
Mwanafunzi wa kidato cha pili Shule ya sekondari Naisinyai wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara Godfrey Otieno (16) amefariki dunia kwa kukatwa panga kichwani na rafiki yake baada ya kumtania kwa kumuita albino.
Watoto hao ambao ni marafiki na majirani walikuwa pamoja wakisubiria kushangilia mwaka...