Saturday, 5 April 2025

MASHINDANO YA KATAMBI U-17 CUP YAHITIMISHWA KWA KISHINDO! KATUNDA FC MABINGWA

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro akikabidhi zawadi ya fedha kwa washindi wa mashindano hayo. Na Marco Maduhu,SHINYANGA MSHINDANO ya Katambi U-17 CUP yametamatika rasmi,huku Timu ya Katunda FC wakiibuka washindi wa michuano hiyo,baada ya kuifunga Busulwa Sec kwa mikwaju ya penati,na...
Share:

Friday, 4 April 2025

MBINU SHIRIKISHI NI MUHIMU KUHAKIKISHA WATU WENYE ULEMAVU WANAJUMUISHWA KATIKA NYANJA ZOTE– MHE. NDERIANANGA

NA. MWANDISHI WETU BERLIN – UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, na Uratibu, Mheshimiwa Ummy Nderiananga amesema ni muhimu kuwa na mbinu shirikishi ili kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuishwa kikamilifu katika juhudi za maendeleo kitaifa...
Share:

BENKI YA DUNIA YAZITAKA TAASISI ZINAZOTEKELEZA MRADI WA HEET KUONGEZA KASI KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU

Mwakilishi wa Benki ya Dunia, Bw. Nkahiga Kaboko, akizungumza wakati wa Kikao cha wadau watekelezaji wa Mradi wa HEET waliokutana Dar es Salaam. ........ Benki ya Dunia (WB), imetoa wito kwa Vyuo Vikuu na Taasisi za Elimu Tanzania zinazotekeleza Mradi wa Elimu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), kuongeza...
Share:

Thursday, 3 April 2025

DKT. NCHIMBI AWAPOKEA WANACHAMA 200 WA ACT WAZALENDO WILAYANI TUNDURU

Na Regina Ndumbaro - Malunde 1 blog Wanachama 200 wa Chama cha ACT Wazalendo, akiwemo Katibu wa Chama hicho Jimbo la Tunduru Kusini, Saidi Mponda, pamoja na Diwani wa Kata ya Mchoteka, Sefu Hassan Dauda, wamejiunga rasmi na Chama cha Mapinduzi (CCM).  Uamuzi wao wa kuhama ACT Wazalendo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger