
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania -TAWA imetenga maeneo kwa ajili ya uwekezaji wa kitalii ili kuongeza uwezo wa kifedha katika kusimamia maeneo yaliyo chini ya Mamlaka hiyo, ikiwa ni moja ya mkakati wa ukuzaji na uendelezaji wa Mamlaka pamoja na kuongeza pato la Taifa.
Hayo yameelezwa...