Thursday 29 October 2020

Priscus Tarimo (CCM) Ashinda Ubunge Jimbo la Moshi Mjini


 Mgombea wa CCM, Priscus Tarimo ameshinda ubunge Jimbo la Moshi Mjini kwa kupata kura 31,169 akifuatiwa na Raymond Mboya (CHADEMA) aliyepata kura 22,555.


Share:

CCM Yashinda Viti Vyote Udiwani Sengerema, Tarime Mjini


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda viti vyote 47 vya udiwani katika majimbo ya Sengerema na Buchosa wilayani Sengerema.

Pia, chama hicho kimeshinda uchaguzi katika kata zote nane za jimbo la Tarime Mjini katika uchaguzi uliofanyika jana.

Wakati msimamizi wa uchaguzi jimbo la Sengerema, Magesa Mafuru akisema CCM imeshinda kata zote 26 za jimbo hilo, mwenzake Crispin Luanda wa Buchosa amesema chama hicho kimetwaa kata zote 21 za halmashauri hiyo.

Wakizungunza kwa nyakati tofauti leo Oktoba 29, 2020, wasimamizi hao wamesema shughuli ya majumuisho ya kura za ubunge na urais katika majimbo hayo inaendelea.

Kwa upande wa jimbo la Tarime Mjini, msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo, Elias Ntiruhungwa amesema kuwa awali wagombea udiwani katika kata mbili katika jimbo hilo wapita bila kupingwa.

Amesema kuwa katika kura zilizopigwa jana kata zilizobaki sita CCM imeweza kushinda huku akisema kuwa matokeo ya ubunge yanatarajiwa kutangazwa muda wowote.



Share:

Deodatus Mwanyika Ashinda Ubunge Njombe Mjini


Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Njombe Mjini amemtangaza Deodatus Mwanyika (CCM) kuwa  mshindi wa jimbo hilo kwa kupata kura 29,553 huku mshindani wake Emmanuel Masonga (CHADEMA) akipata kura 5,940. 



Share:

Dr Tulia Ackson Atangazwa Mshindi Kiti cha Ubunge Mbeya Mjini


Mgombea ubunge kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, ameibuka mshindi katika Jimbo la Mbeya Mjini kwa kupata kura 75,225 huku mpinzani wake Joseph Mbilinyi wa Chadema akipata kura 37,591.

Hivyo ametangazwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini.


 


Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamis October 29



Share:

Freeman Aangushwa Ubunge Jimbo la Hai....Aliyeshinda ni Saashisha Mafuwe


Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Hai , amemtangaza Saashisha Mafuwe wa CCM kuwa ndiye mshindi wa nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo ambaye amepata kura 89,786, akifuatiwa na Freeman Mbowe aliyepata kura 27,684.


Share:

Wednesday 28 October 2020

Human Resources Management Manager at SJUIT

St. Joseph University in Tanzania (SJUIT) is the University owned by the Trustees of Daughters of Mary Immaculate and Collaborators (DMI) and registered by the Tanzania Commission for Universities (TCU). It is a renowned Univer­sity in Tanzania currently with three active colleges, two at its Mbezi-Luguruni Campus and one at its Boko campus. SJUIT has […]

The post Human Resources Management Manager at SJUIT appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Stores Assistant at Serengeti Breweries Limited

Job Description Reports To: Store ManagerContext Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits). It is a subsidiary of East Africa Breweries Limited (EABL), the largest business unit in Diageo Africa and the second largest listed company on the Nairobi stock exchange. SBL […]

The post Stores Assistant at Serengeti Breweries Limited appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Laboratory and Supply Chain Management Technical Advisor at Tanzania Health Promotion Support (THPS) 2020

Job Title: Laboratory and Supply Chain Management Technical Advisor Reports to: Chief of Party Position Location: Dar es Salaam, Tanzania Job Summary: The Laboratory and Supply Chain Management (Lab/SCM) Technical Advisor is responsible for provision of technical support in the planning, coordination and implementation of high-quality laboratory services and supply chain management for improved HIV […]

The post Laboratory and Supply Chain Management Technical Advisor at Tanzania Health Promotion Support (THPS) 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Zonal Coordinator (4 positions) at Tanzania Health Promotion Support (THPS)

Job Title: Zonal Coordinator (4 positions) Reports to: Technical Manager Position Location: Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza and Kilimanjaro Job Summary: The Zonal Project Coordinator is responsible for provision of leadership, management and technical support in the overall implementation of the USAID Police and Prisons Activity for comprehensive HIV and TB care, treatment and prevention […]

The post Zonal Coordinator (4 positions) at Tanzania Health Promotion Support (THPS) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT) at United Nations DAR ES SALAAM

Posting Title: INTERN – PUBLIC INFORMATION – Dar es Salaam, I (Temporary Job Opening) Job Code Title: INTERN – PUBLIC INFORMATION Department/Office: Department of Global Communications Duty Station: DAR-ES-SALAAM Job Opening Number: 20-Public Information-DGC-143262-J-Dar-es-Salaam (A) Staffing Exercise N/A United Nations Core Values: Integrity, Professionalism, Respect for Diversity Org. Setting and Reporting UNICs are the principal sources of information about the United Nations […]

The post International Residual Mechanism for Criminal Tribunals (IRMCT) at United Nations DAR ES SALAAM appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

National Consultant at Food and Agriculture Organization (FAO)

National Consultant on the documenting of an agroecology baseline context in Tanzania using Tool for Agroecology Performance Evaluation (TAPE) Organizational Unit: FRURT Job Type: Non-staff opportunities Type of Requisition: PSA (Personal Services Agreement) Grade Level: N/A Primary Location: Tanzania, United Republic of Duration: 17 days Post Number: N/A FAO seeks gender, geographical and linguistic diversity in its […]

The post National Consultant at Food and Agriculture Organization (FAO) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Monitor, Evaluation and Learning Director at T-MARC Tanzania

T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproduc­tive health, child survival, water and sanitation, nutrition and communicable/non-communi- cable infections like malaria, HIV/AIDS and cervical cancer. T-MARC is seeking applications […]

The post Monitor, Evaluation and Learning Director at T-MARC Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Chief of Party at T-MARC Tanzania

T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproduc­tive health, child survival, water and sanitation, nutrition and communicable/non-communi- cable infections like malaria, HIV/AIDS and cervical cancer. T-MARC is seeking applications […]

The post Chief of Party at T-MARC Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Technical Director at T-MARC Tanzania

T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproduc­tive health, child survival, water and sanitation, nutrition and communicable/non-communi- cable infections like malaria, HIV/AIDS and cervical cancer. T-MARC is seeking applications […]

The post Technical Director at T-MARC Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Finance Director at T-MARC Tanzania

T-MARC Tanzania is a non-profit Tanzanian organization working to improve public health and promote social development. Our socially marketed products and behavior change communication initiatives address pertinent health issues in family planning and reproduc­tive health, child survival, water and sanitation, nutrition and communicable/non-communi- cable infections like malaria, HIV/AIDS and cervical cancer. T-MARC is seeking applications […]

The post Finance Director at T-MARC Tanzania appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kuanza Kupokea Matokeo ya Urais Leo Usiku


 Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Wilson Mahera amesema kuanzia leo usiku Jumatano Oktoba 28, 2020 tume hiyo itaanza kupokea matokeo ya kura za urais kutoka kwenye majimbo.

Dkt. Mahera ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na Mwananchi Digital kuhusu maandalizi ya kupokea, kujumlisha na kutangaza matokeo ya urais shughuli inayofanyika katika kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).

“Tutaanza kupokea matokeo kuanzia leo na kuendelea kwa hiyo kesho tutakuwa tuko serious kupokea matokeo kutoka maeneo mbalimbali na kuyatangaza ila matokeo ya udiwani yatatangazwa kwenye kata” Mahera

“Matokeo ya Ubunge yatakuwa yanapokelewa na kutangazwa kwenye jimbo halafu wanatutumia sisi hapa(JNICC) tunayajumlisha na kuyatangaza tena kwamba jimbo fulani tayari matokeo yake yameshatangazwa ” Mahera


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger