Friday, 3 January 2020

BRELA Yaongeza Muda Wa Kuhuisha Taarifa Za Makampuni Na Majina Ya Biashara

...
Share:

Watoto Waliopetea Mbeya Wapatikana Mkoani Tabora

...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa January 3

...
Share:

Thursday, 2 January 2020

JAMAA WAWILI WAFIKISHWA MAHAKAMANI BAADA YA KUIBA POMBE

Jamaa wawili wamefikishwa mahakamani Jumanne ,Disemba 31, 2019 baada ya kukashifiwa kwa kuiba chupa sita za pombe aina ya Jameson.  Daniel Mbugua na Cliff Obonyo ambao ni wafanyakazi wa kampuni ya Mitchel Cot wanasemekana kutekeleza kitendo hicho Disemba 17, wakiwa mtaani Embakasi.  Pombe...
Share:

JAMAA ANYWA MIKOJO YA WANAWAKE LITA MOJA NA NUSU

Jamaa mmoja nchini Uganda aliyetambulika kwa jina la Ismail Dholaga mwenye miaka 35, amelazimika kunywa lita moja na nusu ya mikojo ya wanawake ili kurejesha fahamu baada ya kulewa tilalila. Ismail Dholaga ambaye anafanya kazi ya udereva wa pikipiki (bodaboda) alilazimishwa kufanyiwa kitendo hicho...
Share:

Taarifa Kwa Umma: Usimamizi Kwa Watoa Huduma Ndogo Za Fedha

...
Share:

Picha : HIACE YAGONGA BAISKELI IKIKWEPA GARI NA KUJERUHI SHINYANGA MJINI

Watu watatu wanaelezwa kujeruhiwa baada ya gari aina ya Hiace yenye namba za usajili T 836 DEB ikitokea Kishapu kwenda Shinyanga Mjini kumgonga mwendesha baiskeli na kutumbukia mtaroni wakati ikikwepa gari aina ya Toyota Harrier yenye namba za usajili T726 DFM. Ajali hiyo imetokea majira ya saa...
Share:

MWANAMKE AFARIKI DUNIA BAADA YA KUPIGWA NA MME WAKE

Na Amiri Kilagalila-Njombe Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia ndugu Josphat Mtega (24) mkazi wa Ramadhani mjini Njombe kwa tuhuma za kumsababishia kifo  mkewe kilichotokana na ugomvi. Akizungumza na vyombo vya habari ofisini kwake,kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Hamis Issa amesema...
Share:

WATOTO 4 WAFA MAJI NJOMBE

Na Amiri Kilagalila-Njombe Jeshi la polisi mkoa wa Njombe limesema kwa nyakati tofauti watoto wanne mkoani humo wamepoteza maisha  kutokana na maji. Akizungumza na vyombo vya habari mkoani humo kamanda wa polisi Hamis Issa amesema,mtoto wa kwanza aliyefahamika kwa majina ya Alpha Pilla...
Share:

Mahakama Yamgomea Kabendera Kuhudhuria Ibada ya mazishi ya mama yake.

Mahakama ya Kisutu imetupilia mbali ombi la Erick Kabendera kwenda kutoa heshima za mwisho kufuatia kifo cha mama yake mzazi.  Hakimu Janeth Mtega amesema mahakama haina mamlaka ya kutoa ruhusa hiyo, na mtuhumiwa hana fursa ya kukata rufaa  kupinga uamuzi huo.  Maombi hayo yaliwasilishwa...
Share:

Picha : MGOGORO WA MAKINIKIA YA ALMASI MWADUI WAIBUKA KISHAPU, MKUTANO WA WACHIMBAJI WAPIGWA STOP…MADIWANI WAZIMIWA SPIKA

Diwani wa kata ya Maganzo, Lwinzi Mbalu Kidiga ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madiwani wa kata zinazozunguka mgodi wa Mwadui akiwatangazia wananchi kuhusu taarifa za kuzuiwa kwa mkutano wao. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Katika hali isiyotarajiwa mkutano wa wananchi wanaozunguka mgodi wa...
Share:

Upande wa Jamhuri wakataa Kabendera kumzika Mama yake...Mahakama Kuamua

Upande wa Serikali umempa pole Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera kwa kufiwa na Mama yake mzazi, Verdiana Mujwahuzi huku ukipinga maombi yake ya kutaka ashiriki Ibada ya mazishi ya mama yake. Hayo yamebainika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati Kabendera anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji...
Share:

Waandamanaji waondoka eneo la ubalozi wa Marekani, Iraq

Waungaji mkono wa makundi ya kijeshi nchini  Iraq yanayoungwa mkono na Iran ambao waliovamia maeneo ya viunga vya ubalozi wa  Marekani na kurusha mawe katika maandamano ya siku mbili wameondoka jana(01.01.2020). Hatua  hiyo  imewezekana  baada  ya  Marekani kupeleka ...
Share:

Polisi adaiwa kukatwa sehemu za siri na mkewe

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linamshikilia Flora Adamu (23), mkazi wa Shinyanga Mjini, kwa tuhuma za kumkata mumewe sehemu za siri, ambaye ni askari Polisi mwenye Namba H, 8980 Pc Kazimiri, kwa madai ya kumtuhumu kutokuwa muaminifu katika ndoa. Imeelezwa kuwa mtuhumiwa huyo alimtuhumu mumewe...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger