Wednesday, 11 January 2017

MAGAZETI YA LEO JUMATATNO JANUARY TAREHE 11.1.2017

...
Share:

MOKIWA AKATAA KUJIUZULU NGOMA BADO NZITO

Hali  ya amani ndani ya Kanisa la Anglikana nchini, bado si nzuri baada ya Askofu wa Dayosisi ya Dar es Salaam, Dk Valentino Mokiwa aliyevuliwa uaskofu kutoa msimamo wake na kudai kuwa yeye ni msafi, na ndio Askofu wa Dar es Salaam, hang’oki hata kwa dawa, na amewasamehe wanaompinga. Askofu ...
Share:

Tuesday, 10 January 2017

VIDEO | Snura - Shindu | Watch/Download

...
Share:

MAPENZI YAZIDI KUCHUKUA ROHO ZA WATU JIJINI MBEYA

Katika kile kinachoweza kuelezwa kuwa ni ubaya wa mapenzi, kijana mmoja mkazi wa Mbalizi Mbeya amefariki dunia kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi baada ya baba wa mpenzi wake kumvamia kijana huyo na kumshambulia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya DCP Dhahiri Kidavashari...
Share:

Dr. Shein Akerwa na Kauli za Maalim Seif.......Asisitiza Yeye Ndo Rais Halali wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wananchi visiwani humo kuacha kusikiliza maneno ya propaganda kutoka kwa wapinzani kwa kuwa katu hakuna Rais mwingine atakayeongoza Zanzibar wakati yeye yupo madarakani. Amesema kuna baadhi ya viongozi wamekuwa wakipita mitaani na kujinadi...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMANNE JANUARY TAREHE 10.1.2017

...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger