Saturday, 9 April 2022

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA DAR

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) Bi. Lulu Ng'wanakilala  akifungua mkutano Mkuu wa 32 wa Mwaka wa Chama hicho unaofanyika kwenye hoteli ya Slipway jijini Dar es Salaam ambapo wanasheria mbalimbali wananwake ambao ni wanachama wa chama...
Share:

RC AWAAGIZA WAKUU WA WILAYA KUANDAA MICHE MILIONI 1.5 KWA AJILI YA KUIPANDA KWA MWAKA

Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongela, akiwahutubia wakazi wa Arusha, kwenye kilele cha siku ya upandaji miti mkoa wa Arusha, maadhimisho yaliyofanyika kwenye shule ya msingi Enaboishu Academy, halmashauri ya Arusha, wilaya ya Arumeru. Na Rose Jackson,Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. John Mongella...
Share:

JINSI YA KUSHIRIKI SHINYANGA MADINI MARATHON 2022

 ...
Share:

NIT MABINGWA BONANZA LA DIWANI WA MABIBO

TIMU ya Mpira wa Miguu ya Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT)imeibuka mabingwa katika Bonanza maalumu lililoandaliwa na Diwani wa Kata ya Mabibo Jijini Dar es salaam baada ya kuifunga timu ya Azimio kwa magoli 3-0. Bonanza hilo lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Loyola, mbali...
Share:

Friday, 8 April 2022

CAMARTEC YAISHUKURU COSTECH KWA UTOAJI FEDHA ZA UBUNIFU TEKNOLOJIA

Mhandisi Kilimo kutoka kituo cha CAMARTEC Godrey Mwinama akionesha baadhi ya zana ambazo zinatengenezwa katika kituo hicho Na Rose Jackson,Arusha Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia vijijini CAMARTEC wameishukuru Tume ya Taifa ya sayansi na teknolojia kwa kuwa wadau muhimu wa kuwapatia fedha...
Share:

AKINA MAMA WASISITIZWA KUJIFUNGULIA KWENYE VITUO VYA AFYA BADALA YA NYUMBANI

Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha, Mhe. Ojung'u Salekwa akiwa watoto waalioletwa Kliniki kwenye zahanati ya Imbibya kata ya Mwandet, kuonyesha hali ya upatikanaji huduma za afya kwenye maeneo ya vijijini. Na Rose Jackson,Arusha Jamii imetakiwa kuwahudumia kina mama wajawazito na watoto kwa...
Share:

SHINYANGA MADINI MARATHON KUFANYIKA AGOSTI 7,2022.... PJFCS YAKABIDHI JEZI KWA RC MJEMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Shinyanga Madini Marathon, Roland Mwalyambi (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema Jezi ya uhamasishaji wa Shinyanga Madini Marathon 2022. Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mbio za Shinyanga Madini Marathon 2022 zilizoandaliwa...
Share:

MWANZA KUANZA ZOEZI LA KUWAONDOA WATOTO MITAANI

Serikali mkoani Mwanza inatarajia kuanza zoezi la kuwaondoa watoto wanaoishi mitaani ambao wamekithiri hususani katika Jiji la Mwanza na kuhakikisha watoto hao wanarejea katika familia zao na kupata haki yao ya msingi ya kurejea shule. Hayo yameelezwa Aprili 08, 2022 kwenye kikao kazi cha Kamati...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger