mapema nguzo ya familia ingedondoka, alichokihofia sasa kilikuwa kimefika ugonjwa ule ulimsumbua baba kwa muda wa miaka nane bila ya kumfahamisha yeyote pale nyumbani.
Madaktari bingwa wa muhimbili walisisitiza kuwa hakuna cha kufanya zadi ya mionzi ya chemo na vidonge baadhi vya kumpa nguvu akingoja miezi hiyo kumi na kufariki.
Tulihangaika sana kubadili madaktari kila kona kwa muda wa miezi saba ikiwa ni miezi mitatu tu imebaki baba atutoke kama walivyosema madaktari lakini bado hatukupata msaada.
Mtumishi mmoja wa serikalini Bugando aliiona hofu ya familia yetu kumpoteza baba na kutuambia kuwa tujaribu njia nyingine kwa kuwa hizi za kiofisi tayari zimekuwa na kikomo cha muda.
Alitupatia nambari za whatsapp +243990627777 na tovuti zake pia https://bakongwadoctors.com na kusisitiza tumtafute.Tulifanya hilo mapema sana kwa kuhofia kumpoteza baba na mara tulipompata daktari akatuanzishia dawa iliyomtaka baba atumie siku mbili mfululizo.
Mara baada ya kutumia dawa jambo la ajabu sana tulishangaa kuona baba ameanza kutembea na kurejea kwenye shughuli zake za kila siku.Tunashukuru sana daktari kwa msaada wa kumponya baba yetu mpendwa.