WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso akizungumza leo mjini wakati akifungua kikao kazi cha wadau wa maji Mkoa wa Tanga kilichofanyika wilayani Lushoto |
MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza wakati wa kikao hicho kulia ni Waziri wa Maji Jumaa Aweso kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari |
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Judica Omari akizungumza wakati wa kikao hicho |
MENEJA wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Omari akizungumza wakati wa kikao hicho |
MKURUGENZI wa Tanga Uwasa Mhandisi Geofrey Hilly akizungumza jambo wakati wa kikao hicho |
MKURUGENZI wa Bonde la Maji la Pangani Segule Segule akifuatilia kwa umakini kikao hicho
Wadau wa kikao hicho wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Maji Jumaa Aweso
Wadau wa Kikao hicho wakifuatilia masuala mbalimbali
Waziri wa maji Jumaa Aweso amezitaja sababu zilizokuwa zikikwamisha miradi ya maji kuwa ni kutokana na kuwatumia wakandarasi wababaishaji na wasiokuwa na uwezo.