Thursday, 5 June 2025
MASHINDANO YA SAMIA CUP MKINGA YAFANA, MSHINDI AJINYAKULIA SH M. 5 TASLIMU
JINSI HOUSE BOY ALIVYOFUMANIWA AKITEMBEA NA MKE WA BOSI WAKE

GVEN T-SHIRT STORE & EMBROIDERY - SULUHISHO LAKO LA SARE NA T-SHIRT BORA
👕 Gven T-shirt Store & Embroidery – Suluhisho Lako la Sare na T-shirt Bora!
New Arrivals! ✨✨✨
Karibu sana kutoka Gven Embroidery & T-shirt Clothing Store 🧵
Je, unahitaji:
👕 T-shirt
👔 Mashati
🧢 Kofia
🪑 Seatcover
Kwa jumla na rejareja?
Na huduma za embroidery (kudarizi) zenye ubora wa hali ya juu?
Tunatoa huduma kwa:
⭐ Uniform za hoteli
⭐ Sare za shule
⭐ Sare za viwandani
⭐ Vikundi vya kijamii na kibiashara
⭐ Taasisi za serikali na binafsi
⭐ Ofisi binafsi (migahawa, stationery, maduka ya vipodozi n.k.)
Sasa suluhisho limepatikana!
👉 Gven T-shirt Clothing Store & Embroidery Logo
📍 Tunapatikana Shinyanga Mjini, mkabala na NMB Manonga
🎯 Tunatoa huduma bora za kudarizi kwa kutumia uzi wa kisasa
🛍️ Uuzaji wa T-shirt kwa jumla na rejareja
✅ Ubora wa kazi zetu unazungumza – hutajutia!
📞 Mawasiliano: 0767 926 671
Karibu sana – huduma kwa wakati na kwa heshima!
💥 NEW NEW NEW 💥
PETE YA UCHAWI ILIVYOMNASA MUME AKICHEPUKA
Wednesday, 4 June 2025
TANZANIA YANADI UZOEFU WAKE KATIKA KUKABILIANA NA MAAFA, YAWAALIKA MATAIFA KUJA KUJIFUNZA
Tuesday, 3 June 2025
VITONGOJI 284 ARUMERU MASHARIKI VYAFIKIWA NA UMEME
OFA YA RAIS SAMIA YAREJESHA HUDUMA YA MAJI KWA MAMIA YA WAKAZI WA SONGEA
CHAMA CHA USHIRIKA UDURU WASHINDA KESI,SHAMBA LARUDISHWA RASMI


Monday, 2 June 2025
MILA POTOFU ZINAVYO CHOCHEA MIMBA ZA UTOTONI NA KUATHIRI NDOTO ZA VIJANA WILAYANI CHEMBA
MOROCCAN SAHARA: UK CONSIDERS MOROCCO’S AUTONOMY PROPOSAL AS MOST CREDIBLE TO SETTLE THE DISPUTE
Sunday, 1 June 2025
MAHAKAMA 'KESHO' KUSIKILIZA KESI YA TUNDU LISSU 'Live' MOJA KWA MOJA MITANDAONI

Mahakama ya Tanzania imetangaza kuwa mashauri ya jinai namba 8606/2025 na 8607/2025 dhidi ya Tundu Lissu yatasikilizwa Jumatatu, 2 Juni 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam. Mashauri hayo yatarushwa mubashara kupitia mitandao ya kijamii na tovuti ya Mahakama (www.judiciary.go.tz) ili kuruhusu wananchi kuyafuatilia bila kuhudhuria mahakamani.
Ukumbi wa Mahakama utachukua watu wachache tu: Mawakili wa Serikali (10), wa Utetezi (60), na Waandishi wa Habari (10). Wananchi wengine wanahimizwa kufuatilia kesi kupitia mitandao kwa mujibu wa Mpango Mkakati wa Mahakama ya kuimarisha uwazi na matumizi ya TEHAMA.
Matangazo ya moja kwa moja yataanza kabla ya saa 2:30 asubuhi.
NILIVYOOKOA TITI LANGU LISIKATWE KISA SARATANI




































