Saturday 1 February 2020

Picha : MAVUNDE AFUNGUA KONGAMANO LA VIJANA KUJUA FURSA ZA MIFUKO YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI SHINYANGA

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde amefungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.

Kongamano hilo limefunguliwa leo Jumamosi Februari 1,2020 katika Ukumbi wa CCM mkoa wa Shinyanga ikiwa ni sehemu ya shughuli za Chama Cha Mapinduzi kuelekea Miaka 43 ya CCM.
Akizungumza katika Kongamano hilo,Mhe. Mavunde amewataka wananchi wa Shinyanga kuchangamkia zilizopo mkoani Shinyanga ili waweze kubadili maisha yao.

"Ndugu zangu fursa hazina mataili,haiwezi kukufuata. Haya maisha siyo ya tatu mzuka,changamkieni fursa zilizopo zilizopo.Tumieni elimu mtakayopata katika Kongamano hili kubadili hali ya maisha yenu",alisema Mavunde.

Kwa Upande wake ,Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga aliwataka wajasiriamali na wafanyabiashara kujitangaza badala ya kujifungia ndani kwa kisingizio cha kukosa masoko.

"Tumieni vyombo vya habari kutangaza bidhaa zenu,tumieni mitandao ya kijamii kutangaza bidhaa zenu badala ya kujifungia ndani.Lakini pia halmashauri zinatoa mikopo,naomba muombe mikopo hii ambayo haina riba ili muweze kuinuka kiuchumi",alisema Mboneko.

Naye Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Mhe. Stephen Masele aliwataka vijana kuishi kwa upendo,kushirikiana,kupendana na kuheshimiana ili kutimiza malengo yao.

ANGALIA PICHA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJIRI HAPA CHINI
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde (mwenye suti) akiwasili leo Februari 1,2020 katika Ukumbi wa CCM mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya kufungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.Kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Shinyanga,Baraka Shemahonge. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde (wa pili kushoto), Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Shinyanga,Baraka Shemahonge (wa kwanza kushoto),Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Jasinta Mboneko na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Stephen Masele wakifurahia jambo ndani ya ukumbi wa CCM Mkoa wa Shinyanga wakati wa kufungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde akifungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga ambalo limefanyika  katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Shinyanga. 
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde akifungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau mbalimbali wakiwa ukumbini.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde akifungua Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Shinyanga,Baraka Shemahonge akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Mashema akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Mhe. Stephen Masele akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Mhe. Stephen Masele akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Mhe. Stephen Masele akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza katika Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Kongamano linaendelea.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Katibu wa UVCCM wilaya ya Shinyanga Mjini,Raphael Nyandi akizungumza wakati wa kongamano hilo.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Wadau  na wanachama wa CCM wakiwa ukumbini wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde akitoa zawadi ya vyeti kwa wadau na wanachama wa CCM namna walivyoshiriki kuandaa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini,Stephen Masele akiwaaga wadau na wanachama wa CCM waliohudhuria Kongamano hilo.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde akiondoka ukumbini baada ya kufungua kongamano hilo.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga, Jasinta Mboneko akiteta jambo na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Vijana na Wenye ulemavu, Anthony Mavunde.
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga,Mwanahamisi Iddi akielezea fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki ya CRDB wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga,Mwanahamisi Iddi akielezea fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki ya CRDB wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Afisa kutoka Benki ya CRDB Tawi la Shinyanga,Abel akielezea fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki ya CRDB wakati wa Kongamano la Vijana kujua fursa za Mifuko ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Shinyanga.
Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:

TFF yawaka juu ya upotoshaji wa ratiba ya ligi kuu




Share:

Naibu waziri Mambo ya Ndani atinga TAKUKURU kuhojiwa

Naibu waziri wa Mambo ya Ndani  Hamad Masauni amefika ofisi za makao makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) jijini Dodoma kuhojiwa.
 
Jana Ijumaa Januari 31, 2020 Takukuru alihojiwa aliyekuwa waziri wa wizara hiyo, Kangi Lugola, Meja Jenerali Jacob Kingu (alikuwa katibu mkuu) pamoja na aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye.

Viongozi hao wanahojiwa baada ya agizo la Rais wa Tanzania, John Magufuli kuitaka Takukuru kuwahoji wale wote waliohusika na mkataba aliodai una harufu ya ufisadi ulioingiwa kati ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni moja ya Romania kununua vifaa mbalimbali vya jeshi hilo.


Share:

Tanzania yapigwa marufuku bahati nasibu ya viza Marekani

Serikali ya Marekani imepiga marufuku raia wa Tanzania kushiriki katika bahati nasibu wa kupata viza ya kuingia Marekani.

Bahati nasibu hiyo hutoa viza kwa watu takribani 50,000 kutoka nchi zenye kasi ndogo ya maendeleo kila mwaka kuingia na kufanya kazi Marekani.

Nchi ya Sudani pia raia wake wamepigwa marufuku kuingia katika bahati nasibu hiyo.

Wakati huo huo raia wa nchi nne ikiwemo mbili za Afrika Nigeria na Eritrea wamepigwa marufuku kabisa kuomba viza za kuhamia Marekani.

Hata hivyo raia wa nchi hizo ambao watataka kuingia Marekani kwa kutalii ama biashara wataruhusiwa.

Wiki iliyopita, vyombo vya habari vya Marekani viliripoti juu ya rasimu ya marufuku mpya ya kuingia Marekani kwa mataifa saba.

Ni taifa moja tu la Belarus ambalo lilitajwa katika rasimu ya awali ambalo halijaorodheshwa katika taarifa za leo.

Shirika la Utangazaji Uingereza (BBC) limeripoti kuwa ofisa wa ngazi ya juu nchini Marekani amesema kuwa nchi hizo sita zimeshindwa kufikia kiwango stahiki cha ulinzi na kupashana taarifa.

"Nchi hizi kwa sehemu kubwa zinataka kutoa msaada lakini kwa sababu mbalimbali zimefeli kufikia viwango vya chini tulivyoviweka," amesema Naibu Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani, Chad Wolf.


Wolf amesema maofisa wa Marekani watakuwa tayari kushirikiana na nchi hizo sita ili kuimarisha matakwa ya ulinzi kwa nchi hizo ili iwasaidie kutoka kwenye orodha  hiyo.


Share:

KATIBU TAWALA SINGIDA AANZA MWAKA 2020 NA SEKTA YA AFYA


Na John Mapepele

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt. Angelina Mageni Lutambi amesema Serikali haitamfumbia macho mdau yoyote wa utoaji wa huduma ya afya ambaye atafanya kazi kwa mazoea bila kuzingatia sheria na taratibu za utoaji huduma na kwamba kuanzia sasa Serikali itakaa na kupanga kwa pamoja ili kuwapatia wananchi huduma bora wakati wote kwa wananchi wa Mkoa wa Singida na taifa kwa ujumla.

Dkt. Lutambi amesema wakati akifungua mkutano wa maandalizi ya mpango kabambe wa afya, ustawi wa jamii na lishe Mkoa wa Singida ambapo kwa sasa kwenye Mkoa wa Singida umekuwa na wadau wengi wanaotoa huduma za afya kutokana na Serikali kuweka mazingira wezeshi lakini changamoto kubwa ni kuwa hakuna uelewa wa pamoja wa mdau gani anafanya nini katika eneo moja la utoaji wa huduma za afya.

Amesema Mkoa wa Singida ni kitovu cha nchi yetu ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi hufika na kupita hivyo ni muhimu huduma inayotolewa katika mkoa huu kuwa katika kiwango cha kimataifa.

Aidha, amesema Mkoa wa Singida kuwa jirani na makao makuu ya nchi ni lazima uwe mkoa wa mfano katika utoaji wa huduma za afya ambapo amemwagiza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida kuboresha huduma ili ifanane na hali halisi ya sasa.

Alisema ili kutekeleza azma ya Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na John Pombe Magufuli kufikia uchumi wa kati wa viwanda ifikapo 2025 lazima sekta afya iratibiwe vizuri na wadau wote washirikiane na kupata namna ya utoaji wa huduma za afya ili wananchi waweze kupata afya bora.

“Ni kwa sababu hii ndiyo maana Serikali imeamua kuwakutanisha ili kujua namna bora ya kufanya shughuli hizo kwa manufaa ya taifa” alisema Katibu Tawala.

Alisema baada ya mkutano huu kila mdau atafahamu jinsi bora ya kufanya kazi baina yake na mwingine ambapo pia Serikali itatambua na kupanga ushiriki mzuri baina ya Serikali na wadau wote wa afya katika Mkoa wa Singida.

Dkt. Lutambi alisisitiza kuwa mpango huu ni nyenzo inayotumiwa na Timu ya uendeshaji wa afya mkoani Singida katika kupanga, kutekeleza, kusimamia na kutathmini shughuli mbalimbali za afya, Ustawi wa Jamii na Lishe katika Halmashauri zote na vituo vya kutolea huduma za afya na katika ngazi ya Jamii kila mwaka.

Akizungumzia ya baadhi ya mafanikio ya mpango huo kwa mwaka 2019, Mratibu wa ubia baina ya Serikali na Sekta Binafsi kwenye upande wa Afya Mkoa wa Singida, Dkt. Abdallah Balla alisema kumekuwa na kuongeza kiwango cha wajawazito kujifungulia katika vituo vya kutolea huduma za Afya kutoka 86% (2018) hadi 99% (2019) kulingana na takwimu za NBS,kuongezeka kwa wateja wapya wa njia za kisasa za uzazi wa Mpango kutoka 27.4% (2018) hadi 32% (2019).

Dkt. Balla alisema kumekuwa na kupungua kwenye kiwango cha udumavu kutoka 34% (2014) hadi 29% (2018) Kuongeza kiwango cha uchanjaji kutoka 106% (2018) hadi 117% (2019).

Aidha, upimaji wa virusi vya UKIMWI ngazi ya jamii, kwa mwaka 2019 jumla ya wananchi 35,973 walipimwa na kati yao wateja 602 (46%) ya wagonjwa wapya waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU na kuunganishwa na vituo vya kutolea huduma.

Aliongeza kuwa huduma ya tohara kinga kwa wanaumie ilitolewa kwa wanaume 31008 sawa na 94% ya lengo la mwaka, ikihusisha Halmashauri zote za Mkoa wa Singida.

Naye Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Singida Victorina Ludovick alimshukuru Dkt. Lutambi na kumhakikishia kuwa ataendelea kusimamia kikamilifu utolewaji wa huduma bora za afya katika Mkoa wa Singida.


Share:

Training Manager Job Vacancy at WASSHA

Position: Training Manager Job Summary Wassha is looking to employ a Training Manager with outstanding written, verbal and interpersonal communication skills. Minimum Qualification: Bachelor Experience Level: Mid level Experience Length: 2 years Job Description A Training Manager is expected to be a strategic thinker with fantastic organizational and time management skills. To ensure success, Training Manager should understand the… Read More »

The post Training Manager Job Vacancy at WASSHA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

ASSISTANT QUALITY ASSURANCE ANALYST Job at WASSHA

JOB TITLE: ASSISTANT QUALITY ASSURANCE ANALYST Job Summary We looking for Assistant Quality Assurance Analyst who be assisting in managing our call center. REPORTING TO: QUALITY ASSURANCE ANALYST DUTY STATION: DAR ES SALAAM Assistant Quality Assurance Analyst is responsible for  assessing the quality of the performance of our customer services officers who deal with our existing and potential customers… Read More »

The post ASSISTANT QUALITY ASSURANCE ANALYST Job at WASSHA appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

36 Assistant Tutors & Tutors Jobs in Arusha February 2020

Overview An upcoming college in Arusha invites applications from suitable candidates with relevant qualifications and experience to apply for the following vacant positions to its Diploma and Certificate programmes in CLINICAL MEDICINE, NURSING AND MIDWIFERY, MEDICAL LABOROTORY SCIENCE, PHARMACY and COMPUTER SCIENCE. Job Title: Assistant Tutors (20 Posts) Qualifications: Diploma in Clinical Medicine (4 posts) Diploma in Nursing and Midwifery… Read More »

The post 36 Assistant Tutors & Tutors Jobs in Arusha February 2020 appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Non-Executive Director Job vacancy at DCB Commercial Bank Plc

Vacancy title: Non-Executive Director Deadline of this Job: 14 February 2020 Duty Station: Within Tanzania , Dar es Salaam , East Africa JOB DETAILS: DCB Commercial Bank Plc is one of the leading commercial banks in Tanzania. Established in 2002 The Board of Directors of DCB Commercial Bank Plc would like to invite applications from suitable candidates for the… Read More »

The post Non-Executive Director Job vacancy at DCB Commercial Bank Plc appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Independent Non-Executive Director Job vacancy at DCB Commercial Bank Plc

Vacancy title: Independent Non-Executive Director Deadline of this Job: 14 February 2020 Duty Station: Within Tanzania , Dar es Salaam , East Africa JOB DETAILS: DCB Commercial Bank Plc is one of the leading commercial banks in Tanzania. Established in 2002 The Board of Directors of DCB Commercial Bank Plc would like to invite applications from suitable candidates for… Read More »

The post Independent Non-Executive Director Job vacancy at DCB Commercial Bank Plc appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Processing Shift Coordinator Job at Alliance One

Company: At Alliance One our purpose is to transform people’s lives so that together we can grow a better world. We are the trusted provider of certified, sustainable and traceable agricultural products and ingredients to businesses and customers. We have 150 years of experience as a leading independent leaf tobacco merchant; serving the worlds multinational cigarette manufacturers. Our… Read More »

The post Processing Shift Coordinator Job at Alliance One appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Green Storage Supervisor Job at Alliance One

Company: At Alliance One our purpose is to transform people’s lives so that together we can grow a better world. We are the trusted provider of certified, sustainable and traceable agricultural products and ingredients to businesses and customers. We have 150 years of experience as a leading independent leaf tobacco merchant; serving the worlds multinational cigarette manufacturers. Our… Read More »

The post Green Storage Supervisor Job at Alliance One appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

 Leaf Accounts Coordinator Job at Alliance One

Company: At Alliance One our purpose is to transform people’s lives so that together we can grow a better world. We are the trusted provider of certified, sustainable and traceable agricultural products and ingredients to businesses and customers. We have 150 years of experience as a leading independent leaf tobacco merchant; serving the worlds multinational cigarette manufacturers. Our… Read More »

The post  Leaf Accounts Coordinator Job at Alliance One appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

Assistant Lecturer (5 Post) Jobs at Muslim University of Morogoro (MUM)

Assistant Lecturer (5 Post) Muslim University of Morogoro (MUM) is a private higher learning institution owned by Muslim Development Foundation (MDF) with a vision of a higher education centre of excellence with cutting edge programs, responsive to the needs of the individual and the nation in a globalized world under the guidance of Islamic moral values. Application are invited… Read More »

The post Assistant Lecturer (5 Post) Jobs at Muslim University of Morogoro (MUM) appeared first on Udahiliportal.com.

Share:

RC TELACK : MWAKA HUU TUNAINGIA MIKATABA YA KAZI NA WALIMU


Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu kabla ya kumkaribisha Mkuu wa Mkoa Mhe. Zainab Telack, kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kahama Annamringi Macha na kulia ni Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akizungumza na Maafisa Elimu kata, Watendaji wa kata na Wakuu wa shule za msingi na sekondari(hawapo pichani) wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Elimu, ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Bw. Mohamed Kahundi akitoa mwongozo wa Wizara ya Elimu kuhusu upangaji wa vipindi shuleni katika kikao hicho
Baadhi ya washiriki wa kikao hicho wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa katika kikao hicho
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiwa darasani katika shule ya msingi Ukune, Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu akifuatilia ufundishaji na ujifunzaji wa wanafunzi, kulia ni Katibu Tawala Mkoa Bw. Albert Msovela
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack akiagiza kukarabatiwa kwa viti na meza katika shule ya sekondari Ukune, Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu 
***
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amesema mwaka huu 2020 ataingia mkataba wa kazi na Waratibu wa Elimu kata ili kuweka mikakati ya kuhakikisha ufaulu mzuri katika mitihani ya Taifa ya darasa la saba na kidato cha nne.

Akizungumza katika kikao cha pamoja na Watendaji wa kata, Waratibu Elimu kata na Wakuu wa shule za msingi na sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Wilaya ya Kahama jana tarehe 31/01/2020, Mhe. Telack amesema lengo la mikataba ni kuhakikisha kuwa kila mmoja anasimamia Elimu kikamilifu kwenye eneo lake ili kuongeza ufaulu.

"Mimi mwenyewe nitasaini Mikataba moja kwa moja na Waratibu Elimu kata nao watasaini na Wakuu wa shule pamoja na walimu, nataka kuona watoto wanatoka darasa la kwanza wanajua kusoma na kuandika, mjipangie mikakati ya kuondoa sifuri" amesema Telack.

Ili kufanikisha mkakati huo, Mhe. Telack amewataka Waratibu wa Elimu kata kuwasilisha kila mwezi taarifa ya maendeleo ya taaluma kwenye kila shule.

Aidha, amesema kuwa kuanzia mwezi Machi mwaka huu kila baada ya miezi miwili ifanyike mitihani ya kuwapima wanafunzi ili kubaini changamoto na kuzifanyia kazi.

Amesisitiza pia ni lazima kuhakikisha mitaala inakamilishwa ili wanafunzi wapate nafasi ya kufanya marudio kabla ya mtihani.

Telack amekemea tabia ya baadhi ya walimu kuwaachia wanafunzi kujisimamia ikiwemo kufuatlia mahudhurio yao wakati walimu wa madarasa wapo. "Walimu tumefikia pabaya, walimu wa madarasa hawafanyi kazi yao, sitaki kusikia"

Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Elimu ambaye ni Afisa Elimu Mkoa, Bw. Mohamed Kahundi amewataka wasimamizi wote Elimu Mkoani hapa kufuata miongozo na maelekezo ya Wizara ya Elimu katika kuandaa ratiba za vipindi ili kukamilisha mitaala.

"Tusibadilishe miongozo na melekezo ya Wizara katika kuandaa vipindi" ,amesema Kahundi.

Wakati huo huo, Mkuu wa Mkoa amewapa siku tatu Wakuu wote wa shule za msingi na sekondari Mkoani hapa kukarabati madawati, viti na meza kwa fedha ya ukarabati inayoletwa na Serikali kila mwezi.


Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger